Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,236
- 14,874
- Thread starter
- #81
Chadema sio makaratasi na kwa taarifa yako tu ni kuwa Chadema ni wananchi wanyonge waliochoka kudhulumiwa miaka 51 sasa na kama ana mamlaka hiyo afanye anachoweza ila kitakachompata amuulize Mubaraka.....
Hii dunia sio ya masisiem lazima waishi kwa haki na usawa kama hawataki tutawalazimisha...
Si kweli! ingekuwa kweli Wananchi wa TZ wameichoka CCM kihivyo, CHADEMA wasingekuwa na Wabunge Chini ya 40 wa kuchaguliwa na CCM kuwa na zaidi ya 200, hiyo namba haionyeshi kama kweli wananchi wameichoka CCM, bali inaonyesha kwamba wameanza kuwa na wasiwasi nayo lkn wapo tayari kuwapa tena nafasi ya kujirekabisha!
Lakini pia CHADEMA wanajitahidi sana na wanakuja kwa kasi na kama nilivyosema hapo juu kama CCM wasipobadilika basi kuanzia 2020 au 2025 - 2030 CHADEMA wataweza kushinda kama wakiendelea na kasi hii waliyo nayo