CHADEMA kutumia Helkopta nne katika M4C kushambulia mikoa yote Tanzania

Kaka Ritz vipi na zile zinazotafunwa serikalini??

Mkuu Katavi, Chadema wanasema wao wanakuja kuwakomboa watanzania sababu CCM ni mafisadi sasa Chadema wakifanya mambo yao halafu wanatafuta CCM mbona wamefanya hivi ili wao wapate excuse kutakuwa hakuna tofauti yoyote kati ya CCM na Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Acheni kuwahadaa wananchi yaani ruzuku ya chama mikoani imesitishwaa kwa ukosefu wa fedha leo unasema unahelcopter4.watanzania watakuja kugundua huo upuuzi watawasusa.

Kwa lipi?lo na bado hadi mjinyonge kwani roho zenu hazitulii kwa hofu,tunakuja kuwashika wezi wote ili muende jela.Kwa waharifu halisi bado mnaleta shida mtaani.
 
Matumizi ya helkopta ni makubwa sana safari tatu za hizo helkopta zinajenga visima vya maji vitatu. Kwa nini msiwapelekee wananchi hizo pesa kwa kupitia miradi, safari moja ya helkopta unajenga madarasa mawili.
wananchi wanahitaji Elimu kwanza ya kusimamia rasilimali zao na sio vimiradi vya wizi kama serikali ya ccm inavyowafanyia kwa miaka 50
 
Mkuu Katavi, Chadema wanasema wao wanakuja kuwakomboa watanzania sababu CCM ni mafisadi sasa Chadema wakifanya mambo yao halafu wanatafuta CCM mbona wamefanya hivi ili wao wapate excuse kutakuwa hakuna tofauti yoyote kati ya CCM na Chadema.
CDM wana trilioni ngapi kwenye bank za uswisi?
 
Am sorry to say that this seems too much spending, investing where no tangible and visible return. M4C haina tofauti na mwenge! Both share common goal, leaving alone things such as fraud...

M4C ibadili approach, nashauri ilenge kuanzisha na kuendeleza miradi ya maendeleo ili kuwaonesha wananchi kuwa CDM wanaweza, kwa kupitia hiyo hiyo michango ya wananchi. Hii itatusaidia kuona udhaifu dhahiri wa CCM.

Ila kama CDM itaenda na mwendo huu huu, wananchi hawataona tofauti kati yake na CCM... at the end of the day M4C will seem mwenge "B"
Since day one kabla ya kuchangisha pesa hizi iliwekwa wazi matumizi yake na hichi kinachofanyika ndicho kilichokusudiwa.
Kusudio hili ni kukiwezesha chama kuwafikia watanzania wote mpaka wa vijijini na wale waliopo kwenye miundominu migumu.
Watanzania wakiwa wajinga wasiojua umuhimu wa mabadiliko wataendelea kuwa mtaji wa CCM.
Kila pesa inayochangwa itatumika kwa kusudio husika, na kila mchangiaji anajua kusudio la mchango wake kabla hata hajachanga pesa yake.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA sasa wanaongeza idadi ya matumizi ya helkopta hadi nne na idadi ya magari kwa ajiri ya kampeni ya Sangara maalufu kama M4C ili kufika sehemu zote ambako miundo mbinu ni dhaifu.

tunaomba garama halisi za izo helkopta,magari,shuhuli nzima kwa jumla, na vyanzo vya kulipia izo gharama
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA sasa wanaongeza idadi ya matumizi ya helkopta hadi nne na idadi ya magari kwa ajiri ya kampeni ya Sangara maalufu kama M4C ili kufika sehemu zote ambako miundo mbinu ni dhaifu.

Nini cha ajabu hapo! Hujaona helikopta za jeshi letu la polisi wewe? Acha ushabiki!
 
Anhaa... Ni sawa vyema na haki, ila my opinion is, ibadilike! Through kufanya hiyo miradi kama nilivyopendekeza, itasaidia sana pia ku-raise awareness.

Helkopta nne ni matumizi makubwa sana, ambapo fedha hizo zingeweza kufanya kitu mbadala, through cost cutting, ambacho ni cha manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi.
 
wananchi wanahitaji Elimu kwanza ya kusimamia rasilimali zao na sio vimiradi vya wizi kama serikali ya ccm inavyowafanyia kwa miaka 50

Elimu gani ambayo inaitaji helkopta? kuna vyombo vya habari kama TV Chadema wanaweza kununua airtime kila mwezi wakatoa hiyo elimu ikawafikia watanzania wote kuliko kuruka na helkopta ambayo ni gharama kubwa kwa chama kichanga kama Chadema.
 
Watakaposhika serikali na kuanza kukusanya kodi, ndiyo tutajua kati ya CHADEMA na CCM. Shida ya serikali yetu kwa sasa siyo matumizi makubwa bali ni matumizi makubwa kwaajili ya nini, kwa faida ya nani, na kwa faida ipi kwa wananchi walio wengi. Kama kuna matumizi ya 500 million kwaajili ya kuleta faida ya 500 trillion, hiyo ni sahihi LAKINI siyo matumizi ya 500 million kwaajili ya kuleta 200 million kama inavofanya serikali ya sasa. Siyo sahihi kwa JK kufanya safari 10 US kwaajili ya kuleta vyandarua vya kuzuia mbu.

