Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Kwangu mimi huu naona unaweza kuwa ni mtego unaofuata kwa CHADEMA ambapo chama kinaweza kupewa ruzuku kwa kigezo cha kuwa na wabunge wa viti maalamu katika Bunge hili la sasa unless utaratibu unaotakiwa kufuata hauruhusu mbinu hii kutumika (unaweka mazingira magumu).
Kwahiyo, kama ni swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.
Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.
Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.
Kwahiyo, kama ni swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.
Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.
Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.