900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 9,423
- 11,439
Vurugu inaletwa na CCM na polisi siyo chadema Acha kujitoa ufahamu,maana wanapelekewa Moto wa siasa hadi wanashindwa kuvumiliaToa vurugu zilizopo af nambie ushawishi uko wapi???
Vurugu inaletwa na CCM na polisi siyo chadema Acha kujitoa ufahamu,maana wanapelekewa Moto wa siasa hadi wanashindwa kuvumiliaToa vurugu zilizopo af nambie ushawishi uko wapi???
mkuu hawana ushawishi, ni afirmative action ambazo hazina tija, wana agitate vyombo vya dola waonekane activeTuheshimu uongozi uliopo hapo sasa unafeli,ni kweli hawanapesa ila wanaujuzi Kwa sasa chadema ndo chama Chenye ushawishi mkubwa tanzania
Ndio, utamuona siku akitoka atatoa pozi mbalimbali za picha. Mwenzao ni zekomedi mamburula wapi serious. Ni huzuni kwa kweli🙉Kuna wakati nawaza huenda jamaa anafurahi zaidi akiwa huko kuliko aibu ya nje.
Sasa hivo vyombo c vitulie wakati chadema hawana hata manatimkuu hawana ushawishi, ni afirmative action ambazo hazina tija, wana agitate vyombo vya dola waonekane active
Brother think twice kuhusu moto unaouongelea je unaufahamu chanzo chake??? Unadhani LISSU au Maria Sarungi wanajali kuhusi katiba??? Kama unadhani hivyo jitafakariVurugu inaletwa na CCM na polisi siyo chadema Acha kujitoa ufahamu,maana wanapelekewa Moto wa siasa hadi wanashindwa kuvumilia
Kwani wanachopigania je ni kinyume na katiba?Brother think twice kuhusu moto unaouongelea je unaufahamu chanzo chake??? Unadhani LISSU au Maria Sarungi wanajali kuhusi katiba??? Kama unadhani hivyo jitafakari
Kuumizwa Lissu kwa risasi ni urafiki?
Vipi Mawazo wa kanda ya ziwa,ukiacha Ben Rabiu Saa8
Kwa hiyo ndio apate haki ya kukinukisha! Mi nasemaje, mtu mmoja hawezi kuvuruga amani ya watu milioni 60. Ngoja ajitafakari huenda akitoka atajielewa.Kuumizwa Lissu kwa risasi ni urafiki?
Vipi Mawazo wa kanda ya ziwa,ukiacha Ben Rabiu Saa8?
No reforms no electionBrother tumiannguvu yako, bando lako, kaandamane, umizwa, ikibidi kufa.... Wenzako wana count peaa kwa kila unalofanya wewe usiejua.
Anaheshimiwa na nani?Tate Mkuu unaheshimika sana JF, jiheshimu basi!
🤣🤣🤣🤣 Tone Tone iligoma lawama zikaenda kwa Mtandao wa Simu... Wakatoa na muda au la wawaambie wafuasi wao wagomee mtandaoUkienda nao tofauti tegemea kutukanwa ,kama ni mfanyabishara wanawaambia watu wasusie bidhaa zako ...Jamaa wengi hamnazo wanapandikiza watu chuki kwa ujinga wao wa kuamini siasa.
Hivi kwenye kampeni mbona mlilalamika kuwa ruzuku/mapato ilikua haifiki majimboni na sasa mnalalamika kuwa hawa viongozi ndio wameleta haya.Mkuu... Kwa heshima yako kama siongelei usafiri wa viongozi hapa... Wao washalamba hadi posho zao kwa taarifa yako hao hawasafiri kama mzigo haupo mezani wanaolia ni sisi huku
😁😁😁😁Heche is here to stay na ndoo ataingiza chadema ikulu
Acha aapishwe ila atakosa legitimacy...... maana tukishiriki tunaupa uchaguzi credibility. Hakuna haja ya kushiriki chaguzi na mshindi alishafahamikaHakika.... Turudi hapa RAIS (sijui atakua nani) Akiwa naapishwa...
😁😁😁😁Oya yani HECHE aiingeze CHADEMA IKULU😂😂😂😂😂 BROTHER hii ni nchi ujue sio jumuiya.
Brother mimi sina shida na viongozi shida ni taasisi kiongozi ni binadamu na wala huna tofauti nae CHADEMA inapaswa kujiendesha kitaasisi na sio kutemea kiingozi.... Kiongozi afuate maono na mitazamo ya taasisi na sio yake binafsiHivi kwenye kampeni mbona mlilalamika kuwa ruzuku/mapato ilikua haifiki majimboni na sasa mnalalamika kuwa hawa viongozi ndio wameleta haya.
Muwape muda viongozi wapya baada ya mwaka itakua rahisi ku assess uongozi wao. Ila miezi 3 pekee ni ngumu sana kutoa fair assessment. Let's be fair to them
No reform, Yes electionNo reforms no election