CHADEMA mnaikosea dhana ya Demokrasia

Mchambuzi nimekusoma
lakini in current situation Tanzania sitaona kama demokrasia kama let say 2015 CDM na CCM wanalazimika kuuda serikali ya so called umoja wa kitafifa. Kwangu hiyo itakuwa ni serekali ya umoja wa kutawala.

May be waunde huo Umoja CCM na NCCR, TLP au umoja huo uundwe na CDM, TLP na NCCR na CUF na sio CCM.

Uzuri wa wenzetu wana demokrasi imekomaa kiasi cha kwamba mbunge wa jimbo fuani anaweza kupinga sera fulani ya chama chake kwa sababu ina madhara kwenye jimbo lake. Hapa kwetu hatujafikia huko. Wabunge wetu wanakuwa owned na chama na wajibika kwa chama zaidi na sio majimbo. Coalttion haziwezi kusaidia mwananchi jimboni. Coaltion zitakuwepo kwa ajili ya prosperity ya vyama. Sasa wa style hiizi ukileta coalition ndio unarudikwenye chama imoja indirectly

Kwa mtazamo wako, come 2015, CDM wamepata lets say 40% ya majibo wa ubunge, CCM 50% na others 10% (Tanzania Bara), na kura za nafasi ya Urais CCM imeshinda by lets say 52% na Chadema 48%, uonavyo wewe tutakuwa na utawala wa namna gani? naomba unijibu by assumption hilo ndilo limetokea, tusiingie kwenye mjadala wa halitawezekana, au kutakuwa na uchakachuaji wa kura etc. Naomba nijibu tu ur opinion on what would happen kiutawala based on the above scenario;
 
Kama CCM hawakushinda CHADEMA wasimtambue Rais wa Tanzania (CCM), nafikiri sote tunakumbuka CUF walivyoendesha siasa zao kipindi cha nyuma; mara nyingi walikuwa wanavamiwa mikutano yao, wananchi kuuliwa bure hasa pale Zakiem-Mbagala. katika hali kama hiyo ipi ni strategy nzuri (waendelee na ngangari ili wananchi wauliwe au wabadilishe mfumo wa kuwafahamisha CCM na wananchi demokrasia ya kweli), Chadema naona wameakhirisha maandamano na wanaenda ikulu usije ukasikia wameshaweka ndoa na CCM na wao (kwasababu CCM ndio serikali kwasasa hivi, ulinzi (jeshi, polisi nk) wote uko kwao).
Serikali ya kitaifa kwa Zanzibar ni ushauri wa Nyerere, lakini pia wananchi wa Zanzibar nafikiri walishachoka na udikteta wa CCM, kwahivyo wameona kwasasa hivi njia bora ni ya kuungana mpaka pale demokrasia itakapopevuka.

Lakini Chadema pia nahisi wana tatizo katika demokrasia,; wenzao CUF walipokuwa na majority ya wabunge waliwashirikisha vyama vyengine ikiwemo Chadema (mnamkumbuka Amani Kaburu wa Kigoma, alikuwa mbunge pekee kutoka Chadema 1995, na alipewa uongozi katika kambi ya upinzani; Zitto sauti yake imesikiaka bungeni baada ya kupewa kipaumbele na CUF) lakini wao moja kwa moja vyama vyote vya upinzani imeviweka pembeni including na hao NCCR walotoka bungeni pamoja; sasa chama gani hichi chenye ubinafsi kiasi hicho. nakumbuka walimweka pembeni Zitto Kabwe katika kamati ya kampeni ya CHADEMA katika uchaguzi mkuu 2010, walipoona maji shingoni wakamrudisha (hawajui kama hii ni nyota ya siasa imeibuka tanzania), na bado still wanamtafutia point ya kumkandamiza. wewe subiri, utakuja kuyakumbuka maneno haya. (kumbuka CHADEMA haina sera hasa za kisiasa zaidi ya vurugu, inadakia dakia tu za vyama vyengine, bora jamaa yangu MTIKILA ana sera inafahamika)

Lakini mimi nina wasiwasi kuwa CHADEMA ni CCM-B. CCM wamekipa nguvu makusudi kuua upinzani wa kweli Tanzania, usijeukashangaa akina Slaa kurudi tena CCM baada ya muda.
 
