CHADEMA, kwa mwendo huu 2015 patupu!

CHADEMA, kwa mwendo huu 2015 patupu!

exchange rate ya leo

usd 1639-1655

pound 2450-2600

nani anayesababisha tufike hapa?...CCM au CHADEMA???

BADILIKA ACHA KURUHUSU VIRUSI VIINGILIE UBONGO WAKO.
 
Ukweli utasemwa milele pasipo kupepesa macho, unafiki wa MACCM ndio ulioifikisha amani ya nchi yetu hapa ilipo ktk hali hatarishi, Hivyo sisi tutasema ukweli mpaka chooni hadi bafuni, Tutasema ukwel mpaka mkimbie utupu hadharani kwani tupo makini na tunatambua udini unawanufaisha CCCM so ni lazima tupige kelele mpaka mkome.
 
Nadhani kabla ya kupinga hoja ya mtu unatakiwa kuwa umefanya utafiti ndio uwe na haki ya kuzungumza haya anayosema selasini si mageni katika jamii ambazo mimi binafsi nimepition tangu miaka ya 97 hadi 2003 nikiwa tanga nikisoma katika shule fulani ya serekali hizo muvu za kidini zilishaanza wanafunzi wakiislamu walikuwa wanaenda kusomea misikitini na kuna watu walikuwa wakiwafundisha lengo likiwa ili waweze kufaulu vizuri na kucompte na wenzao wa kikrsisto lakini pia madai ya wakristo kupendelewa yalikuwepo kwa hiyo juhudi zilikuwa zinafanyika ili kuweza kuwapa nao waislamu nafasi ya kusonga mbele na kuchukua nyazifa mbalimbali ambazo zilidaiwa kushikwa na wakristo. mwaka 2000 katika chuo kikuu cha darisalamu hayo pia yalijotokeza wanafunzi wakislamu walikuwa wakisomea katika msikiti wa UDSM na inasemekana pia kunawahadhiri wakiislamu ambao walitokea kuwasaidia kwa hali na mali kwa hiyo hayo mambo hayakuanza leo yameanza zamani. Na hata leo yapo maeneo mbalimbali. Je umeshajiuliza inakuwa nyumba za ibada za waislamu uhususani miskiti inatumika pia kama mahekalu ya vijana wa kiislamu kujifunzia karate? je lengo lake nini? je serekali inaruhusu nyumba za ibada kuendesha mafunzo ya kupigana? nini lengo la haya yote bila shaka ni harakati za mapambano ya madaraka kumbuka tanzania imeacha dini yeke ya asili ambayo ilikuwa ni ujamaa na kujitegemea na ambayo kila mwananchi aliamini hiyo sasa tumeingia kwenye ubebari kila mtu itabidi angalie maslahi yake au ya jamii yake kwa hiyo migongano ya udini na ukabila haina budi kutokea
 
Selasini anapaswa kukumbushwa kwamba, kauli zake na mifano yake anayotaka kuithibitishia jamii inamtesa Mbowe pamoja na Chama chake ambacho mpaka sasa hisia za baadhi ya watu ni hasi hasa kwa upande wa dini. Kauli zake sawia na za rafiki zake, Godbless Lema, Peter Msigwa, Wenje zitaitesa CHADEMA mbele ya safari, zinazidi kutia gazi kwa wale waliokuwa na taswira
hasi dhidi ya chama hicho. Bila shaka matokeo yake ni mwaka 2015.

Tusubiri.

tatizo lenu ni kufikiri kuwa unaweza kuitesa CHADEMA bila kuwatesa watanzania na maccm pia,
kwavyovyote ukisema hawa dini yao ni Wakristo basi nyinyi wengine ni waislam, ukisema wao ni + basi nyie ni - . kw avyovyote hii ni kama msumeno inakula mbele na nyuma.
 
