Mkuu hoja yako ina mashiko na ni ya msingi kabisa. Ila naona bado hujajibu the key concerns za uzi huu.
Failures of CCM are not 'justification' to Failures of CHADEMA!
Uzi huu unahusu down-sides (political hypocrisy) za CHADEMA in line with the Admission of Lowasa, and not otherwise.
As such, please naomba ujikite moja kwa moja kwenye zile concerns tano nilizohoji.
Let the Truth prevail.
-Kaveli-
SAWA NA SHETANI KUOMBA RADHI KWA KUUDANGANYA ULIMWENGU.Ndani ya miaka nane na zaidi wananchi tumeimbishwa na kuaminishwa usiku na mchana kuwa Lowasa ni Fisadi mkubwa wa uchumi wa Tanzania.
Na mbaya zaidi mkasema mnaushaidi wa ufisadi wa Lowassa kama anabisha aende mahakamani.
Wengi tuliamini na mpaka sasa tumesimama kwenye misingi ya uaminifu kuhusu Chadema kuwa Lowasa ni Fisadi na hafai kupewa nchi.
Lakini wengi wetu mmeshindwa kutushawishi kwa hoja kwa nini Lowassa awe msafi sasa.
Ni vema mtuombe radhi hadharani kuwa ndani hiyo miaka mlikuwa mnatudanganya na kutulaghai ili kuwalaghai na ccm wamteme Lowassa.
Bado nipo kwenye misingi ya awali ya Chadema kupinga ufisadi na mafisadi na naamini Lowassa ni fisadi mpaka pale viongozi wa Chadema mtakapokiri wazi kuwa mlitupotosha Lowassa sio fisadi na ushahidi mlikuwa hamna.
Nimesikitishwa sana na CDM kumpokea Lowasa, kuna wengi sana tunadhana tuliyoaminishwa na CDM kuwa Lowasa ni FISADI.
Lowasa ni JEMBE lakuua upinzani, MPINI ni CCM. Kwasasa hatutoliona hili kirahisi kutokana na ushabiki uliopelekea UPOFU WA FIKRA, ila baada ya uchaguzi ndio yataeleweka haya yote.
Ishu sio CCM ina mafisadi wangapi ila hoja ni KWANINI NA KWA LIPI TUIAMINI CHADEMA KUSHIKA DOLA IKIWA WALITUDANGANYA KUWA LOWASA NI FISADI??
s
Niambie tangu mwanzo Sera ya CDM ilikuwa ipi na sasa wanapigania nini? Au nikuulize kwamba hivi ile LIST OF SHAME bado ipo kwenye tovuti ya CDM?
Jibu swali wewe au huelewi Kiswahili. Shida tupu. Endelea na huo UKUTA!Wewe umewahi kusikia mahali popote kwamba CHADEMA imebadili sera zake!? Kama jibu ni ndiyo tuwekee ushahidi hapa wa kuonyesha kikao cha kubadili sera kilifanyika lini na wapi? Hukusikia CHADEMA kuzuiwa Bungeni kujadili ufisadi wa bilioni 37 Bungeni!? Na huyo aliyedai kujitoa kafara kupambana na ufisadi nchini mbona hakutaka hata kuitaja Lugumi na akapanga mikakati ndani ya Bunge ili kulipotezea suala la ufisadi wa Lugumi? Unadhani kwanini aliikwepa kwa kila hali Lugumi?
Hawataki kukiri wazi kuwa maamuzi yao yalikigharimu Chama, Chadema lilikuwa tumaini la kweli kwa wasomi Na wanyonge wa Tanzania.!Tatizo la sisi watanzania ni kumkubali mtu zaidi kuliko ukweli wa yule mtu. Mambo hayo waliyatamka wao wenyewe kwa vinywa vyao, leo hii wanatufanya sisi ni wajinga, bila aibu wanaanza kumsafisha mtu yule yule waliyetuaminisha kuwa ni fisadi. LEO HII NENO "UFISADI" HUJI KUSIKIA WAKILITAMKA. Hilo ndilo linalowagharimu na litaendelea kuwagharimu mpaka siku ya mwisho.