Kama CCM hawakushinda CHADEMA wasimtambue Rais wa Tanzania (CCM), nafikiri sote tunakumbuka CUF walivyoendesha siasa zao kipindi cha nyuma; mara nyingi walikuwa wanavamiwa mikutano yao, wananchi kuuliwa bure hasa pale Zakiem-Mbagala. katika hali kama hiyo ipi ni strategy nzuri (waendelee na ngangari ili wananchi wauliwe au wabadilishe mfumo wa kuwafahamisha CCM na wananchi demokrasia ya kweli), Chadema naona wameakhirisha maandamano na wanaenda ikulu usije ukasikia wameshaweka ndoa na CCM na wao (kwasababu CCM ndio serikali kwasasa hivi, ulinzi (jeshi, polisi nk) wote uko kwao).
Serikali ya kitaifa kwa Zanzibar ni ushauri wa Nyerere, lakini pia wananchi wa Zanzibar nafikiri walishachoka na udikteta wa CCM, kwahivyo wameona kwasasa hivi njia bora ni ya kuungana mpaka pale demokrasia itakapopevuka.

Lakini Chadema pia nahisi wana tatizo katika demokrasia,; wenzao CUF walipokuwa na majority ya wabunge waliwashirikisha vyama vyengine ikiwemo Chadema (mnamkumbuka Amani Kaburu wa Kigoma, alikuwa mbunge pekee kutoka Chadema 1995, na alipewa uongozi katika kambi ya upinzani; Zitto sauti yake imesikiaka bungeni baada ya kupewa kipaumbele na CUF) lakini wao moja kwa moja vyama vyote vya upinzani imeviweka pembeni including na hao NCCR walotoka bungeni pamoja; sasa chama gani hichi chenye ubinafsi kiasi hicho. nakumbuka walimweka pembeni Zitto Kabwe katika kamati ya kampeni ya CHADEMA katika uchaguzi mkuu 2010, walipoona maji shingoni wakamrudisha (hawajui kama hii ni nyota ya siasa imeibuka tanzania), na bado still wanamtafutia point ya kumkandamiza. wewe subiri, utakuja kuyakumbuka maneno haya. (kumbuka CHADEMA haina sera hasa za kisiasa zaidi ya vurugu, inadakia dakia tu za vyama vyengine, bora jamaa yangu MTIKILA ana sera inafahamika)

Lakini mimi nina wasiwasi kuwa CHADEMA ni CCM-B. CCM wamekipa nguvu makusudi kuua upinzani wa kweli Tanzania, usijeukashangaa akina Slaa kurudi tena CCM baada ya muda.

Nilichofurahishwa na hoja zako ni kwamba Chadema haina sera zozote za maana zaidi ya CCM; ila binafsi, navutiwa sana na siasa za Chadema za amsha amsha kwa CCM na serikali yake, hiii muhimu sana kwa maendeleo ya mtanzania, mfano vita dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa serikali etc; ila pia tukubaliane kwamba hata CCM hatuna lolote la maana when it comes to sera za kumkomboa Mtanzania; vinginevyo kote CCM na Chadema hakuna tofauti za msingi kwani wote wanalenga kukenulia na kutekeleza IMF-Donor led development alternative kwa mbwembwe - na tatizo la umaskini kwa mtanzania lipo hapo; Mzee Mtei alijiuzulu kutokana na kupingana na mwelekeo wa siasa ya ujamaa, na ndio maana leo hii Chadema ingawa wanasema wapo mrengo wa kati, bado wanaongozwa na dhana kwamba bila soko huru, Tanzania yenye maendeleo haiwezekani; CCM inatekeleza dhana ya soko huru vizuri tu lakini kwa matakwa ya nani? CCM kivitendo imekata tamaa na ujamaa ingawa kimaandishi bado msimamo ni ule ule; vinginevyo CCM, Chadema wote wanacheza ngoma ya IMF-Donor led alternative to development;

Mageuzi ya kweli kwa mtanzania ni yaleyale yaliyoasisiwa na azimio la Arusha mwaka 1967, ila yanahitaji a little bit of modification to fit today's context; vinginevyo, Chadema, CCM, katika nyoyo za vyama vyote hivi, hakuna nia ya kumnanyua mtanzania wa kijijini; vyama vyote ni wababaishaji tu; wengi wetu bado tumo CCM kwasababu mpaka sasa hakuna mbadala wa kweli na kama unavyojua, ukishaoa au olewa, talaka sio jambo jepesi especially kama next potential partner ana hulka ile ile iliyopelekea ndoa kuvunjika; wengi tunasubiri ule utabiri wa mwalimu ambao ulihimiza kwamba in principle Azimio la Arusha halikuwa na matatizo makubwa, tatizo kubwa lilikuwa katika utekelezaji; nasema hivi sio kwa ushabiki bali kwa kuelewa kwa ufasha kabisa kiini cha azimio la arusha na wapi lilipokwama; wenye uwoga na azimio la arusha ni aidha hawalielewi vizuri au hawana uzalendo na nchi yao na huruma kwa watanzania walio vijijini; Azimio la Arusha bado na kwa kiasi kikubwa ndio mkombozi wa mtanzania, ila again, linahitaji a few modifications especially kwenye suala la serikali kukamata kila kitu (kumbuka hii ni tofauti na dhana ya serikali kushiriki katika sekta mbali mblai kwenye uchumi); na pia modofications are needed juu mipaka ya mwananchi kujitafutia riziki katika uchumi;
 
Navyojua mimi chanzo cha coalition goverments ni katiba za hizo nchi zinasema nini. Mfano kwa UK ambapo wana parliament as the prime body for making laws. Hivyo chama kikifikisha idadi ya wabunge kadhaa kutokana na uwezo wa kuweza kupitisha policy zao ki kura zao bungeni ndio serikali. Na coalition gov inatokana tu pale vyama vikishindwa fikisha hile idadi ya kupata viti vinavyo hitajika.

