No research,no right to speak!
Kura za maoni jimbo la segerea zilishamalizika na
mgombea kupitia chadema yupo standby tena ni mwana mama!!!!! Sasa ninyi mnaosema ati makongoro
mahanga atagombea ubunge jimbo la segerea tupieni facts zenu hapa!!
Wakimpitisha makongoro jimbo linapotea kabla ya uchaguzi na madiwani tunakosa jimbo lote.... wasituleteee uhuni....aliyepita ni kamanda dada anatropia katibu wa jimbo sasa kuna fitina zinafanywa na mwenyekiti na viongozi wengine wa jimbo wameahidiwa milions of money na makongoro wampitishe yy kwa kisingizio cha kwambq uchaguzi wa awali aukufuata vigezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.