CHADEMA, kwa mwendo huu 2015 patupu!

CHADEMA, kwa mwendo huu 2015 patupu!

Chadema wamejiweka pabaya sana kwa jamii ya Kiislam tasfri ya udini kwao mtu kuwa Muislam.
Lakini mbona swali la kuwepo udini au la pale UDOM halijajibiwa? Badala yake anashambuliwa mtoa hoja?
 
Kwa sisi tusio na vyama kiukweli hii CDM inatupa shida sana tena sana hasa ktk masuala haya ya dini ya Kiislam na mitazamo yao. Sehemu yyt ya kazi kiongozi wake akiwa Mwislam wanasema kuna udini ss je kwa hili CDM ina maana ni chama chat kabisa au kipo kutetea maslahi ya Wakristo tu? Bahati mbaya iliyoje members wake hapa Jf badala ya kujibu hoja wanakuja na matusi, dharau, kero ambazo hazijengi bali zinaharibu taswira nzima ya chama! Mfano mwingine halisi WANASEMA RAIS J.M KIKWETE MDINI ss maswali haya ukiwauliza sidhani kama utapata jibu zaidi ya kashfa: Maswali hayo ni:
1. Nini maana ya kusema mtu mdini?
2. Vigezo vipi vinavyothibitisha mtu ni mdini?
3. Ushahidi gani unaothibitisha mtuhumiwa ni mdini?
4. Je kama ni mdini na una concrete evidence kwa nn usimshtaki sehemu husika?
5. Kwa nini ofisi au nafasi anayoshika Mwislam tu ndo kuna udini na Si dini nyingine?

mkuu hivi alhaji ally hasan mwinyi alishawahi kutuhumiwa kwa udini during his tenure as the president?
 
ww KATA KUCHA AU NG`OA KUCHA? maneno mingi hakuna cha maana umemuuliza selasini akasema amekataa kuwa acountable kwa hizo CD au unanukuu maneno ya LUKUVI?
 
Chadema wamejiweka pabaya sana kwa jamii ya Kiislam tasfri ya udini kwao mtu kuwa Muislam.

Wewe wasema bahati mbaya mawazo yako hayawezi kuwa mawazo ya wengine
 
Mimi ni mwanaccm, alichosema selasini ni sahihi, udom kuna udini, wahadhiri na wafanyakazi pamoja na wanachuo wanajua juu ya hili, wakati wa uchaguzi wa serikali ya wanachuo mwaka 2009, jopo la wahadhiri la udom liliwaengua wanafunzi wa kikristo waliogombea uongozi na kuwaacha dhaifu kina dada na wagombea wa kiume wa kiislamu ili wagombea wa kiislamu washinde, huo ndo ukweli, udom kuna udini sio siri tena!!
 
Kutafuta suluhu/usawa na uisilam/waisalam ni ngumu tena ni kazi ngumu sanaaa! Sababu jamaa siku zote wanajiona wao wako sawa kwa kila kitu. Ukiwaambia ukweli wanaona hupendi dini yao, hilo ndo tatzo kubwa la uisilam..!!
 
Kwa sasa, kwa bahati mbaya, tuhuma za udini zipo kila sehemu yenye mikusanyiko ya watu wenye dini tofauti, zipo katika kila chuo, zipo sekondari kama ilivyotokea kwenye sekondari ya Bagamoyo na pia zipo Shule za Msingi. Karibu vyuo vyote vya serikali mambo haya yanalalamikiwa lakini kunyooshea chuo kimoja, hapa ndio Selasini alipoleta tafsiri mbaya kwa jamii.

