UMELIPWA SH. NGAPI KUJA KUANDIKA HUU UPUUZI,.?Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.
Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.
Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.
Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Hayakuhusu. Issue za nyumba ya jirani zinakuhusi nini kama si umama na umbeya. Tangu lini mbogamboga mmekuwa na uchungu na mafanikio ya CDM.Unakataa nini na kufanya nini??
Weka miamala ilivyoingizwa ,kama mfanyabiashara alimpa pesa si kuna transaction? Mbona tiketi ya ndege iliwekwa? Wekeni na hiyo miamala/risiti.Achana na tone tone.
Kuna pesa kapewa na wafanyabiashara kwa ajili ya chama.
Kazipiga.
DaahKama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.
Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.
Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.
Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Wenzake wamekunja milioni 2 yeye kama anafanya bure basi inasikitisha.UMELIPWA SH. NGAPI KUJA KUANDIKA HUU UPUUZI,.?
kama huja lipwa basi elewa kuwa wewe ni mjinga sana.
watu wengi hawajui kua chadema ni ndogo mno,Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.
Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.
Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.
Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Ukiona SISIEMU wanamkataa kiongozi wa CDM basi jua huyo ndiyo Mzuri...Heche amewafumua kwenye MABANDAMA mpaka mkazuia mikutano.Mtaendelea kubakia hivyo hivyo moaka mnazeeka.
🤣🤣🤣🤣Kama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.
Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.
Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.
Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Mkuu jamaa kapiga mkubali tu au huko kwenu hamna watu inabidi mlee wapigaji kwa lazima.
Jamaa kala hela za Chama.
Simple as that.
Aiseee kwa akili hizi ndiyo maana mnatumika sana na kina ABDUL maana wameaona ni MAZERO BRAINs.Weka miamala ya trillion 1.2 alizochukua Magufuli.
Kamuondoe wewe na mamakoKama Mnahalalisha ufisadi wa Heche mjue tu kuwa mnakiuwa chama chenu.
Mnailalamikia CCM kwa ufisadi halafu muda huo huo mnahalalisha vitendo vya uvunjifu wa uaminifu kwa makamu mwenyekiti wenu.
Kama mnamaanisha kuchukua dola na sio mzaha acheni huu ujinga.
Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni.
Akili za mapunga bhanaAchana na tone tone.
Kuna pesa kapewa na wafanyabiashara kwa ajili ya chama.
Kazipiga.
Aisee Heche amewapiga kwenye mshono mpaka mnaweweseka.
Ccm mapungaHizo hazifiki hata nusu ya maduhuli
Umemsikiliza JJ Mnyika kuhusu fedha za Tone tone na makusanyo ya michango kwenye mikutano? Yeye mnyika ambaye ndiyo fedha anatia saini zitoke anasema hakuna fedha iliyopotea...Na kama kuna wizi upotevu tutakuja kuona kwenye ripoti ya CAG 2026/2027.Wamepigwa wafuasi wa Chadema pesa zao za tone tone!!! Wamekaaa kimyaaa
Ccm imejaa mapungaWamepigwa wafuasi wa Chadema pesa zao za tone tone!!! Wamekaaa kimyaaa
Lkn wanaoji utajiri wa
wengine CCM utasikia
sijui Abdul ❗️