Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Hivi Bob Makani alikuwa ni mchaga ee! Usidandie dandie ishu ambazo huzijui....Mtei alishasema hawez mpa mtu chama CHAKE m2 acyemjua hapo ni wakat zito alpogombea uwenyekiti akimaansha m/kiti lazma awe wa kaskazn(mchaga)...alaf mbowe nd anaongea upuuz huo khaaa atawadanganya nyie mazuzu tu...mtakuja kuniambia m/kit atakaemwachia lazma awe mchaga....over kidumu