CHADEMA mfukuzeni Lissu mapema au mdhibitini la sivyo yaliyowakuta CUF yatawakumba na ninyi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,163
11,565
Tundu A. Lissu, homeboy ni mwanasheria mzuri na mwanasiasa machachari sana, hapa ninakiri kumkubali.

Kiongozi huyu anaewapeleka chadema kwa kasi ya 4g pasina kueleweka anako wapeleka. Kimsingi hatabiriki kesho atakuja na stori gani na dhihaka gani kwa viongozi walio hai na wasio hai japo yeye anaita ukosoaji.

Misingi ya maridhiano kupelekea Katiba mpya ni dhahiri shahiri haitambui na anapingana nayo vikali, haishii hapo anatofautiana hata na Mwenyekiti wake.

Hii ina maana kwamba angependelea Mh. Freeman A.Mbowe aendelee kusota na kuteseka magereza na mikutano ya vyama vya Siasa kuendelea kupigwa pini. I can predict hali hii ikiendelea Mwenyekiti na Makamu wake will not see eye to eye siku za usoni. Mark my words.

Wengi especially elite class na visionary politicians ndani ya Chadema wameanza kujiengua kimya kimya mapema kwasabb ya aina ya siasa za kibinafsi na zinazoshambulia zaidi utu binafsi wa watu anayoifanya Lissu.

Siasa zilizojaa dhihaka, dharau, udini, ubaguzi kijinsia, ukanda na kwakweli siasa za majigambo kwamba no one is powerful than him within chadema wether you like or not. And you can't do anything up on me.

Kutofautiana kwake na Mwenyekiti ni ishara tosha kua hadi tunafika October 2025, chadema itabaki na washangiliaji tu, wapiga kura watakua wameshachukua mirengo mingine.

Jambo muhimu kudhibiti mapambano na mgawanyiko wa mtazamo ktk mambo mbalimbali baina ya Mwenyekiti na Makamu wake nikwamba, ni vema kabla hawajaanza mikutano yao waketi chini pamoja na wakubaliene mambo ya kuzungumza kuliko hali ilivyo sasa.

Ni vigumu sana kwa elite class, religious class, political parties na civil groups kuvumilia ktk hali hii hali ya kua na wao wana malengo na matarajio yao kupitia Chadema. Therefore kujiasemble behind Tundu Lisu huyu alie kosa staha kabisa na asie tambua hata chembe ya mafanikio ya huyu Rais alioko Madarakani hali yakua viongozi wenzie wanayaona na kupongeza ni dhahiri hayuko pamoja na viongozi wenzake, he is one army and ideology.

Mapendekezo:
Opposition Political parties, Religious Groups, Civil groups, Elite class, Citizens and everyone with good will for prosperity of Tanzanians Political, Social, Technological, Cultural and Economic development, let's us assemble behind this Patriotic and Statesman Freeman A. Mbowe, hakuna atakae juta baadae, whether atashinda au atashindwa. Taifa litapiga hatua kiasi kuliko vinginevyo.

That's my take.....
hope to learn from ur opinions....
 
ELIAH_NGASE%F0%9F%85%B0_on_Instagram%3A_%E2%80%9CNiyeye!!!!%E2%80%9D%22_.jpg
 
Mataga na makuwadi ya dpworld jiandaeni psychologically hata watu wa chato wamempuuza mzee wenu yule aliyewadanganya nyie mapoyoyo kuwa watu wa chato wataamzomea lissu matokeo yake wakamshangilia kwa sauti kuu na nyinyi wajinga mmejikuta na aibu hata zile threads zenu kuwa lissu atazomewa chato mmezitelekeza wajinga nyinyi.
 
Akiondolewa!?
1)Itakuwa kwa manufaa ya chadema kama Chama?

2)Au itakuwa manufaa kwa kundi linalotaka kulamba asari?

3)Lakini pia itakinufaisha Chama Cha Chadema au kuimalisha CCM?

4) Makubaliano yaliyofikiwa yalikuwa kwa ajili ya mtu binafsi!? au yalipitishwa kwenye mkutano mkuu?

5)Je, anayoyasema ni ya uongo au ndio inafanana na kisa Cha mfalme kutovaa nguo?

Wewe chawa usijifiche kwenye mgongo wa chadema
 
Akiondolewa!?
1)Itakuwa kwa manufaa ya chadema kama Chama!?
2)Au itakuwa manufaa kwa kundi linalotaka kulamba asari..

Itakua manufaa kwa credible Chadema kama chama na hatari mno kwa CCM hata kama sio sasa but it will be a credit for and credibility for chadema as a party.
Na hata kama anayoyasema ni kweli ama si kweli Mbona hasemi strategical wayfoward au ni story tu.

Mbowe amekataa kutukana viongozi especially Rais,kweli au si kweli?