Mkuu umejadili mengi sana na haya kweli yapo, Ni sawa na matukio ya kihalifu na Ujambazi yako kila kona na nchi. lakini Wahusika huongelea zaidi tukio ambalo tayari wana ushahidi wa kuonyesha pale inapohitajika. Hebu wewe unaependa kuongelea kiujumla hebu toa uthibitisho wa udini huko vyuo vingine. pia serikali yetu makini haipaswi kuaja kupokea uthibitisho huo kwa kuwa unatoka sehemu moja na matatizo hayo yameenea nchi nzima, Pia usalama wa raia wanapaswa kufanyia kazi fununu na kuzithibitisha hata kama asingekuwa na CD kama walivyofanya kwa Lwakatare kumuweka chini ya ulinzi kwa kula njama hata kama hajatekeleza tukio.
 
Tungejiridhisha kwanza kama CD yake ni maigizo au ni kweli ndio tutaweza kumjadili yeye au kujadili CD.
Kama alikurupuka katika jambo zito namna hii alafu na sisi tukakurupuka katika kulijadili "we are equally stupid in opposite direction".
 
Hili suala mbunge husika hana kosa hata kidogo kulileta bungeni. Kila mtanzania anaelewa vyema kwamba suala la udini linatupelaka kubaya na limeshika kasi kama moto wa kifuu.

Kumekuwa na CD za kidini mitaani zinauzwa na mitandaoni zikitukana dini nyingine lakini vyombo vyetu vya usalama vimefumba macho. Kumekuwa na mauaji ya viongozi wa kidini lakini tumeshindwa kuchukua hatua husika. Kumekuwa na uchomaji moto makanisa na matatizo ya nani achinje.

Bunge ni chombo chenye nguvu sana kama kinatumika vyema. Ni zaidi ya mahakama, na pia ni zaidi ya polisi.
Bila shaka lengo la mbunge husika kuleta hoja hii bungeni ni kutaka kuliomba bunge kuangalia uwezekano wa kutunga sheria kudhibiti hili suala kabla halijatufikisha kubaya zaidi.
 
Chadema wamejiweka pabaya sana kwa jamii ya Kiislam tasfri ya udini kwao mtu kuwa Muislam.

Mimi binafsi naitabiria CHADEMA kifo kama ilivyotokea kwa chama cha CUF.Ikumbukwe kwamba CUF ilipoanzaga kuwa na nguvu wachafunzi wa demokrasia waikaipachika jina kwamba ni chama cha kiislamu hadi ikafikia profesa Lipumba kuliongelea suala hilo bayana hatahivyo basi kuna baadhi ya wakristo waliamini suala hilo kwa aslimia mia 100 ikawa sasa CUF ni ya waislam kwa sababu kuna baadhi ya waislamu pia walijua kuwa chama chao ni cha waislamu.
Ikumbukwe kuwa mpango huu ulikuwa ni wa watu wasioitakia mema tanzania.

Hali hii imeikumba pia CHADEMA ni ina mtazamo sawa na ule uloiiua CUF kwa maana kuna wanao amini mpaka sasa kuwa CHADEMA ni chama cha wakristo na kuna wanaoamini kuwa wao kuwa wakristo basi chama chao ni CHADEMA.Ikaenda mbali zaidi CHADEMA ikawa na harufu ya ukanda au uchaga kwa upande fulani.
Huo ndio mustakabali uloiua CUF na ugonjwa unaoisumbua CHADEMA kwa sasa.
 
Mwandishi, asante kwa kuleta mawazo yako. Nionacho mimi mawazo yako ni mazuri kwa mtatzamo wako. Huwezi kumsemea Selasini na kumchanganya moja kwa moja na chama chake. aidha huwezi kusema Selasini asemee kila chuo, kila shule...kama hajaziona? Lakini pia wachangiaji wengine hili si jambo la kushabikia kirahisi. Kuna wakati nilileta hapa mada ya "Niliyoyakuta Leo Temeke Hospitali" watu wakanishambulia sana kwa maneno hata yasiyo na staha na hata hoja yangu kuondolewa jukwaani kana kwamba ni uzushi au uchochezi. Mimi nilisema niliyoyaona na mtizamo wangu. si neno, ila ni vizuri tukaelewa kuwa hili ni taifa circular. si nchi ya waislamu au wakristo pekee. Lazima tufike mahali kukemea kitendo chochote kiovu cha udini bila ya kujali kimefanywa/semwa na nani. Bila ya hayo nchi hii itapasuka pasuka vipande.

