CHADEMA kutoa uamuzi wa maamuzi ya Mahakama Jumamosi NMC Arusha

Pro-Chadema bana wanakubalia kila kitu kinachowafurahi hata kama ni udaku...

Mkuu naomba uondoke kwenye hii thread umesha ni sababishia ban zaidi ya Mara tano nipo chini ya miguu yako please!!!! Ingia mitini haraka iwezekanavyo Kama ilivyokuwa uchaguzi wa Arumeru
 
Hakuna ubishi kuwa hukumu ile ina madhaifu kisheria na Lema akikata rufaa atashinda ila hukumu hiyo itabatilishwa 2014!. Time consuming for nothing!.

Baadhi ya lugha zinazodaiwa ni za udhalilishaji are facts na zina fall kwenye sheria za madai na sio jinai!.

Mfano mtu akiwa tipwa tipwa ukamuita 'wee tipwa tipwa' ana haki ya kulalamika kuwa amedhalilishwa but its a fact!.

Its a fact kuwa Batilda ni mwanamke na hakuna Lwaigwanan wa kike!.

Its fact Batilda kama mwanamke aliyeolewa kwa ndoa na ana mahusiano yasiyo ya kawaida nje ya ndoa huitwa ma..ya!.

Labda pia its a fact ile mimba ilikuwa sio ya mumewe bali ya yule Mzee wangu!.

Tuisubirie nakala ya hukumu ili tuichambue logic ya jaji katika kufikia maamuzi ila vyovyote iwavyo rufaa wasikate unless kwa kutoka rufaa kutamfanya Lema ame kubali kosa ambalo litatumiwa kama msingi wa kumwekea pingamizi!.

Wito wangu kwa Chadema, chonde chonde msije kunfanyia Lema kile mlicho mfanyia Mwera kule Tarime mkaishia kuitoa Tarime kama sadaka kwa sadakalawe!.
 
Tatizo sio Lema wala CDM, bali tatizo ni CCM.

Wanakimbia kivuli chao wenyewe.....historia inakwenda kuandikwa tena.kila zinapofanyika chaguzi ndogo looser ni CCM na CDM wanazidi kuimarika.
M4C itawapeleka puta mpaka mdate
 
Tanzania ilipofikia, na hasira za wanyonge zilipo... lolote laweza kutokea, hata kama jaji yu sahihi!!!


common sense is more valuable now than ever
 
Baada ya ile mitusi ya Lusinde pale Arumeru nilisema laiti angekuwa ni jamaa yangu ningeukana ujamaa wetu siku hiyo hiyo, Jaji Gabriel Rwakibalila umenishawishi niukane ujamaa wetu leo! Kwa hukumu hii nashawishika kuukana udugu wetu na sasa nimeanza kuelewa kwa nini ulipoamia Dar ukitoka mahakama ya Shinyanga ukaanza kupanda ngazi za vyeo vya kimahakama kirahisi vile pale Kisutu mpaka Mahakama kuu Dar kabla hujaamishiwa Sumbawanga, au hukumu hii umeitoa kama fadhila kulipa mafanikio uliyoyapata katika ngazi ya mahakama maana hata uwezo wako twaujua?

Atayapata majibu yake ndani ya miaka michache tu!dhambi aliyofanya kuwaliza wakina mama watu wazima mahakamani haitamuacha,itamtafuna tu mpaka mwisho!na hata waliomtuma tutashuhudia mwisho wao kwa aibu
 
Kinachonishangaza ni ccm kulitaka hili jimbo by any means sijajua lina nini hasa, wanashindwa kusoma hata alama za nyakati kuwa hawakubaliki hata kwa punje wakikataa kuamini uchaguzi ukirudiwa ndo watadhihirishiwa na hata kama wataendelea na michezo yao michafu
 
Hawa mabwana sijawahi sikia wana ukata katika masuala ya uchaguzi. Hii ni danganya toto kwani wanataka kuchezea akili za watu
 
Hivi ni kwa nini kwenye maamuzi au shuguli nyingi za KINAFIKI huwa wanatumika Wahaya? Mwenye uzoefu na mambo ya kimila atujuze...
 
kuna watu wametumwa kupima upepo hapa.gambaz hao.uchaguzi urudiwe na hakuna kukata rufaa ili aibu yao iwe juu yao na watoto wao.
 
Ikumbukwe kuwa msingi mzima wa kesi ni kuwa Lema alimdhalilisha Batilda Burian katika mojawapo ya mikutano ya kampeni. Kwamba, kuna maneno aliyasema ambayo yalikuwa ni ya udhalilishaji. Sasa hilo ni jambo linalowezakujadiliwa. Wale ambao mmesikiliza hukumu maswali yafuatayo yamejibiwa vipi. Binafsi sijaweza kuchukua msimamo wa hukumu yenyewe bila kuisoma vizuri na kuelewa reasoning ya jaji:

a. Mahakama imejuaje kuwa Batilda alidhalilishwa? - Bila kumuuliza yeye wanajuaej kuwa alijisikia kudhalilika. Vipi kama aliona ni ujinga tu wala haikumdhalilisha? Hivi mtu mwingine anaweza kwenda kusema "x ameibiwa" wakati yule ambaye anadaiwa kuibiwa anaona kila kitu chake kipo salama?

b. Imethibitishwa nini kuhusu alichosema Lema ambacho ni cha udhalilishaji? Alisema maneno gani, lini na wapi na ni ushahidi gani kuwa aliyasema hayo? Kwa mfano watu watatu wakija na walikuwepo kwenye mkutano wakasema hawakusikia maneno hayo na watu wengine watatu ambao walikuwepo kwenye mkutano huo wakasema walimsikia mahakama inaamua vipi kuwa hao watu watatu wanaosema walisikia wanasema kweli?

c. Binafsi kwa kweli sijashtushwa sana na Lema kuvuliwa ubunge - kama kuna ushahidi wa kutosha sidhani kama mahakam ailikuwa na uchaguzi mwingine- kilichonishtua zaidi na kinachonisumbua ni kuwa inaonekana hukumu ilishajulikana mapema zaidi almost a week kabla. Hili ni geni sana kwenye mahakama zetu. What happened?

its obvious you are out of touch na yanayoendelea kwenye judiciary yetu

hujiulizi kwa nini sheria zetu zinaandikwa kwa kiingereza kigumu?

think!
 
Huyu Nae wanaweza maliza Nae Kama walivyomaliza na mfanyakazi wa dr mwakyembe,let's wait n c
 
kimbunga acheni kuitetea ccm eti walihujumiana, kila inaposhindwa, kama Nape amekiri kushindwa wewe ni nani? CHADEMA ni chama makini chenye uwezo wa kujenga hoja na kushinda uchaguzi wakati wowote na mahali popote
 
Back
Top Bottom