Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,625
- 11,636
Kabisa!Yani hizi jitihada CCM wanazofanya kupambana na CHADEMA.....
wangezitumia kukabiliana na matatizo ya nchi hii, tungekuwa mbali sana!!!
ugumu wa maisha ingekuwa ni msamiati!!!
Kabisa!Yani hizi jitihada CCM wanazofanya kupambana na CHADEMA.....
wangezitumia kukabiliana na matatizo ya nchi hii, tungekuwa mbali sana!!!
ugumu wa maisha ingekuwa ni msamiati!!!
Katika jitihada za kuhakikisha CHADEMA hawachukui jimbo la Morogoro mjini, Chama Cha Mapinduzi kimeweka mapandikizi wafuatao kama informer wao ndani ya CHADEMA Morogoro Manispaa.
Informer namba moja anayetumiwa sana na CCM ni Advocate Tarimo. Advocate Tarimo alikuwa ni mwanachama wa TLP na amewahi kugombea udiwani kwa tiketi ya TLP katika kata ya kichangani lakini hivi karibuni ameingia CHADEMA na kupewa nafasi ya kushiriki vikao vya chama kama mjumbe mwalikwa katika kamati tendaji ya CHADEMA wilaya ya morogoro mjini
Kujiingiza kwa Advocate Tarimo ni mkakati wa CCM kwakuwa habari za kuaminika ni kwamba advocate tarimo. Amekuwa akiwasiliana mara kwa mara na Katibu Mwenezi wa CCM kwa kutumia namba 0715972*** na kwamba mipango na mikakati yote ya CHADEMA kwa jimbo la Morogoro mjini huandaliwa na Advocate Tarimo ambaye anakingiwa kifua na uongozi wa CHADEMA wilaya.
Kimsingi, uelewa wa mambo kwa viongozi wa CHADEMA Moro mjini ni mdogo ukilinganisha na kasi ya CHADEMA kisiasa kwa sasa lakini viongozi hao kwa kutokujua wamekuwa wakiwashirikisha watu wasiowajua kwa sababu zao binafsi.
Habari kutoka kwa mmoja wa afisa usalama wa taifa ambaye ni mzalendo zinadokeza kuwa, Kwa sasa Advocate Tarimo analipwa fedha kwa ajili ya kazi hiyo ya CCM kiasi cha kumfanya muda wote awe bize na shughuli za CHADEMA, anahudhuria na kuandaa ripoti na nyaraka zote za chama ambapo nakala zake na taarifa huziwasilisha kwa CCM.
Asante Mkuu Makene kwa kutake Note,Inkognito
Noted mkuu...
Inkognito
Noted mkuu...
Tumaini Makene acheni kuendekeza hii tabia mkuu mnatudhalilisha wote jama, kwani hapa ndo pakupokelea taarifa za Chama? Unafikiri unajenga picha gani kati yako na anayeshutumiwa?huoni mtuhumiwa anaanza kujenga uhasama na HQ akiona watu kama nyie mmesapoti hizi allegations live? Punguzeni kulea haya masalia jamani mweeeh
Katika jitihada za kuhakikisha CHADEMA hawachukui jimbo la Morogoro mjini, Chama Cha Mapinduzi kimeweka mapandikizi wafuatao kama informer wao ndani ya CHADEMA Morogoro Manispaa.
Informer namba moja anayetumiwa sana na CCM ni Advocate Tarimo. Advocate Tarimo alikuwa ni mwanachama wa TLP na amewahi kugombea udiwani kwa tiketi ya TLP katika kata ya kichangani lakini hivi karibuni ameingia CHADEMA na kupewa nafasi ya kushiriki vikao vya chama kama mjumbe mwalikwa katika kamati tendaji ya CHADEMA wilaya ya morogoro mjini
Kujiingiza kwa Advocate Tarimo ni mkakati wa CCM kwakuwa habari za kuaminika ni kwamba advocate tarimo. Amekuwa akiwasiliana mara kwa mara na Katibu Mwenezi wa CCM kwa kutumia namba 0715972*** na kwamba mipango na mikakati yote ya CHADEMA kwa jimbo la Morogoro mjini huandaliwa na Advocate Tarimo ambaye anakingiwa kifua na uongozi wa CHADEMA wilaya.