Nadhani kabla ya kupinga hoja ya mtu unatakiwa kuwa umefanya utafiti ndio uwe na haki ya kuzungumza haya anayosema selasini si mageni katika jamii ambazo mimi binafsi nimepition tangu miaka ya 97 hadi 2003 nikiwa tanga nikisoma katika shule fulani ya serekali hizo muvu za kidini zilishaanza wanafunzi wakiislamu walikuwa wanaenda kusomea misikitini na kuna watu walikuwa wakiwafundisha lengo likiwa ili waweze kufaulu vizuri na kucompte na wenzao wa kikrsisto lakini pia madai ya wakristo kupendelewa yalikuwepo kwa hiyo juhudi zilikuwa zinafanyika ili kuweza kuwapa nao waislamu nafasi ya kusonga mbele na kuchukua nyazifa mbalimbali ambazo zilidaiwa kushikwa na wakristo. mwaka 2000 katika chuo kikuu cha darisalamu hayo pia yalijotokeza wanafunzi wakislamu walikuwa wakisomea katika msikiti wa UDSM na inasemekana pia kunawahadhiri wakiislamu ambao walitokea kuwasaidia kwa hali na mali kwa hiyo hayo mambo hayakuanza leo yameanza zamani. Na hata leo yapo maeneo mbalimbali. Je umeshajiuliza inakuwa nyumba za ibada za waislamu uhususani miskiti inatumika pia kama mahekalu ya vijana wa kiislamu kujifunzia karate? je lengo lake nini? je serekali inaruhusu nyumba za ibada kuendesha mafunzo ya kupigana? nini lengo la haya yote bila shaka ni harakati za mapambano ya madaraka kumbuka tanzania imeacha dini yeke ya asili ambayo ilikuwa ni ujamaa na kujitegemea na ambayo kila mwananchi aliamini hiyo sasa tumeingia kwenye ubebari kila mtu itabidi angalie maslahi yake au ya jamii yake kwa hiyo migongano ya udini na ukabila haina budi kutokea
Mkuu. Huo wakati uliosema ni wakati ambao mfumo kristo ndo ulikuwa umeshamiri. Waislam walikuwa hawapati fursa za kutosha kielimu ingawa nina mashaka pia na kauli zako. Pengine wewe ndo wale akina swlasini
 
mleta mada hukuwa na haja ya kuandika story ndeeefu isiyokuwa na maana, switch to the point kwamba unachotaka kusema ni: Chadema ni Chama cha Kikristo. Umemaliza kakojoe ulale.
 
sasa hivi wabunge wetu waogope kuzungumza kisa eti wataporomosha chama Je nikuulize mwenye uzi huu nini bora chama kuporomoka ama kujiadhari na hili bomu la udini useless idea shame on you
 
Kweli nimeamini wafuasi wengi( si wote) wa chadema ni MAMBUMBU, na hawa ndio wenye ku-destroy absolutely image ya chama katika jamii japo kwa UMBUMBU wao hujiona wanajenga. Mtoa mada ameelezea kitendo cha Mr MP kudai ana ushahidi wa CD juu ya mikakati ipangwayo na moslems katika UDOM against christians lakini that MP ameshindwa kulithibitishia bunge kwa ku-submitt huo ushahidi, na kama ni mkweli kwa nini ashindwe? "HUU NI UNAFIKI" wenye nia ya kuvunja umoja kwa kupandikiza chuki miongoni mwa watu, na hii ndio HOJA, sasa cha kuchekesha hawa MAMBUMBU wa chadema( si wote) wanaanza ku-condemn badala ya kujibu hoja tena KISHAMBA ZAIDI. Jamani hamjengi zaidi ya kurudisha nyuma juhudi zinazofanywa na viongozi wenu.
 
Ni muda wenu kujikanyaga yeye mleta mada kishafikisha ujumbe, mkipenda mmeze na mkipenda mteme.

udini umekujaa wewe pamoja na jamaa yako mleta mada.
mpuuzi na mbwege huonekana hata kwa mazungumzo yake tu na si kwa vitendo vyake pekee.

kweli nimekuwa nikiambiwa na watu wengi bila kuamini wayasemayo kuwa wale wana wa alkaba "dini ya upande wa pili" mara nyingi huwa ni akili kuambiwa na hivyo huzinyima fursa bongo zao kuwa na uwezo wa kupambanua na kufikiria mambo kwa kina.
Naanza kushawishika kuamini kuwa hawa jamaa " ukiwemo na wewe" kuwa, ni kichwa box tupu ambalo likivishwa bomu hubeba na kwenda kujilipua pasi hata kuonja faida ya jasho lake ktk kujitwisha bomu kwani hata yeye binafsi huyaonja mauti kwa kisingizio mufilisi cha kupata thawabu.
Kosa gani lililofanywa na waheshimiwa wabunge lema,msigwa, wenje pamoja na selasini kwa kulizungumzia tatizo kubwa linaloaanza kujitokeza la masuala ya udini ambalo kimsingi serikali yako ya ccm kupitia waziri wake mh. wasira inakiri uwepo wa masuala hayo ambayo kwa namna moja au nyingine nchi imekuwa ikishuhudia mauti kwa baadhi wa wananchi, viongozi wa dini na pia uchomaji wa makanisa.
Nani asiyejua uwepo wa mgogoro wa kuchinja baina ya dini mbili?

