Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Kwanini Chadema na wafuasi wake wanataka kuwafanya wananchi waelewe kwamba suala la ‘coalition government' ni jipya na halipo katika duru za siasa ulimwenguni? Kwanini wanadanganya wananchi kwamba CUF sasa imejizika kama chama pinzani na vilivyobakia ni vingine kama Chadema, NCCR na kadhalika?
Binafsi nilikubaliana kabisa na msimamo wa Chadema juu ya kukataa kuunda kambi ya upinzani pamoja na CUF, na sikutegemea katika watu wote, Zitto angegwaya uamuzi ule wa wenzake ‘to walk away' from the president. Lakini hili la kuendelea kuibeza CUF ionekane kama msaliti sio sawa. Ina maana ikitokea Chadema wakawa in the same position kama CUF leo hii na kupelekea CCM kuchukua uamuzi wa kuunda na serikali ya pamoja na Chadema, Chadema watakataa? Wakikataa kimsingi hii itakuwa ni usaliti kwa wapiga kura; itaonyesha jinsi gani viongozi wa chadema wana uelewa finyu juu ya demokrasia ya vyama vingi lakini vile vile uchochezi wa vurugu kwa wananchi wasioelewa.
Ni matumaini yangu na pia ya wengine wengi pamoja na wale wenye mapenzi mema kabisa na Chadema kwamba iwapo ikitokea Chadema watafanikiwa kupata kura nyingi sana majimboni kiasi cha kuifanya CCM isiweze kuunda serikali yake yenyewe, Chadema haitasita kukubali kuunda serikali ya pamoja na CCM kama wenzao CUF walivyofanya huko Zanzibar kwani hii ni hatua kubwa sana kwa chama cha upinzani kokote kule duniani, na CUF wanastahili pongezi kwa hilo, sio kubezwa.
Hata nchi kama Uingereza na nyingine nyingi tu zimeunda serikali ya pamoja kama ilivyo CUF. Mfano nchini uingereza serikali ya sasa inaitwa Con- Dem government; pia kuna nchi nyingi katika hali kama hiyo na bado haifanyi vyama husika kuwa wasaliti - mfano UK, Canada, Australia, Japan, Israel, Ireland, India, Finland, Belgium, Germany etc; ni muhimu kwa Chadema kurekebisha hili vinginevyo kwasababu mmeshamwaga maji – kwamba coalition government ni usaliti wa chama cha upinzani, basi itabidi muwe na uhakika wa kushinda by a big majority kwani isipotokea hivyo na kuishia kuunda serikali ya pamoja, hiyo ndio itakuwa kwaheri kwa Chadema na CUF wataonekana wa maana zaidi machoni kwa wananchi kuliko chadema.
Kilichotokea Zanzibar is simply a coalition government because no party on its own managed to achieve a majority in the parliament na hivyo kupelekea kuundwa kwa a cabinet of a parliamentary government. Tusiwapotoshe wananchi kwani yakiwakuta haya mtakuja umbuka sana na itakuwa too late. Tupo wana CCM tunaokipenda na kuki admire Chadema especially kwa mafanikio yake na vilevile changamoto nzuri wanazotupa CCM ili tuwe na umakini zaidi katika utawala na uendeshaji uchumi.
Tafadhali msilipoteze hilo kwani ukweli bayana ni kwamba bila Chadema Madhubuti CCM madhubuti haiwezekani.
Binafsi nilikubaliana kabisa na msimamo wa Chadema juu ya kukataa kuunda kambi ya upinzani pamoja na CUF, na sikutegemea katika watu wote, Zitto angegwaya uamuzi ule wa wenzake ‘to walk away' from the president. Lakini hili la kuendelea kuibeza CUF ionekane kama msaliti sio sawa. Ina maana ikitokea Chadema wakawa in the same position kama CUF leo hii na kupelekea CCM kuchukua uamuzi wa kuunda na serikali ya pamoja na Chadema, Chadema watakataa? Wakikataa kimsingi hii itakuwa ni usaliti kwa wapiga kura; itaonyesha jinsi gani viongozi wa chadema wana uelewa finyu juu ya demokrasia ya vyama vingi lakini vile vile uchochezi wa vurugu kwa wananchi wasioelewa.
Ni matumaini yangu na pia ya wengine wengi pamoja na wale wenye mapenzi mema kabisa na Chadema kwamba iwapo ikitokea Chadema watafanikiwa kupata kura nyingi sana majimboni kiasi cha kuifanya CCM isiweze kuunda serikali yake yenyewe, Chadema haitasita kukubali kuunda serikali ya pamoja na CCM kama wenzao CUF walivyofanya huko Zanzibar kwani hii ni hatua kubwa sana kwa chama cha upinzani kokote kule duniani, na CUF wanastahili pongezi kwa hilo, sio kubezwa.
Hata nchi kama Uingereza na nyingine nyingi tu zimeunda serikali ya pamoja kama ilivyo CUF. Mfano nchini uingereza serikali ya sasa inaitwa Con- Dem government; pia kuna nchi nyingi katika hali kama hiyo na bado haifanyi vyama husika kuwa wasaliti - mfano UK, Canada, Australia, Japan, Israel, Ireland, India, Finland, Belgium, Germany etc; ni muhimu kwa Chadema kurekebisha hili vinginevyo kwasababu mmeshamwaga maji – kwamba coalition government ni usaliti wa chama cha upinzani, basi itabidi muwe na uhakika wa kushinda by a big majority kwani isipotokea hivyo na kuishia kuunda serikali ya pamoja, hiyo ndio itakuwa kwaheri kwa Chadema na CUF wataonekana wa maana zaidi machoni kwa wananchi kuliko chadema.
Kilichotokea Zanzibar is simply a coalition government because no party on its own managed to achieve a majority in the parliament na hivyo kupelekea kuundwa kwa a cabinet of a parliamentary government. Tusiwapotoshe wananchi kwani yakiwakuta haya mtakuja umbuka sana na itakuwa too late. Tupo wana CCM tunaokipenda na kuki admire Chadema especially kwa mafanikio yake na vilevile changamoto nzuri wanazotupa CCM ili tuwe na umakini zaidi katika utawala na uendeshaji uchumi.
Tafadhali msilipoteze hilo kwani ukweli bayana ni kwamba bila Chadema Madhubuti CCM madhubuti haiwezekani.