Salaam, Shalom!!
Tumeona maandamano katika majiji ya Dar es Salaam, Mbeya, Arusha na Mwanza.
Nia ya maandamano ni kuamsha umma kudai HAKI zao na kushinikiza Serikali kupunguza Kodi Ili kuondoa mfumuko wa bidhaa, Kupata Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote, nk nk
Na mwitikio umeonekana kuwa mzuri,
Swali LANGU ni je, lini CHADEMA itapeleka mwamko huo Dodoma na maneno ya Jirani ambako CCM wanadai ni ngome Yao?
Ni Kweli watu wa huko mfumuko wa Bei za bidhaa na gharama za Maisha hazijawaumiza vya kutosha kuikataa CCM?
Kwa jinsi chama hiki kinavyotesa Watanzania, hakipasi kuwa na ngome yoyote Nchi hii.
Muda haujawahi kutosha.
NB: Tanga na Dodoma ni majiji pia,mwl Nyerere hakuyaacha nyuma katika harakati za Ukombozi, lisisahaulike Hilo.
Karibuni 🙏
Tumeona maandamano katika majiji ya Dar es Salaam, Mbeya, Arusha na Mwanza.
Nia ya maandamano ni kuamsha umma kudai HAKI zao na kushinikiza Serikali kupunguza Kodi Ili kuondoa mfumuko wa bidhaa, Kupata Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote, nk nk
Na mwitikio umeonekana kuwa mzuri,
Swali LANGU ni je, lini CHADEMA itapeleka mwamko huo Dodoma na maneno ya Jirani ambako CCM wanadai ni ngome Yao?
Ni Kweli watu wa huko mfumuko wa Bei za bidhaa na gharama za Maisha hazijawaumiza vya kutosha kuikataa CCM?
Kwa jinsi chama hiki kinavyotesa Watanzania, hakipasi kuwa na ngome yoyote Nchi hii.
Muda haujawahi kutosha.
NB: Tanga na Dodoma ni majiji pia,mwl Nyerere hakuyaacha nyuma katika harakati za Ukombozi, lisisahaulike Hilo.
Karibuni 🙏