Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 783
- 695
Katika hili suala linaloendelea nadhani wanaharakati na wafuasi wa CHADEMA wanakosea target, Mtu anayepaswa kushambuliwa ni Lissu kwa kuwa yeye ndo ametoa salamu za pole, Lema yeye ni Amplifier tu. Jambo jingine CHADEMA Katika kitu kitawapa shida ni hii kuingia kwenye mfumo wa wanaharakati, Taasisi ina visions zake, na wanaharakati wana visions zao ila wao ndo wanajikuta wapo sahihi zaidi na wanataka wasikilizwe wao wanasahsu Taasisi ina viongozi. Na mbaya zaidi haya wafuasi wa Chadema mitandaoni wanaogopa kusimama na viongozi wao ili tu wasipuuzwe na wanaharakati mwisho wa siku wakose likes. Leo hii Gobless Lema anaitwa MATAKO waChadema wanashangilia.....Taasisi imevamiwaView attachment 3668842
Katika hili suala linaloendelea nadhani wanaharakati na wafuasi wa CHADEMA wanakosea target, Mtu anayepaswa kushambuliwa ni Lissu kwa kuwa yeye ndo ametoa salamu za pole, Lema yeye ni Amplifier tu. Jambo jingine CHADEMA Katika kitu kitawapa shida ni hii kuingia kwenye mfumo wa wanaharakati, Taasisi ina visions zake, na wanaharakati wana visions zao ila wao ndo wanajikuta wapo sahihi zaidi na wanataka wasikilizwe wao wanasahsu Taasisi ina viongozi. Na mbaya zaidi haya wafuasi wa Chadema mitandaoni wanaogopa kusimama na viongozi wao ili tu wasipuuzwe na wanaharakati mwisho wa siku wakose likes. Leo hii Gobless Lema anaitwa MATAKO waChadema wanashangilia.....Taasisi imevamiwaView attachment 3668842
Kwa iyo lema ni msaliti?..matatizo yote hayo yanatokana na siasa chafu za Ccm.
..mahali popote pale penye DHULUMA lazima wanaharakati wawepo, na wawe na sauti.
..Na katika mapambano dhidi ya dhuluma baadhi ya wanaharakati husaliti wenzao hilo wala sio jambo jipya.
Kwa iyo lema ni msaliti?
mna uhakika hizo salamu lisu katoa kwa moyo mmoja? au katoa kinafiki tu ? ila kwakua mnapenda lawama ,basi mmepata angle ya kulaumu
Na wanararuana vizuri kweli wao kwa wao halafu wanasingizia wasio husika na kuraruana kwako 🐒Katika hili suala linaloendelea nadhani wanaharakati na wafuasi wa CHADEMA wanakosea target, Mtu anayepaswa kushambuliwa ni Lissu kwa kuwa yeye ndo ametoa salamu za pole, Lema yeye ni Amplifier tu. Jambo jingine CHADEMA Katika kitu kitawapa shida ni hii kuingia kwenye mfumo wa wanaharakati, Taasisi ina visions zake, na wanaharakati wana visions zao ila wao ndo wanajikuta wapo sahihi zaidi na wanataka wasikilizwe wao wanasahsu Taasisi ina viongozi. Na mbaya zaidi haya wafuasi wa Chadema mitandaoni wanaogopa kusimama na viongozi wao ili tu wasipuuzwe na wanaharakati mwisho wa siku wakose likes. Leo hii Gobless Lema anaitwa MATAKO waChadema wanashangilia.....Taasisi imevamiwaView attachment 3668842
wala sioni sababu ya kulaluana ?Na wanararuana vizuri kweli wao kwa wao halafu wanasingizia wasio husika na kuraruana kwako 🐒