Unadhani ni nani anamlazimisha atukane viongozi? This man is intelligence 🤓

Huyo jamaa ni mwanasiasa Mzuri sana na mbobevu naweza msifia hivyo.

Kama haridhiki na yaliyojengwa na Mwenyekiti wake aanzishe chama chake tuone anakubalika ama laa
 
Mh. Tundu A. Lisu, homeboy ni mwanasheria mzuri na mwanasiasa machachari sana, hapa ninakiri kumkubali.
Heri kwako kwa kuwa unalitambua hili☝️
Kiongozi huyu anaewapeleka chadema kwa kasi ya 4g pasina kueleweka anako wapeleka. Kimsingi hatabiriki kesho atakuja na stori gani na dhihaka gani kwa viongozi walio hai na wasio hai japo yeye anaita ukosoaji.
Kwa mfano............????
Misingi ya maridhiano kupelekea Katiba mpya ni dhahiri shahiri haitambui na anapingana nayo vikali, haishii hapo anatofautiana hata na Mwenyekiti wake.
Eleza ni misingi gani hiyo?

Eleza anatofautiana naye kwa namna ipi...
Hii ina maana kwamba angependelea Mh. Freeman A.Mbowe aendelee kusota na kuteseka magereza
Mh. Freeman Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya uongo, ya kutengenezwa. Walioshitaki kina Ramadhani Kingai walishindwa kuthibitisha...

Mr Freeman Mbowe was and is always innocent...
na mikutano ya vyama vya Siasa kuendelea kupigwa pini.
Ilifanyika kinyume cha sheria na katiba. Ilifanyika kiharamu na aliyefanya jambo kiharamu halafu akaondoa haramu yake ndiye anayestahili kuzomewa..!
I can predict hali hii ikiendelea Mwenyekiti na Makamu wake will not see eye to eye siku za usoni. Mark my words.
We also predict that, you and your fellows including your national CCM chairwoman may not see the future just like the late John P. Magufuli who paid dearly with prematurely death for his improper behaviors & actions..!!

Ndugu Tlaatlaah, huwezi kuchezea haki za watu wa Mungu halafu ukabaki salama..!!
Wengi especially elite class na visionary politicians ndani ya Chadema wameanza kujiengua kimya kimya mapema kwasabb ya aina ya siasa za kibinafsi na zinazoshambulia zaidi utu binafsi wa watu anayoifanya Lisu.
Kama nani vile eti...???
Siasa zilizojaa dhihaka, dharau, udini, ubaguzi kijinsia, ukanda
Can you justify this statement? Kusema kuwa mkataba wa DP World kugawa bandari zote za Tanganyika umesainiwa na Wazanzibar ni udini? Ni ukanda? Kusema kuwa likely waliosaini deal hili wamehongwa dearly ni udini? Ni ukanda? Kwani huo siyo ukweli wenyewe?

If that's how you think, then your conscious upstairs is questionable...!!
na kwakweli siasa za majigambo kwamba no one is powerful than him within chadema wether you like or not. And you can't do anything up on me.
You are too paranoid...!

I am sure, you don't know what you're talking about..
Kutofautiana kwake na Mwenyekiti ni ishara tosha kua hadi tunafika October 2025, chadema itabaki na washangiliaji tu, wapiga kura watakua wameshachukua mirengo mingine.
Umerudia tena kusema hili bila uthibitisho..

Swali kwako ni hili: Umechanganyikiwa, unaota au unapiga propaganda za ubabaishaji?

Kama ni propaganda, basi ziko chini ya kiwango na hustahili kulipwa hiyo buku 7 ya Lumumba..!!
Jambo muhimu kudhibiti mapambano na mgawanyiko wa mtazamo ktk mambo mbalimbali baina ya Mwenyekiti na Makamu wake nikwamba, ni vema kabla hawajaanza mikutano yao waketi chini pamoja na wakubaliene mambo ya kuzungumza kuliko hali ilivyo sasa.
Unaendelea Tena..

Mbona husemi wametofautiana ktk nini..?
Ni vigumu sana kwa elite class, religious class, political parties na civil groups kuvumilia ktk hali hii hali ya kua na wao wana malengo na matarajio yao kupitia Chadema.
Unaidanganya nafsi yako..!
Therefore kujiasemble behind Tundu Lisu huyu alie kosa staha kabisa
Hivi staha ndiyo ikoje kweli? Mwizi na fisadi anapaswa kuitwa kwa majina gani ya staha kweli?
na asie tambua hata chembe ya mafanikio ya huyu Rais alioko Madarakani hali yakua viongozi wenzie wanayaona na kupongeza ni dhahiri hayuko pamoja na viongozi wenzake, he is one army and ideology.
Afafhali hata ungepigia propaganda zako kwenye madaraja na maboma ya zahanati..

