DR VRM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 3,756
- 2,914
Life will go on, uchaguzi bila CDM niMbona wanaweweseka sn? Wao waendelee na uchaguzi wao

Life will go on, uchaguzi bila CDM niMbona wanaweweseka sn? Wao waendelee na uchaguzi wao

Maadili gani yanayoruhusu mapolisi na vyombo vya dola kuharibu Uchaguzi?!
View attachment 3300286
..yeye ndyo amewaalika POLISI
Exactly ila akiwa na upwiro ana mmiss mbakajiSasa mbakwaji asipokua violent maana yake atakua kafurahia tendo husika
Duh 🙄 !Maadili gani yanayoruhusu mapolisi na vyombo vya dola kuharibu Uchaguzi?!
View attachment 3300286
Si umetaka mwenyeweIla CCM kwa ubakaji hata kilainishi hawatumii 🤣🤣🤣
Chadema haitashiriki chaguzi za mauaji, Itazuia UchaguziNamfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)
My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Or more correctly: No reforms No ErectionHakuna mtego wa wala nini suala ni moja TU...
NO REFORM, NO ELECTION.
Ova
Chadema imeshatangaza kuwa haitashiriki huo uchaguzi wa kipumbavu. Sasa huo mtego utaikwamisha nini Chadema?Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)
My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Siyo kweli inachotakiwa chadema kufanya ni kutokushiriki wala kusaini....ukweli ni kwamba 2025 anacho kifanya samia ni kujitangaza mshindi yeye na wabunge wa chama chake hakuna uchaguzi wowote 2025 hivyo kete pekee kwa chadema ni kupinga uchaguzi kwa jasho na damu mwisho wa siku hata uchaguzi wa kihuni wa samia ukifanyika basi lazima kutaundwa serikali ya mseto maana baada ya samia kujichagua mwenyewe itakuwa ngumu kwa ccm kuongoza hiyo miaka 5Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)
My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Usishangae kuambiwa wamesaini hata kama hawakwenda.Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)
My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Sawa, haya yanahusiana nini na mada?Tusi gan?
Kwani si kweli chiba ana tumbo kama furushi la Mavi ya Tembo au?
Tusi gan hapo
Huwa nina kwambia siku zote umejitoa ufahamu sana .Isijifanye uko nyumba ya keyboard rohoni ardhi inarecod.Ipo siku isiyo na jina Damu za watu ulizoshiriki kumwaga zitanena.Ipo siku damu za watu ulizoshangilia kumwagika zitakuwa juu ya familia yako.Ipo siku unachokishangilia kisa fedha haramu za CCM zitakuwa juu ya wazazi ,watoto na hata wewe mwenyewe.Nina kufahamu vizuri na matendo naya fahamu .Safi yakose Ruzuku alafu tuone kama yatazururura hovyo
Lissu anajidanganya Tone tone itaendezha chama
Amaesahau ruzuku aliozita haramu ndio zinampa pesa na posho
Chiba kitambi chake kilichojaa mavi kama furushi
Kwahiyo mchuano utakua ni kati ya samia na Hashim rungwe spunda ubwabwa???Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)
My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Punguza chuki wewe, ugonjwa wako wa FISTULA ,hasira uzielekeze kwa Lissu 😀😀😀Safi yakose Ruzuku alafu tuone kama yatazururura hovyo
Lissu anajidanganya Tone tone itaendezha chama
Amaesahau ruzuku aliozita haramu ndio zinampa pesa na posho
Chiba kitambi chake kilichojaa mavi kama furushi