CHADEMA kuweni serious basi!

CHADEMA kuweni serious basi!

NYIE ccm mlio serious mnaogopaje tume huru ya Uchaguzi?, Yaani mnaogopa kushindana kwa haki na chama ambacho hakipo serious ?, Chama amabcho hakina rasila fedha while ccm ina mabillion yakutosha!!.
Chadema ya Lissu na Heche ni imara kwa SIKU chache walizopo kuliko miaka 20+ ya mbowe amabaye amekuwa mkwamisha mabadiliko ya kweli ya Nchi!.

Mbowe amefanya nini toka amekuwa kiongozi wa chadema?, Ni kipi anaweza kujivunia mbelee ya wanachadema akasema jambo fulani amefanya yeye kama yeye zaidi ya kupigiwa debe na vijana wake wenye njaa!.
 
Unakuja viral kuponda chadema, chadema iko serous mjuba, moto wake unauona ila unaleta ujeuri na kiburi
 
Shida siyo wafuasi wa Chadema,wafuasi wa kiongozi wao ambaye ni mwanaharakati,hawataki kusikia lolote zaidi ya wanachotaka.Mbowe kwao ni adui,Ccm kwao ni adui.Ila wao wamekamilika kila idara.Kwa huu ujuaji hawawezi kusonga mbele,maana wametanguliza uadui sana machoni pao na rohoni.
 
Brother mimi sina shida na viongozi shida ni taasisi kiongozi ni binadamu na wala huna tofauti nae CHADEMA inapaswa kujiendesha kitaasisi na sio kutemea kiingozi.... Kiongozi afuate maono na mitazamo ya taasisi na sio yake binafsi
Taasisi ni watu, na mifumo inaundwa na mtu. Walishaahidi ruzuku kushuka hadi mashinani sasa in 3 months ni ngumu sana kutekeleza hilo. Wape muda kiasi utaona mabadiliko.
 
Taasisi ni watu, na mifumo inaundwa na mtu. Walishaahidi ruzuku kushuka hadi mashinani sasa in 3 months ni ngumu sana kutekeleza hilo. Wape muda kiasi utaona mabadiliko.
taasisi ilikuwa ya mbowe, jambo likimjia anaitisha vikao wanajadili pamoja, hawa analowaza kichwani ndo litekelezwe ukimbishia unapigwa ngumi ya jicho,
 
Back
Top Bottom