Mkuu Katavi, Chadema wanasema wao wanakuja kuwakomboa watanzania sababu CCM ni mafisadi sasa Chadema wakifanya mambo yao halafu wanatafuta CCM mbona wamefanya hivi ili wao wapate excuse kutakuwa hakuna tofauti yoyote kati ya CCM na Chadema.
 
Suala siyo kuwa chama kichanga, muhimu ni kuwa unaenda kuleta nini na kuna impact gani. Kwa hiyo unataka kusema kuwa kwa vile kuna simu, redio na TV, hakuna sababu ya JK kwenda America na Ulaya? Hakuna sababu ya mawaziri kwenda mikoani, hakuna sababu ya RCs na DCs kwenda vijijini? Ritz, sit down and reason. Kama watu wangekuwa na hiyo reasoning kusingekuwa na haja ya kiongozi yeyote kufanya safari yeyote, wala kufanya mkutano, wala semina yeyote. Ritz JF ni shule nzuri ya kupima reasoning ya kila mmoja.

Elimu gani ambayo inaitaji helkopta? kuna vyombo vya habari kama TV Chadema wanaweza kununua airtime kila mwezi wakatoa hiyo elimu ikawafikia watanzania wote kuliko kuruka na helkopta ambayo ni gharama kubwa kwa chama kichanga kama Chadema.
 
Since day one kabla ya kuchangisha pesa hizi iliwekwa wazi matumizi yake na hichi kinachofanyika ndicho kilichokusudiwa.
Kusudio hili ni kukiwezesha chama kuwafikia watanzania wote mpaka wa vijijini na wale waliopo kwenye miundominu migumu.
Watanzania wakiwa wajinga wasiojua umuhimu wa mabadiliko wataendelea kuwa mtaji wa CCM.
Kila pesa inayochangwa itatumika kwa kusudio husika, na kila mchangiaji anajua kusudio la mchango wake kabla hata hajachanga pesa yake.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mkuu unaweza kutuwekea kiwango kilichopatika, na bajeti ya hizo helkopta?
 
Elimu gani ambayo inaitaji helkopta? kuna vyombo vya habari kama TV Chadema wanaweza kununua airtime kila mwezi wakatoa hiyo elimu ikawafikia watanzania wote kuliko kuruka na helkopta ambayo ni gharama kubwa kwa chama kichanga kama Chadema.
TV?????? Kweli Ritz unadharau kupitiliza!!!!! yani mwananchi anayeishi kwenye mbavu za mbwa unamuulizia TV? kwanza hajui atakula nini!!! barabara za kupita hamna. mbunge wakae hajawahi kumuona halafu unasema CDM itengeneze vipindi vya Redio na TV wakati Helkopta ni tangazo tosha kuwakusanya hebu acheni ujinga mwaka huu mtalia sana
 
Last edited by a moderator:
Matumizi ya helkopta ni makubwa sana safari tatu za hizo helkopta zinajenga visima vya maji vitatu. Kwa nini msiwapelekee wananchi hizo pesa kwa kupitia miradi, safari moja ya helkopta unajenga madarasa mawili.
mimi ni mmoja wa wachangiaji wa M4C,nataka pesa zangu zitumike kusambaza elimu ya uraia ikiwemo na kukodi hizo choper.kazi ya kujenga visima na barabara ni kazi ya serikali maana tunalipa kodi zetu kwa ajili yake.kawashauli hao magamba wezanko wawe na matumizi mazuri na raslimali zetu,mambo ya Chadema tuachie sisi.
 
Matumizi ya helkopta ni makubwa sana safari tatu za hizo helkopta zinajenga visima vya maji vitatu. Kwa nini msiwapelekee wananchi hizo pesa kwa kupitia miradi, safari moja ya helkopta unajenga madarasa mawili.

Kuna kitu kinaitwa 'huduma endelevu/Sustainable services' ukitaka kujihakikishia huduma endelevu unaghalamikia kubadili mtazamo wa wanajamii/Communities mindset

Mawazo yako wewe yamejikita katika kuwasaidia watu vitu badala ya kuwaelimisha ili wajisaidie wenyewe/ Supply led approach instead of demand led approach with awareness creation.

Ndio maana boss wenu Lowasa amewageuka, kwamba 'Sio kilimo kwanza bali Elimu kwanza'
 

Anhaa... Ni sawa vyema na haki, ila my opinion is, ibadilike! Through kufanya hiyo miradi kama nilivyopendekeza, itasaidia sana pia ku-raise awareness. Helkopta nne ni matumizi makubwa sana, ambapo fedha hizo zingeweza kufanya kitu mbadala, through cost cutting, ambacho ni cha manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi.

Hakuna uwekezaji bora zaidi ya elimu. Yaani kumkomboa mtu kifikra. Hata wewe unahitaji hiyo elimu ili uondokane na mawzo mfu kama hayo hapo juu.
 
Kwasasa nchini hapa chama cha siasa ambacho ni active ni kimoja tu CDM, wale CCM na wenzake wake busy na siasa za majitaka!!!!
 
Back
Top Bottom