Chadema mnawachangisha wananchi pesa sasa mnaanza kuzitafuna kwa njia tofauti ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
Ok!!! uko sawa kabisa baki hivo hivo. Kazi iendelee Peopleeeeeeeeeeeees!
Chadema mnawachangisha wananchi pesa sasa mnaanza kuzitafuna kwa njia tofauti ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
Chadema mnawachangisha wananchi pesa sasa mnaanza kuzitafuna kwa njia tofauti ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
jambo jema sana.
Acha hizo CDM inajengwa kwa nguvu ya wanachama na wala si vinginevyo! Fikiri kabla haujapostChadema mnawachangisha wananchi pesa sasa mnaanza kuzitafuna kwa njia tofauti ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
Chadema mnawachangisha wananchi pesa sasa mnaanza kuzitafuna kwa njia tofauti ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
We chezea nguvu ya umma, pressure inapanda, pressure inashuka, huna hata hoja. Utaangukia pua.Chadema mnawachangisha wananchi pesa sasa mnaanza kuzitafuna kwa njia tofauti ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
Hukuelewa reasoning ya huyo jamaa. Ni kweli kama ulivosema kuwa cheti sio kuelimika, msemo unaanza na wewe.Kila siku hua nasema cheti sio kuelimika, embu eleza serikali ya Chadema ni ipi kufikia kufanya comparison?
Kwaiyo kama JK anachezea hela basi ni haki na nyie mchezee? Unasema hizo hela sio za walipa kodi je ni za nani? Kwani hazichangwi na wananchi?Gari moja la mbunge ambalo ni mali ya mtu binafsi wala hata haimgusi kabisa mlipa kodi lina jumla ya visima vingapi? Na safari moja ya jk nje ya nchi huwa inagharimu visima vingapi? Na kasafiri mara ngapi kwa huu mwaka? Jibu ukilipata utaniambia, na ujue M4C haitumii hela za walipa kodi, bali ni mchango wa M4C kwa ajili ya kuimarisha chama na mabadiliko ya baadae/