Au mwenzetu kufa kwa jirani yako kwako wewe ni send off?

Acha unafiki na chuki za udini uliokujaa kwa kupandiza chuki za kidini na kutaka kuwafanya viongozi wa kisiasa wasiyazungumzie masuala haya hata kama yanapelekwa ndivyo sivyo na baadhi ya wanajamii pamoja na viongozi wake wa ngazi na kada zote ktk nchi.
Uyafanyayo sasa ni ubwege mkubwa ulionao kichwani na unafaa kuitwa shetani mwenye ndimi saba.
wewe ni mtu hatari sana hufai hata kuendelea kupewa pumzi ulizonazo.

Na laiti kama mungu angekuwa mtu basi angeshahesabu idadi ya siku za pumzi yako ili kuondoa ghasia iliyokujaa moyoni mwako.
hufai hata kuitwa mtu kama ilivyo sasa.
shame on you, an imbecile person!!!
 
Chadema wamejiweka pabaya sana kwa jamii ya Kiislam tasfri ya udini kwao mtu kuwa Muislam.

Upo mkuu,naona speed yako inazidi kupungua siku hadi siku
mpaka 2015 tutaona mengi sana
 
Tena selasin kafanya vizuri kaudhihirishia umma wa watanzania kuwa waislam ndani ya CHADEMA hawatakiwi tusubili 2015 na movement fof church (M4C) kura yangu mim haiwezi kwenda kwa Cdm hata siku moja
 
Wewe ndio unashida...Ndugu yangu, Makama Mkuu wa Chuo Kikuu UDOM Prof. Idrisa Kikula amekiri mwenyewe kupitia Tanzania Daima kuwa ni kweli UDOM kuna UDINI na hasa kwa wanafunzi. Alisema, wanafunzi wameanza kubaguana kupitia dini zao, na hili lilionekana zaidi kwenye chaguzi za serikali za wanafunzi kwa mwaka 2012 mtafute mwanafunzi wa UDOM yoyote muulize hili atakwambia ukweli. Na mie nilipochangia kwenye thread hiyo nilimlaumu Prof. Kikula kwasababu ya kufahamu hilo bila kulichukualia hatua madhubuti. Tatizo la UDOM ni kulea huu utengano kwa muda mrefu. Mimi siwalaumu waislamu wala wakristo....nasema dini hizi mbili zinapaswa kukaa chini kuona wapi zimepoteza muelekeo.
 
chadema wamejiweka pabaya sana kwa jamii ya kiislam tasfri ya udini kwao mtu kuwa muislam.

ndugu acha hii tabia.atakaye kataa kuwa wewe si mdini hana macho,lazima atakuwa amepungukiwa.hili jambo la udini ni dhambi kubwa acha kuchonganisha.....sisi waislam na wakristo tutaendelea kuheshimiana.acha kutumia mwamvuli wa siasa kutugawa watz.
 
Tena selasin kafanya vizuri kaudhihirishia umma wa watanzania kuwa waislam ndani ya CHADEMA hawatakiwi tusubili 2015 na movement fof church (M4C) kura yangu mim haiwezi kwenda kwa Cdm hata siku moja

Hee sikujua kama M4C ni MOVEMENT FOR CHURCH. Itabidi kufuatilia kwa undani suala hili kwa nn Uislam na CDM imekuwa kama maji na mafuta. Mbona 2015 itakuwa balaaaaaaa.
 
CCM mkiwa kama chama tawala wamiliki wa vyombo vya usalama mnapotoa shutuma dhidi ya cdm bila kuchukua hatua inaonyesha jinsi mlivyo wambeya.
 
Hivi nyie Waislam mnadhani CCM inashinda kwa sababu ya kura zenu? Mnajidanganya sana, CCM inashindishwa na Mfumo mbovu wa Uchaguzi wa Tanzania na si vinginevyo. Hata wananchi wote muinyime CCM kura kwa mfumo wa uchaguzi wetu lazima Tume iwatangaze washindi. Kwa hiyo, Chadema kushindwa sio eti kwa sababu ilikosa kura za Waislamu, HAPANA, Ni kwa sababu ya Uchakachuaji wa Kura na Matokeo ya Urais kwa Ujumla. Subirieni siku Tume ikiwa ya HAKI ndio mtaona kitakachotokea.
 
Hiki chama mbona kinaishia 2014, Madhebu mengine ya Kikristo yameshawashtukia... hawa WAKATOLIKI
 
Back
Top Bottom