Na basis kubwa ni ku-compromise on some policy issues hili kuwe na coalition. Sasa je sisi tumeweka idadi gani maana kama CUF hata kama walipata wabunge 49 na CCM ikapata 51 hii si sababu ya kuwa na coalition, unless kama CUF walipataa kura nyingi za uraisi labda hapo ndipo kungekuwa na mizengwe ya kuweza kusema kulikuwa na ulazima wa coalition.

Ndio maana kuna umuhimu wa kuzingatia vitu kadhaa kwenye katiba mpya kwa maana nchi kama marekani riasi ni taasisi pekee lakina majumba yao ya sheria yanaweza ongozwa na chama kingine. Sasa what was the basis of CCM and CUF coalition ka si usaliti wa hawa jamaa, au?
 
Navyojua mimi chanzo cha coalition goverments ni katiba za hizo nchi zinasema nini. Mfano kwa UK ambapo wana parliament as the prime body for making laws. Hivyo chama kikifikisha idadi ya wabunge kadhaa kutokana na uwezo wa kuweza kupitisha policy zao ki kura zao bungeni ndio serikali. Na coalition gov inatokana tu pale vyama vikishindwa fikisha hile idadi ya kupata viti vinavyo hitajika.

Na basis kubwa ni ku-compromise on some policy issues hili kuwe na coalition. Sasa je sisi tumeweka idadi gani maana kama CUF hata kama walipata wabunge 49 na CCM ikapata 51 hii si sababu ya kuwa na coalition, unless kama CUF walipataa kura nyingi za uraisi labda hapo ndipo kungekuwa na mizengwe ya kuweza kusema kulikuwa na ulazima wa coalition.

Ndio maana kuna umuhimu wa kuzingatia vitu kadhaa kwenye katiba mpya kwa maana nchi kama marekani riasi ni taasisi pekee lakina majumba yao ya sheria yanaweza ongozwa na chama kingine. Sasa what was the basis of CCM and CUF coalition ka si usaliti wa hawa jamaa, au?

Nimependa hoja yako juu ya how the system worms in the US; ila juu ya usaliti wa CUF, ni sahihi mimi kukuelewa kwamba usaliti ni kwa sababu mpangilio wa yaliyotokea haupo kwenye katiba au?
 
juu ya usaliti wa CUF, ni sahihi mimi kukuelewa kwamba usaliti ni kwa sababu mpangilio wa yaliyotokea haupo kwenye katiba au?
Usaliti wa CUF ni kwa sababu represantation yetu hipo based on majority seats bungeni na raisi wetu ni mshindi wakura za uchaguzi. Hiwapo CCM ilishinda kote what are the basis of their coalition? unless labda hapa kama kuna sehemu moja kati ya hizo mbili CUF ilishinda.
 
Mchambuzi. Nakubaliana nawe kwamba serikali za mseto wa vyama haziepukiki. Lakini sikubaliani nawe unapotetea utapeli wa mseto wa CCM na CUF huko Zanzibar. Kwa wenzetu katika demokrasia za Magharibi,vyama vinavyounda mseto vinakaa na vinakubaliana kuhusu sera ya serikali yao ya mseto. Ni makubaliano ambayo wote wanayaheshimu na kuyalinda. Kilichotokea Zanzibar ni uhuni,CUF wanashirikishwa tu lakini sera zote zinazofuatwa ni za CCM. CUF haina kauli yoyote ambako inaweza ikasema jambo fulani linalotekelezwa na serikali ni kutoka ktk ilani ya CUF. Na kama CUF itaendelea kuamini ktk mseto kama huu ambao hawana sauti yoyote kuhusu sera za serikali basi wajue wao ni wataendelea kuwa watwana na CCM ni mabwana,na wasitarajie hata siku moja kama CCM wataruhusu CUF kushinda kiti cha Urais wa Zanzibar. Niwashauri vijana wa CUF Zanzibar kwamba akina Seif Sharrif hamad wameweza kupata mafanikio ya kiasi.wao waendelee kupigania demokrasia ya kweli ya Zanzibar.
 
Back
Top Bottom