Kimsingi, uelewa wa mambo kwa viongozi wa CHADEMA Moro mjini ni mdogo ukilinganisha na kasi ya CHADEMA kisiasa kwa sasa lakini viongozi hao kwa kutokujua wamekuwa wakiwashirikisha watu wasiowajua kwa sababu zao binafsi.
Habari kutoka kwa mmoja wa afisa usalama wa taifa ambaye ni mzalendo zinadokeza kuwa, Kwa sasa Advocate Tarimo analipwa fedha kwa ajili ya kazi hiyo ya CCM kiasi cha kumfanya muda wote awe bize na shughuli za CHADEMA, anahudhuria na kuandaa ripoti na nyaraka zote za chama ambapo nakala zake na taarifa huziwasilisha kwa CCM.
Namshangaa sana suzie,badala ya kuishambulia hoja yeye anamshambulia mtoa hoja na wote wenye mapenz mema na nchi hii,ni vema ukaelewa kuwa si kila anayechangia au kueleza au kutoa taarifa humu jamvini kwamba ni lazima aende ofisi za chadema,
Tumaini Makene acheni kuendekeza hii tabia mkuu mnatudhalilisha wote jama, kwani hapa ndo pakupokelea taarifa za Chama? Unafikiri unajenga picha gani kati yako na anayeshutumiwa?huoni mtuhumiwa anaanza kujenga uhasama na HQ akiona watu kama nyie mmesapoti hizi allegations live? Punguzeni kulea haya masalia jamani mweeeh
Zilipita karne na hata dunia ichafuke haitatokea maji yakachanganyika na mafuta.. umeeleweka mkuu.Huu upuuzi wa kila mtu kuleta jambo analohisi litatokea iwe kwa kuota, kuhisi, kunusa au kwa namna yoyote toka chadema limegeuzwa kiofisi kufanyikia hapa Jf?
Au ndo kusema vijana wa chadema wanapenda sana umbea?
Hizi ni fitina tu za kumchafua advocate Tarimo ambaye anajitolea muda wake mwingi kuiomarisha chadema.
Katika jitihada za kuhakikisha CHADEMA hawachukui jimbo la Morogoro mjini, Chama Cha Mapinduzi kimeweka mapandikizi wafuatao kama informer wao ndani ya CHADEMA Morogoro Manispaa.
Informer namba moja anayetumiwa sana na CCM ni Advocate Tarimo. Advocate Tarimo alikuwa ni mwanachama wa TLP na amewahi kugombea udiwani kwa tiketi ya TLP katika kata ya kichangani lakini hivi karibuni ameingia CHADEMA na kupewa nafasi ya kushiriki vikao vya chama kama mjumbe mwalikwa katika kamati tendaji ya CHADEMA wilaya ya morogoro mjini
Kujiingiza kwa Advocate Tarimo ni mkakati wa CCM kwakuwa habari za kuaminika ni kwamba advocate tarimo. Amekuwa akiwasiliana mara kwa mara na Katibu Mwenezi wa CCM kwa kutumia namba 0715972*** na kwamba mipango na mikakati yote ya CHADEMA kwa jimbo la Morogoro mjini huandaliwa na Advocate Tarimo ambaye anakingiwa kifua na uongozi wa CHADEMA wilaya.
Kimsingi, uelewa wa mambo kwa viongozi wa CHADEMA Moro mjini ni mdogo ukilinganisha na kasi ya CHADEMA kisiasa kwa sasa lakini viongozi hao kwa kutokujua wamekuwa wakiwashirikisha watu wasiowajua kwa sababu zao binafsi.
Habari kutoka kwa mmoja wa afisa usalama wa taifa ambaye ni mzalendo zinadokeza kuwa, Kwa sasa Advocate Tarimo analipwa fedha kwa ajili ya kazi hiyo ya CCM kiasi cha kumfanya muda wote awe bize na shughuli za CHADEMA, anahudhuria na kuandaa ripoti na nyaraka zote za chama ambapo nakala zake na taarifa huziwasilisha kwa CCM.
Inkognito
Noted mkuu...