CHADEMA kwenye mtego mkubwa mwingine...

CHADEMA kwenye mtego mkubwa mwingine...

Mwenyekiti alivyokamatwa mbele ya wanachama ndo nikakiri kabisa hamna kitu kitawezekana
 
Huwa nina kwambia siku zote umejitoa ufahamu sana .Isijifanye uko nyumba ya keyboard rohoni ardhi inarecod.Ipo siku isiyo na jina Damu za watu ulizoshiriki kumwaga zitanena.Ipo siku damu za watu ulizoshangilia kumwagika zitakuwa juu ya familia yako.Ipo siku unachokishangilia kisa fedha haramu za CCM zitakuwa juu ya wazazi ,watoto na hata wewe mwenyewe.Nina kufahamu vizuri na matendo naya fahamu .

Kuwa makini na maisha ya baadaye
Wewe mpumbavu unanifundisha kuishi?

Nyie wapumbavu kama nyie bora baba yako angepiga nyeto tu
 
Punguza chuki wewe, ugonjwa wako wa FISTULA ,hasira uzielekeze kwa Lissu 😀😀😀

Kajitibie kwanza FISTULA, ni ugonjwa ambao unaathiri sana watu kisaikolojia.

Wengi Huwa wanaropoka kama wewe.

FISTULA Inatibika nenda kajitibie, weka Number ya cm tukuchangie fedha za kujitibu FISTULA 🤣🤣🤣😀😀
Wifi habari ?

Matibabu umeacha angalia usiendelee kuua watoto wadogo na hilo gonjwa hatari

Usisahau Trump kuzuia Misaada
 
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)

My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Hiyo inaeleweka mbona watasaini lakini watazuia uchaguzi kama reforms haitafanyika
 
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)

My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Nenda x kaangalie voment ya lema
 
Nchi hii ukiwa na elimu halafu ukaelimika unakumbana na vitu visivyo na miguu wa kichwa.
 
Mbona #NoreformsNoelection# linasomeka bila chenga? Uchaguzi upi na unamchagua nani? :AwkwardFlushed: 😳
 
Hayo maadili ni upuuzi mtupu. Polisi wanaingiza kura feki CCM ishinde hapo kuna maadili gani?
 
Back
Top Bottom