DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Kuna contradiction kiasi fulani juu ya lema kugombea ubunge hata kama hajafungiwa miaka mitano,lema usikate rufaa kama ulivyoahidi kwani wananchi wa A city tutasugua benchi kinoma.Wakati unafight against hii hukumu ktk kipengele ambacho hata ivo c jinai tunaomba Dr wilbrod slaa aje 2mpe ushindi wa hasira zetu dhidi ya ccm 2kae nae miaka mitatu alafu kamanda urudi 2015.mimi ni liverpool..na pia ni lema Partisan.LEMA..U WILL NEVER WALK ALONE KAMANDA.