CHADEMA msiige Tembo

CHADEMA msiige Tembo

WaTanganyika ni woga ile mbaya ,vita vya Uganda WaPemba ndio waliokuwa mstari wa mbele.Kama si WaZanzibari vita ile tungepoteza.


wapemba au wazanzibari? inaonekana ww ubaguzi umekuganda nyayoni, huna mpya una upupu
 
Ningependa kuuliza kwa wanaJF wakubwa kwa wadogo waume na wake vijana na watoto ,hivi inakuwaje kumezuka watu humu JF ambao inaonekana kuwa ni wapenzi wa Chama Cha Chadema.Watu hawa wanakuwa na majibu ya matusi au ni lazima waandike matusi ,je hivi ndivyo Chadema ilivyo na ndio wanachama wake wanakuwa na midomo iliyojaa matusi.

Ingawa ukitazama watu hawa utaona hawazidi hata mwaka tangu wajiunge hapa JF ,wamezuka kama uyoga ,wao akili zao zinawatuma kuitetea Chama chao cha chedema kwa matusi au sijui tuseme ndio urithi wamerithi kwa wazazi wao au ukoo wao mzima.Kwani mambo mengine huwa ni ya kurithi na ndugu zetu hawa inaoeneka wanafuata wazazi wao,ingawa mimi siwaoni tenaa watu wa ajabu zaidi ya kuona ni tabia walizolelewa nazo lakini kama binadamu inabidi tukumbushane kuwa hapa sio pahala pa kutoa matusi ,mtu na matuzi yake abaki nayo hukohuko kwa wazazi wake.

pale mwana ccm anapoleta ushabiki kwenye mambo ya kitaifa inabidi nimpe kubwa sababu hali ni mbaya afu unaona jitu linaleta ushabiki wakati mijini na vijijini watu wanataabika!
 
Napenda kutoa onyo kwa Chadema ,msijaribu kabisa kuiga mambu ya CUF ,na ikiwa mnataka kufanya wayafanyayo CUF basi tafuteni ushauri kutoka kwao ,CUF walipoamua kufanya mambu hayo ilikuwa hakuna hawaitambui serikali na pia wawakilishi wao walikuwa hawaendi kwenye vikao na kubwa zaidi hawamtambui hata Raisi .

Huku nyinyi mnaitambua serikali kwa hivyo ni lazima mufuate vile serikali inavyowataka ,sasa ikiwa mnataka kufanya mambo yenu bila ya kuifuata serikali basi ikataeni serikali na pia mumkatae raisi kama ndie mshindi halali na Raisi wa Tanzania,timizeni hayo kwanza hapo mtakuwa na nguvu kuandaa kila kitu.

Chadema wacheni mara moja kuwasukumiza wananchi katika vyombo vya dola wakati na vigogo na wabunge wenu wanaitambua serikali kuwa ipo kisheria.
What you have proved? Una elimu duni!
Why? Rais wa Tanzania anaweza akatawala vizuri tu wakati Pemba kuna machafuko. Lakini Rais wa Tanzania hawezi kutawala Tanzania kama Arusha kuna machafuko!
Reference: Kasome Northern Corridor, Ukanda wa Ziwa, na The Big FOUr. Any president who dares disturb these areas, then he is doomed to fail. Hawezi kutawala.
What CUF has influence over Tanzania? Arusha very important Area, Mwanza back born for all mining activities, Big FOUR - all food you eat comes from there and more than half of Hydropower comes from there; and you know what? Chadema commands all these areas.
What is Pemba and CUF??
 
Mwiba! Unaonekana Mpemba hodari!! Kaza buti kaza buti,hivi Tanganyika bila Pemba haiwezekani? Umesahau mapinduzi ya Wazanzibar January 12,1964 yalifanywa na nani,KARUME alikuwa anakunywa kahawa wapi? Tehe~tehe~teheeee!
 
Just to let you know that you are now Officially under My Ignore List!!
 
Mwiba! Unaonekana Mpemba hodari!! Kaza buti kaza buti,hivi Tanganyika bila Pemba haiwezekani? Umesahau mapinduzi ya Wazanzibar January 12,1964 yalifanywa na nani,KARUME alikuwa anakunywa kahawa wapi? Tehe~tehe~teheeee!

Hapa tunazungumzia Tanzania ,Chadema mambo hamuyawezi ,nguvu zenu ni za bure tu,maana hamna msimamo wa ukweli,mambo yote mnayataka na kama mjuavyo mtaka yote hukosa yote.

Chadema ni ndumila kuwili ,kama nyie ni wapinzani wa kweli basi mlitakiwa muisimamie mitazamo yenu kikweli,toka bungeni,mkataeni raisi ,pinga mambu yote ya serikali hata yawe ya ukweli,ni kupinga tu.

Chadema mmeshindwa au hamkujiandaa iwapo polisi wangeingilia maandamano,ndio kisa mkasambaratishwa ,siku nyingine inatakiwa mujiandae kiume kama kule Pemba ,jamaaa wa Kipemba walijiandaa tena walijiandaa kimahesabu .maana vituo vyote vya polisi vilikwisha pangiwa mikakati na ilitekelezwaa,na ndio sababu ya polisi kuzidiwa na kuomba msaada wa mahelkopta kutoka makao makuu na kuongezewa polisi ,hapo ilikuwa vituo kibao vimeshatekwa,nyie habari ya Pemba inautamu wake na ndio hadi hii leo polisi wameingia adabu kule Pemba kilichowafika hakijawahi kutokea hapa Tanzania Bara.
 
Mwiba nakufahamu vizuri sana, wewe unamasters ya sociology uliyoipata kiaina. Wakati wewe upo zoology pale mlimani, UDSM ukifanya field serengeti mimi nilikuwa computer science, P.hD. unakumbuka nilisha kupa offa pale engineering lunch 2003 august??/ Reasoning ability yako ndogo sana. Ila uwe sociologist sio unafanya arguments kama mkulima wa vitunguu mang'ola.
:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::A S-confused1:
 
Back
Top Bottom