CHADEMA kwanini inatetea kila mtu anayetumbuliwa?

ukweli ni kwamba bado hatujapata chama cha kweli chenye uzalendo na kinachosimamia sera.

bado tunaitaji chama cha kweli cha kuikaimu ccm. vingenevyo me naonaga bora tubaki na hii hii ccm, kuliko huo uozo wa kwingine, tunaweza kuluka mkojo tukakanyaga kinyesi.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kwa lipi?

Nadhani kwa hili hauko sawa kwa kukihusisha chama. Humu jukwaani kumeja id fake, unawezaje kuzihisisha na chama? Kila mtu anaheshimu mawazo yako maana ni haki yako kidemokrasia, ila kukihusisha chama.na.utetezi wa mramba hapa uko kihisia zaidi.
 
ni kwasababu maamuzi hayo mengi hufanyika kutafuta sifa kisisasa.

Je, wewe unaamini kumfukuza kazi mkurugenzi mkuu wa Tanesco ndiyo bei ya umeme haitaongezeka??
 
Sijaona "press release" yoyote ya CHADEMA iliyotolewa ikimtetea yeyote aliyetumbuliwa/kuondolewa kwenye nafasi yake kwa sababu yoyote ile.

Ushauri wa bure tu kwako "Technically" - jaribu kutofautisha chama na critics za individuals. Hatujuani humu na unaweza kukuta majority ya wanaotupa madogo huwa wanakula meza moja na watawala na wapo jikoni kabisa.
 
Utaratibu unaotumika...
You can not fire someone today and hire another kesho yake kwenye position kubwa... unless kama ulikuwa unamvizia jamaa akosee
Sasa mmengekuwa mnalalamikia uteuaji mbovu hapo sawa. Lkn kama hata watumbuliwa mnawatetea ninyi tuwaeleweje sasa.
 
Labda ni aina ya utumbuaji. Kwa mfano ktk issue ya Umeme ningelikua Mimi wa kwanza wa kumtumbua alikua mkurugenzi wa ewura. Kwasababu siku zote tanesco wa nataka bei ipande ili waweze kujiendesha vizuri, na mwananchi anataka bei ishuke ili apate Umeme kwa bei nafuu. Sasa tukamuweka mtu wa katikati ewura kwanini aruhusu bei kupanda?
Mwanachi na tanesco nani yupo sahihi?
 
Hizi kauli za kutetea alizitoa nani? Mbowe? Victor Kimesera? Makene? Press ilitolewa lini?? Mawazo ya kinyafuzi kabisa

Wale binadamu waliozikwa kama mashetani wakiaminika ni wakimbizi kweli CHADEMA iliwatetea kwa sababu walidhalilishwa sana
Kuna uzi unaongelea hao watu unaowasema. Uzi huu unaongelea kutetea watumbuliwa.

By the way... Wale watu mmewakomalia baada ya kuunganisha tukio lile na la kupotea kwa Ben Saanane, vinginevyo mngelisahau siku ileile linatolewa.
 
Utaratibu unaotumika...
You can not fire someone today and hire another kesho yake kwenye position kubwa... unless kama ulikuwa unamvizia jamaa akosee

Hapa sio kukosea au kuvizia...kwa taharifa zao za nyuma hawa hawakufaa kuwepo kwenye serikali takatifu....hawa ni majipu na wanafaa kuondolewa ili wasiwambukize wengine.....Full stop.
 
Wewe nilikuwa nakuona ni memba afadhali humu kumbe walewale tu.unaweza kuweka humu tamko la chadema ikitetea kutumbuliwa?au hujui tofauti kama ya msimamo wa chama na maoni au msimamo wa mtu mmoja mmoja,kwa hiyo mm leo nikipinga kutumbuliwa kwa Mramba ni pingo la Chadema?
Wengi humu mnapinga magufuli kutaka watu wasiotoe maoni yao halafu wewe pia unakuwa hutambui maoni huru ya wachadema

Kutumbuliwa kwa Mramba wewe kunakusaidia nini?unaweza kupinga ingezeko la umeme lakini ukapinga kutumbuliwa kwa Mramba kwa sababu yeye na menejiment ilitimiza wajibu wake kama taasisi ikiweka sababu na wengine wakatimiza wajibu wake wa kukataa sababu hizo.full stop!mengine ni porojo tu za kuteka watu kama nyie. Kuna taasisi inaleta proposal lakini IPO inayopitisha maamuzi.sasa huwezi kutegemea uletewe maamuzi unayoyapenda tu,utaletewa na Yale machungu,basi yakatae na kazi ziendelee,sasa hapo baadae ikija kuonekana haya ya kupandisha umeme mtamrudisha Mramba?
Pascal Mayalla
Yaani upinge kupanda kwa umeme alafu anaesababisha upandaji wa huo umeme umchekee tu? Kama hizi ndio akili za wanachadema wa hapa Jf, basi hicho chama ni bure kabisa!

Kuna video humu ikimuonesha Wenje akichambua ufisadi wa aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la dar, lkn siku anatumbuliwa mlikuja hapa kumtetea mkisema hakuna haki za binadamu. Coment zako ziko humu unataka tukuletee ushahidi?
 
Back
Top Bottom