Watanzania tuamke tuone tatizo lililopo na tulishughulikie ipasavyo.
 
Kataa kuwa kichaa kwa nguvu ya pesa iliyo jaa dhuluma
 
Udini ambao Mh Selasini kashindwa kuusema ni kati ya vyuo vikuu 20 vya serikali wakuu wa vyuo waislamu ni 3 tu na 17 ni wakristo sawa na 15% kwa waislamu na 85% wakristo hilo kwa Selasini sio tatizo bali tatizo lake ni kanda alizo okota pale chako ni chako.

1. Chuo Kikuu cha Dodoma Prof. Idris Kikula Muislamu
2. Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idris Mshoro Muislamu
3. Taasisi ya Ustawi wa Jamii Dr. Abuu Mvungi Muislamu
4. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Rwekaza Mukandala Mkristo
5. Chuo Kikuu cha Sokoine Prof. Warioba Mkristo
6. Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili Prof. Pallangyo Mkristo
7. Chuo Kikuu cha Mzumbe Prof. Joseph Kuzilwa Mkristo
8. Chuo Kikuu Huria Prof. Tolly Mbwette Mkristo
9. Chuo Kikuu cha Teknolojia, Mbeya Prof. Joseph Msambichaka Mkristo
10. Chuo Kikuu cha Katavi Mkristo
11. Chuo cha Moshi MUCCOBS Prof. Faustine K Bee Mkristo
12. Chuo cha Elimu DSM (DUCE) Prof. Hermen Mosha Mkristo
13. Chuo cha Elimu Mkwawa (MUCE) Prof. Amandina Lihamba Mkristo
14. Chuo cha IFM Prof. Godwin Mjema Mkristo
15. Taasisi ya Nelson Mandela Prof. Burton Mwamila Mkristo
16. Taasisi ya Teknolojia DSM (DIT) Prof. Kandoro Mkristo
17. Chuo cha Biashara (CBE) Mkristo
18. Chuo cha Mwalimu Nyerere Prof. Magotti Mkristo
19. Chuo cha Uhasibu Arusha Prof. Johannes Monyo Mkristo
20. Tume ya Vyuo Vikuu Prof. Sifune Mchome Mkristo
 
Huo aliotoa ndio msimamo wa CDM wala usihangaike kuwaza,hiki ni chama cha kikatoliki 100% usisahau MTEI waislam wengi kwenye tume ya katiba unadhani alikusudia nini?
Hapa watakushambulia kwa kejeli matusi na kashfa lakini jibu litapatikana 2015 mungu tupe uhai,

kumbe wakatoliki walioko ccm wamepotea njia nilikuwa sijui, warudi haraka sana!
 
CCM haina tatizo la udini katika kusimamisha wagombea. walianza na nyerere (mkristo), wakaja na Mwinyi (muislam), akafuatia Mkapa (mkristo) na mwisho Kikwete (muislam). yaani huku wawili na kule wawili. hawa wote kumbuka ndio waliokuwa wenyeviti wa CCM. haya tueleze CHADEMA tangu kimeanzishwa ni muislam gani amewahi kuwa mwenyekiti au katibu mkuu wa chama?

Holy c.ra-p i.d.i.o.t.a!
 
CCM ndo waasisi wa udini na 2010 kampeni zilikuwa zikipigwa waziwazi misikitini!
Chadema wamejiweka pabaya sana kwa jamii ya Kiislam tasfri ya udini kwao mtu kuwa Muislam.
 
mkuu cdm ni zaidi mtu mmoja kwaiyo usitumie hiyo weakness ideology kutaka cdm isiingie IKULU
 
Back
Top Bottom