CHADEMA MMefungua NJIA!

CHADEMA MMefungua NJIA!

Chadema sio makaratasi na kwa taarifa yako tu ni kuwa Chadema ni wananchi wanyonge waliochoka kudhulumiwa miaka 51 sasa na kama ana mamlaka hiyo afanye anachoweza ila kitakachompata amuulize Mubaraka.....
Hii dunia sio ya masisiem lazima waishi kwa haki na usawa kama hawataki tutawalazimisha...

Si kweli! ingekuwa kweli Wananchi wa TZ wameichoka CCM kihivyo, CHADEMA wasingekuwa na Wabunge Chini ya 40 wa kuchaguliwa na CCM kuwa na zaidi ya 200, hiyo namba haionyeshi kama kweli wananchi wameichoka CCM, bali inaonyesha kwamba wameanza kuwa na wasiwasi nayo lkn wapo tayari kuwapa tena nafasi ya kujirekabisha!

Lakini pia CHADEMA wanajitahidi sana na wanakuja kwa kasi na kama nilivyosema hapo juu kama CCM wasipobadilika basi kuanzia 2020 au 2025 - 2030 CHADEMA wataweza kushinda kama wakiendelea na kasi hii waliyo nayo

 
Si kweli! ingekuwa kweli Wananchi wa TZ wameichoka CCM kihivyo, CHADEMA wasingekuwa na Wabunge Chini ya 40 wa kuchaguliwa na CCM kuwa na zaidi ya 200, hiyo namba haionyeshi kama kweli wananchi wameichoka CCM, bali inaonyesha kwamba wameanza kuwa na wasiwasi nayo lkn wapo tayari kuwapa tena nafasi ya kujirekabisha!

Lakini pia CHADEMA wanajitahidi sana na wanakuja kwa kasi na kama nilivyosema hapo juu kama CCM wasipobadilika basi kuanzia 2020 au 2025 - 2030 CHADEMA wataweza kushinda kama wakiendelea na kasi hii waliyo nayo

Hivi wewe haousegirl unalipwa sh. ngapi na nepi?labda huna kumbukumbu,serukamba alipata ubunge kwa risasi,makongoro alipata baada ya kukimbia na masunduku ya kura....2010 elimu ya uraia na kujitambua haikuwa kama hii iliyopo leo ambapo masisiem yakipanda jukwaani kwenye mikutano yao 95% wanaishambulia Chadema as if ndio matatizo ya wananchi.....
Hata mbuyu ulianza kama mchicha ndio maana hata baba mwanaasha anaweweseka nchi haijamshinda wakati tuna macho.....
Acha kuvaa miwani ya mbao na tafadhalini labda mna jukumu la kuendelea kuwasifia magamba kuwa bado wanapendwa walewe sifa wakati raia tunasonga mbele kudai uhuru wa kweli...hongera kwa hili....
 
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!


Kama hauamini kwamba tutashinda hasi hautufai. ondoa propaganda hapa jamvini
 
Kama hauamini kwamba tutashinda hasi hautufai. ondoa propaganda hapa jamvini

Nani kakupa hiyo haki ya kuamua ni nani aandike na kusema nini hapa JF? Kama hupendi au haukubaliani na nilichoandika si upotzee tuu kama wenzako walivyofanya?
 
Jakaya Kikweta anatamani uchagu8zi ufike nawakabidhi CDM maana kashaona chadema ni moto. Kawaambia polisi wasitegemewe tena na CCM.

Mleta mada binamu yake Mwigulu>
 
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!

naona mtumishi wa bwana anaezunguka makanisani amekutuma, kachukue posho sasa
 
Back
Top Bottom