Jizi na lipenda rushwa linaangaika sana kuichafua CHADEMA. Linatamani sana kuona CHADEMA ikivurugika.Katika hili suala linaloendelea nadhani wanaharakati na wafuasi wa CHADEMA wanakosea target, Mtu anayepaswa kushambuliwa ni Lissu kwa kuwa yeye ndo ametoa salamu za pole, Lema yeye ni Amplifier tu. Jambo jingine CHADEMA Katika kitu kitawapa shida ni hii kuingia kwenye mfumo wa wanaharakati, Taasisi ina visions zake, na wanaharakati wana visions zao ila wao ndo wanajikuta wapo sahihi zaidi na wanataka wasikilizwe wao wanasahsu Taasisi ina viongozi. Na mbaya zaidi haya wafuasi wa Chadema mitandaoni wanaogopa kusimama na viongozi wao ili tu wasipuuzwe na wanaharakati mwisho wa siku wakose likes. Leo hii Gobless Lema anaitwa MATAKO waChadema wanashangilia.....Taasisi imevamiwaView attachment 3668842
Haikuwa sarcastic way, ilikuwa n genuine na aliitoa siku ileile Samia alipofiwa, alisema “Tumefiwa, naomba mnipelekee salaam zangu za rambirambi”, siku mbili baadaye akauliza kama salaam zake zilifika, ndipo Msemaji wa CHADEMA akaandika ila barua.Nimeiona video ya Lissu. Kwa kweli aliitoa in a sarcastic way.
CHADEMA wanashindwa kujinasua katika ndoano ya wanaharakatiHaikuwa sarcastic way, ilikuwa n genuine na aliitoa siku ileile Samia alipofiwa, alisema “Tumefiwa, naomba mnipelekee salaam zangu za rambirambi”, siku mbili baadaye akauliza kama salaam zake zilifika, ndipo Msemaji wa CHADEMA akaandika ila barua.
Alichofanya ni utu, ni kuwaonyesha kwa matendo vile watu wanapaswa kuishi. CHADEMA kama Chama hakiwezekani waishi kunyume na kile wanachohubiri.
Watu wanatakiwa wajifunze kuangalia mambo kitaasisi.
Wewe ni wa kumquote sativa? 🤕Katika hili suala linaloendelea nadhani wanaharakati na wafuasi wa CHADEMA wanakosea target, Mtu anayepaswa kushambuliwa ni Lissu kwa kuwa yeye ndo ametoa salamu za pole, Lema yeye ni Amplifier tu. Jambo jingine CHADEMA Katika kitu kitawapa shida ni hii kuingia kwenye mfumo wa wanaharakati, Taasisi ina visions zake, na wanaharakati wana visions zao ila wao ndo wanajikuta wapo sahihi zaidi na wanataka wasikilizwe wao wanasahsu Taasisi ina viongozi. Na mbaya zaidi haya wafuasi wa Chadema mitandaoni wanaogopa kusimama na viongozi wao ili tu wasipuuzwe na wanaharakati mwisho wa siku wakose likes. Leo hii Gobless Lema anaitwa MATAKO waChadema wanashangilia.....Taasisi imevamiwaView attachment 3668842
Well said ConsigliereHaikuwa sarcastic way, ilikuwa n genuine na aliitoa siku ileile Samia alipofiwa, alisema “Tumefiwa, naomba mnipelekee salaam zangu za rambirambi”, siku mbili baadaye akauliza kama salaam zake zilifika, ndipo Msemaji wa CHADEMA akaandika ila barua.
Alichofanya ni utu, ni kuwaonyesha kwa matendo vile watu wanapaswa kuishi. CHADEMA kama Chama hakiwezekani waishi kunyume na kile wanachohubiri.
Watu wanatakiwa wajifunze kuangalia mambo kitaasisi.
In fact ni ishara ya wazi kua baadhi yao wanatamani wote kua na changamoto au matatizo uniform na utatuzi wa changamoto zao ambazo kila moja alizipata kwa mtindo wake, eti nazo zitatuliwe as uniform, kitu ambacho sio sahihi na haiwezekani.wala sioni sababu ya kulaluana ?