Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Napenda kutoa onyo kwa Chadema ,msijaribu kabisa kuiga mambu ya CUF ,na ikiwa mnataka kufanya wayafanyayo CUF basi tafuteni ushauri kutoka kwao ,CUF walipoamua kufanya mambu hayo ilikuwa hakuna hawaitambui serikali na pia wawakilishi wao walikuwa hawaendi kwenye vikao na kubwa zaidi hawamtambui hata Raisi .
Huku nyinyi mnaitambua serikali kwa hivyo ni lazima mufuate vile serikali inavyowataka ,sasa ikiwa mnataka kufanya mambo yenu bila ya kuifuata serikali basi ikataeni serikali na pia mumkatae raisi kama ndie mshindi halali na Raisi wa Tanzania,timizeni hayo kwanza hapo mtakuwa na nguvu kuandaa kila kitu.
Chadema wacheni mara moja kuwasukumiza wananchi katika vyombo vya dola wakati na vigogo na wabunge wenu wanaitambua serikali kuwa ipo kisheria.
Huku nyinyi mnaitambua serikali kwa hivyo ni lazima mufuate vile serikali inavyowataka ,sasa ikiwa mnataka kufanya mambo yenu bila ya kuifuata serikali basi ikataeni serikali na pia mumkatae raisi kama ndie mshindi halali na Raisi wa Tanzania,timizeni hayo kwanza hapo mtakuwa na nguvu kuandaa kila kitu.
Chadema wacheni mara moja kuwasukumiza wananchi katika vyombo vya dola wakati na vigogo na wabunge wenu wanaitambua serikali kuwa ipo kisheria.