Lakini unasemaje juu mama yako kugawa bandari zetu za Tanganyika? Nayo ni maendeleo siyo? Tumstahi tu siyo?
Mapendekezo:
Opposition Political parties, Religious Groups, Civil groups, Elite class, Citizens and everyone with good will for prosperity of Tanzanians Political, Social, Technological, Cultural and Economic development, let's us assemble behind this Patriotic and Statesman Freeman A. Mbowe, hakuna atakae juta baadae, whether atashinda au atashindwa. Taifa litapiga hatua kiasi kuliko vinginevyo.
Umeandika nini hapo ☝️☝️☝️?

Hebu jisome tena halafu ujione wewe mwenyewe kama unajielewa kweli ama las..!!
That's my take.....
That's your take..!!????

What have you taken dude..?
 
Heri kwako kwa kuwa unalitambua hili☝️

Kwa mfano.....
with your brother and actually my homeboy LISU najaribu kubaini kasoro au tofauti zenu but kwa zaidi ya 90% mnafanana style ya response, body language, tone, rythim, words etc.

Ni watu ambao ni wabishi pasipokua na chakubishana but kutibua mambo ili kuatract dollar iwachukulie hatua for sympathy gain from the public but also have already prepare feature destination abroad. Sasa elite gani atamuamini na kumfuata kiongozi wa aina hii etc ...

Narudia tena by 2025 Mbowe and LISU will not see each other eye to eye na Lisu kuondolewa chadema now au asipothibitiwa aina ya siasa anazofanya Chadema itaishia ilipoishia CUF.
 
Mh. Tundu A. Lissu, homeboy ni mwanasheria mzuri na mwanasiasa machachari sana, hapa ninakiri kumkubali.

Kiongozi huyu anaewapeleka chadema kwa kasi ya 4g pasina kueleweka anako wapeleka. Kimsingi hatabiriki kesho atakuja na stori gani na dhihaka gani kwa viongozi walio hai na wasio hai japo yeye anaita ukosoaji.

Misingi ya maridhiano kupelekea Katiba mpya ni dhahiri shahiri haitambui na anapingana nayo vikali, haishii hapo anatofautiana hata na Mwenyekiti wake.

Hii ina maana kwamba angependelea Mh. Freeman A.Mbowe aendelee kusota na kuteseka magereza na mikutano ya vyama vya Siasa kuendelea kupigwa pini. I can predict hali hii ikiendelea Mwenyekiti na Makamu wake will not see eye to eye siku za usoni. Mark my words.

Wengi especially elite class na visionary politicians ndani ya Chadema wameanza kujiengua kimya kimya mapema kwasabb ya aina ya siasa za kibinafsi na zinazoshambulia zaidi utu binafsi wa watu anayoifanya Lissu.

Siasa zilizojaa dhihaka, dharau, udini, ubaguzi kijinsia, ukanda na kwakweli siasa za majigambo kwamba no one is powerful than him within chadema wether you like or not. And you can't do anything up on me.

Kutofautiana kwake na Mwenyekiti ni ishara tosha kua hadi tunafika October 2025, chadema itabaki na washangiliaji tu, wapiga kura watakua wameshachukua mirengo mingine.

Jambo muhimu kudhibiti mapambano na mgawanyiko wa mtazamo ktk mambo mbalimbali baina ya Mwenyekiti na Makamu wake nikwamba, ni vema kabla hawajaanza mikutano yao waketi chini pamoja na wakubaliene mambo ya kuzungumza kuliko hali ilivyo sasa.

Ni vigumu sana kwa elite class, religious class, political parties na civil groups kuvumilia ktk hali hii hali ya kua na wao wana malengo na matarajio yao kupitia Chadema. Therefore kujiasemble behind Tundu Lisu huyu alie kosa staha kabisa na asie tambua hata chembe ya mafanikio ya huyu Rais alioko Madarakani hali yakua viongozi wenzie wanayaona na kupongeza ni dhahiri hayuko pamoja na viongozi wenzake, he is one army and ideology.

Mapendekezo:
Opposition Political parties, Religious Groups, Civil groups, Elite class, Citizens and everyone with good will for prosperity of Tanzanians Political, Social, Technological, Cultural and Economic development, let's us assemble behind this Patriotic and Statesman Freeman A. Mbowe, hakuna atakae juta baadae, whether atashinda au atashindwa. Taifa litapiga hatua kiasi kuliko vinginevyo.

That's my take.....
hope to learn from ur opinions....
Kumfukuza siyo sahihi.

Mabadiliko ya kiuchumi ya nchi hii yamechangiwa sana na wanasiasa wa jamii ya Lissu.

Hapaswi kufukuzwa ila anapaswa kuambiwa aepuke siasa za ubaguzi wa kidini maana ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom