CHADEMA MMefungua NJIA!

CHADEMA MMefungua NJIA!

Mkuu kwa taarifa yako watanzania hawako tayari tena kuongozwa na hilo likitu linaloitwa ccm! At any cost 2015 ccm must go! Tunachohitaji na viongozi waliojitoa mhanga kama akina Lissu watuongoze kwenye haya mapambano!

Sio kweli, ungesema kwamba wananchi wanaanza kuchoka ningekubaliana na wewe, na ndio maana ni lazima CCM wabadilike, lkn kusema kwamba wameshaichoka ni kujidanganya, tunaona chaguzi nyingi ndogo zinafanyika kila siku,
kama unavyosema ni kweli basi tungeona huko kuchokwa kwa CCM kwenye hizi CHAGUZI.

K
wangu mimi maadamu CCM bado inashinda hizi Chaguzi ndogo tena wakati mwingine kwa kura nyingi tu hakuna ushahidi zaidi ya huo, kwamba CCM bado ina wapenzi tena wengi tu, lkn wanakwenda wakipungua, na 2015 ni karibu mno kwa Upinzani kuweza kuziba hilo pengo, na ndio maana nasema kama wakiendelea na kasi hii basi kuanzia 2020 au 2025 ndio wanaweza kushinda!
 
ukitaka kuamini kuna wananchi wana mateso tembelea vijijini huko ,iringa-makete,mtwara,lindi ,singida,shinyanga,tabora ,ambao sauti yao wala taarifa hazuiwafikii ni jukumu letu tuliopata mwanga kuwasaidia nakuwaelimisha kuwa ccm haikubaliki!!what ever the case time will tell .
 
Tatizo ni kwamba hata hiyo KATIBA ili ipite ni lazima CCM waikubali, maana yake ni kwamba ni lazima waisome, waichambue na kisha waamue kama inawafaa ama la, na kama haiwafai haitapita, kwa maana nyingine ni kwamba kwa hali jinsi ilivyo kwa sasa hakuna Chama kinachoweza kuishinda CCM 2015, hata iweje, labda kwa Mapinduzi kitu ambacho pia ni kigumu sana kwa Mazingira yetu!
Unajifariji eeeeh!
 
Watanzania wa leo sio wa mwaka47 ukitaka kuamini angalia chaguzi ndogo zilizofanyika ccm mwisho 2015
 
ukitaka kuamini kuna wananchi wana mateso tembelea vijijini huko ,iringa-makete,mtwara,lindi ,singida,shinyanga,tabora ,ambao sauti yao wala taarifa hazuiwafikii ni jukumu letu tuliopata mwanga kuwasaidia nakuwaelimisha kuwa ccm haikubaliki!!what ever the case time will tell .

Uko sawa kabisa, na ndio maana nasema 2015 ni mapema mno kufanya yote hayo kama mpaka sasa hivi hatujaanza bado, ila hayo yote yanaweza kufanyika kujiandaa kwa 2020 au 2025

 
Hawa maccm ni lazima 2015 watoke ikulu, tumechoka na chama cha kifisadi. viongozi wake mafisadi, ikulu pamegeuzwa pango la wanyanganyi na mahala pa kupanga kungoa watu kucha,meno na hata kuuwa. look at you ccm, shame on u.!
 
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!
Wewe bado hujabadilika, unataka nani ampigie KURA mgombea ubunge/urais kupitia chadema kama siyo wewe? Nadhani wewe bado motto mdogo kulikuwa na NCCR-MAGEUZI 1995 ilikuwa siyo mchezo, ilibidi Kambarage azunguke strategically ampigie kampeni BWM vinginevyo Mrema Lyatonga alikuwa anchukua nchi...Kama njia ilishaonyeshwa na NCCR-MAGEUZI siyo CHADEMA!! Badilisha MIND SET yako na ATTITUDE yako kwa kupata the right stuff into your mind!!
 
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!

2015 ushindi lazima, Rais atatoka chadema!
 
Hakika wewe ni mbumbumbu wa historia.Mabadiliko haya yatakukuta penda usipende.Lazima ccm na wezi wao wote wang'oke 2015.Endelea kupoteza muda wako nao.
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!
 
mawazo mgando, hakuna anayeitaka CCM now...tutaizika 2015 na hakuna wa kutukatisha tamaa.
 
Tutakaa na kuzogoa hapa mpaka giza linaingia. Kama wote tunataka kuona kweli tunaikomboa Tanzania mwaka 2015 basi ningetaka kuona tunakaa na kuungana vyama vyote vinavyoitwa vya upizani na kuhakisha kuwa iwavyo na iwe lengo litimie la kuing'oa chama tawala madarakani. ubinafsi na uroho wa kuingia ikulu utatufanya ndoto tunayoota isitimie ya kuiona Tanzania huru na yenye haki.
Bila kuungana hata2030 bado ni ndoto ya kufikirika.
 
Hilo ni kweli wamefungua njia kwa upinzani wa kweli. Njiani kuna mengi sana wakiwemo wasaliti, maadui lakini cha muhimu ni kutokata tamaa. Mapambano lazima yaendelezwe na pia kuwaekimisha wananchi wajue mbichi na mbivu. Hakuna kurudi nyuma. Mbele kwa mbele.
 
Tuache mambo ya ukabila,ukanda na udini tunatakiwa tuwe na akili mtambuka ......tunapochagua kiongozi kwa kura tuwa na sababu.Mi naona alipotufikisha mshkaji kama Pesa za mazishi zilizotengwa ni zake vile............!Wazee wa miwani ya mbao mtabisha na kupiga kelele.
A%20S%20shade.gif
:A S shade:
 
CHADEMA ni mpango wa Mungu. Na mpango wa Mungu lazima utimie hata kama maccm watumie usalama wa taifa, mahakama na polisi lakini hawawezi shindana na Mpango wa Mungu.

hata yesu pamoja na kuwa ni mwana wa mungu lakini alikufa ili aukomboe ulimwengu. hadi kufikia oct 2015 watakaokuwa hawana meno kwa sababu ya kupigania haki ni zaidi ya 1 million
 
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!

Hatakama unoauhakika wa CCM kushinda, mbona hutoi hizo sababu za msingi zilizowazi za kusapoti huo utabiri wako? vinginevyo itakuwa ni hisia zako na maono yako tuu!
 
Back
Top Bottom