CHADEMA kuweni serious basi!

CHADEMA kuweni serious basi!

Aya ya kwanza umeanza kwa kujihami, ni Ishara ya kutojiamini. halafu kunakoendelea sio lazima nielewe, ila nitajitahidi nielewe.
 
siasa za Heche zilifanywa na magenge kama Black panther, black september, PKK, mafia group, wagner group, hawa wote hawakufanikiwa pamoja na uungwaji mkubwa kutoka makundi ya kijasisu.

Haya mambo Zitto aliwaambia Lissu akamtia fitina akamfukuza kwenye chama, leo Zitto yuko na mafanikio yuko suku na wako vizuri na hussain mwinyi, na mwakani anapata wabunge kutoka bara, covid19 wanatimkia act, G55nwanatimkia act.

kwa uongozi wa kishamba wa heche hamfiki popote
 
Laki nane ulisikia wapi? Zile hard top kusafiri hadi mwanza hayo mafuta ni laki nane? Tuache kupotosha for cheap politics. Miaka yote jimbo ndio huandaa mikutano ila gharama za makao makuu ni kwa wale viongozi wao wanaokuja.

Move on mlishaondolewa kwenye uongozi acheni mabadiliko yachukue nafasi.
 
Kama ni kuteka na kuumiza watu ndo unaita "kubanwa angle moja" sawa 😎
Mkuu hakuna sehemu nimeeleza hilo..... Ila ntarudia kwako ukiona wewe mtoto wa masikini umeanza kufaidika kwa uanaharakati wa kuipinga dola kwa nchi yoyote ikiwemo hao mnaowaona wa mfano kwenu jua mauti yu nyuma yako.
 
Mkuu hakuna sehemu nimeeleza hilo..... Ila ntarudia kwako ukiona wewe mtoto wa masikini umeanza kufaidika kwa uanaharakati wa kuipinga dola kwa nchi yoyote ikiwemo hao mnaowaona wa mfano kwenu jua mauti yu nyuma yako.
Siasa chafu ndo unaizingumzia hapa 😎
 
Laki nane ulisikia wapi? Zile hard top kusafiri hadi mwanza hayo mafuta ni laki nane? Tuache kupotosha for cheap politics. Miaka yote jimbo ndio huandaa mikutano ila gharama za makao makuu ni kwa wale viongozi wao wanaokuja.

Move on mlishaondolewa kwenye uongozi acheni mabadiliko yachukue nafasi.
Mkuu... Kwa heshima yako kama siongelei usafiri wa viongozi hapa... Wao washalamba hadi posho zao kwa taarifa yako hao hawasafiri kama mzigo haupo mezani wanaolia ni sisi huku
 
chadema wakae chini wabadili mikakati wabadili uongozi waanze upya, mnyika anapitia maisha magumu sana, mbowe arudi kwa wazee wautishe uchaguzi wapate viongozi wenye strategy
Tuheshimu uongozi uliopo hapo sasa unafeli,ni kweli hawanapesa ila wanaujuzi Kwa sasa chadema ndo chama Chenye ushawishi mkubwa tanzania
 
Kama ni kuteka na kuumiza watu ndo unaita "kubanwa angle moja" sawa 😎
Viongozi wa CHADEMA wanalamishia wakamatwe, ndio staili yao wanajiona eti mashujaa. Any way, asingekamatwa unafikiri hela ya kuzunguka nchi nzima wanayo sasa🤣🤣
 
Tuheshimu uongozi uliopo hapo sasa unafeli,ni kweli hawanapesa ila Kwa sasa chadema ndo chama Chenye ushawishi mkubwa tanzania
Ushawishi mkubwa ni nini Mkuu? Sema CHADEMA wana wapiga jaramba mtandaoni. Wananchi wa kawaida wanawaogopa tu na makelele yao
 
Viongozi wa CHADEMA wanalamishia wakamatwe, ndio staili yao wanajiona eti mashujaa. Any way, asingekamatwa unafikiri hela ya kuzunguka nchi nzima wanayo sasa🤣🤣
Kuna wakati nawaza huenda jamaa anafurahi zaidi akiwa huko kuliko aibu ya nje.
 
leo Zitto yuko na mafanikio
Mafanikio gani? Haina wanachama zaidi ya laki 1 tena wengi ni wale upande wa zanzibar.
hawa wote hawakufanikiwa
Chadema ni chama cha siasa ni taasisi ya kidemokrasia haina kikundi cha kigaidi kuitisha serikali. Hao PKK wana jeshi kabisa utalinganisha vipi na chadema?
kwa uongozi wa kishanba wa heche hamsjki popote
Heche is here to stay na ndoo ataingiza chadema ikulu
 
siasa za Heche zilifanywa na magenge kama Black panther, black september, PKK, mafia group, wagner group, hawa wote hawakufanikiwa pamoja na uungwaji mkubwa kutoka makundi ya kijasisu.

Haya mambo Zitto aliwaambia Lissu akamtia fitina akamfukuza kwenye chama, leo Zitto yuko na mafanikio yuko suku na wako vizuri na hussain mwinyi, na mwakani anapata wabunge kutoka bara, covid19 wanatimkia act, G55nwanatimkia act.

kwa uongozi wa kishanba wa heche hamsjki popote
Kwakee kuongea kwa ukali na mihemko ndo siasa acha panyeshe.... Itadumu kwa muda mfupi watageukana pia ni swala la muda tu
 
Back
Top Bottom