Jibu swali wewe au huelewi Kiswahili. Shida tupu. Endelea na huo UKUTA!
Ukija gheto mimi binafsi nitakuomba radhi na siyo kuwaomba radhi maana umetumia wingi na hitaji ni lako peko,njoo tu usijali.Ndani ya miaka nane na zaidi wananchi tumeimbishwa na kuaminishwa usiku na mchana kuwa Lowasa ni Fisadi mkubwa wa uchumi wa Tanzania.
Na mbaya zaidi mkasema mnaushaidi wa ufisadi wa Lowassa kama anabisha aende mahakamani.
Wengi tuliamini na mpaka sasa tumesimama kwenye misingi ya uaminifu kuhusu Chadema kuwa Lowasa ni Fisadi na hafai kupewa nchi.
Lakini wengi wetu mmeshindwa kutushawishi kwa hoja kwa nini Lowassa awe msafi sasa.
Ni vema mtuombe radhi hadharani kuwa ndani hiyo miaka mlikuwa mnatudanganya na kutulaghai ili kuwalaghai na ccm wamteme Lowassa.
Bado nipo kwenye misingi ya awali ya Chadema kupinga ufisadi na mafisadi na naamini Lowassa ni fisadi mpaka pale viongozi wa Chadema mtakapokiri wazi kuwa mlitupotosha Lowassa sio fisadi na ushahidi mlikuwa hamna.
Usijali nitakuja....ila sita kufanya tu ila pia nitakufanya uwe mwanamke bora uachane Na maisha ya gheto.!Ukija gheto mimi binafsi nitakuomba radhi na siyo kuwaomba radhi maana umetumia wingi na hitaji ni lako peko,njoo tu usijali.
Zaidi ujue siasa ni mchezo usihitaji hasira ndiyo maana wanaotoa mapovu unawaona wanavyo teseka na kuweweseka na ndoto za mchana mara huyo kaongea hivi mara yule kaongea hivi hakuna kauli yenye umoja kwa wote.
Kauli zao ni kama za yule nyoka wa makengeza,wakina Msindai ,Mpendazoe,Mwapachu n.k.n.k.
Kumbe wewe ni wale ambao tunawapiga vita viongozi wadini,serikali na wananchi.Usijali nitakuja....ila sita kufanya tu ila pia nitakufanya uwe mwanamke bora uachane Na maisha ya gheto.!
We ushahidi unao au nawew unaota kama mimi
Katika nchi zinazozingatia utawala wa sheria kabisa, mbivu na mbichi za kinachoitwa ufisadi wa Mh. Lowassa zingekuwa zimekwisha julikana mahakamani in those 8 years.Ndani ya miaka nane na zaidi wananchi tumeimbishwa na kuaminishwa usiku na mchana kuwa Lowasa ni Fisadi mkubwa wa uchumi wa Tanzania.
Na mbaya zaidi mkasema mnaushaidi wa ufisadi wa Lowassa kama anabisha aende mahakamani.
Wengi tuliamini na mpaka sasa tumesimama kwenye misingi ya uaminifu kuhusu Chadema kuwa Lowasa ni Fisadi na hafai kupewa nchi.
Lakini wengi wetu mmeshindwa kutushawishi kwa hoja kwa nini Lowassa awe msafi sasa.
Ni vema mtuombe radhi hadharani kuwa ndani hiyo miaka mlikuwa mnatudanganya na kutulaghai ili kuwalaghai na ccm wamteme Lowassa.
Bado nipo kwenye misingi ya awali ya Chadema kupinga ufisadi na mafisadi na naamini Lowassa ni fisadi mpaka pale viongozi wa Chadema mtakapokiri wazi kuwa mlitupotosha Lowassa sio fisadi na ushahidi mlikuwa hamna.