CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

CCM mnakosea kulea mauaji n utekaji wa SAMIA.
Kazi ni kipimo cha utu
 
BARAZA KUU LA CHADEMA HALIWEZI KUMUONDOA AU KUMWADHIBU KIONGOZI WAKE KWA AGENDA AU SHINIKIZO LA WAPINZANI WAKE. KIMANTIKI HAIWEZEKANI. HII NI KUWATOA KWENYE MSITARI.
 
Ukitoka kunywa nyeupe Matejoo tuwekee financial statement ya Chadema ku support madai yako.
 
Lakini anayetuhumu ndio anapaswa kuwa na ushahidi bahati mbayq sisi wananchi tunasikia tu tuhuma lakini hata figure za kiwango hakitajwi lakini sauti za akae pembeni kupisha uchunguzi ndio nyingi.Swali ni anakaa pembeni kupisha uchunguzi upi? Msingi wa kuchunguza ni upi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…