samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Safi hii... Kuna wananchi wanaotoa macho ila hawaoni.. chopa zikawafanye waone ili tuikomboe nchi hii!
Wapuuzi wanaotaka hela zikachimbe visima ni wa kupuuza... Kwa rasilimali tulizonazo hatuhitaji kuchangisha wananchi ili tuchimbe visima... Tatizo ni CCM, M4C isonge mbele tukingoe chama cha Mabwepande madarakani
Wapuuzi wanaotaka hela zikachimbe visima ni wa kupuuza... Kwa rasilimali tulizonazo hatuhitaji kuchangisha wananchi ili tuchimbe visima... Tatizo ni CCM, M4C isonge mbele tukingoe chama cha Mabwepande madarakani