Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Kubariki uharifu wa CCMSafi wataenda wajinga wajinga kupiga makofi.
Kubariki uharifu wa CCMSafi wataenda wajinga wajinga kupiga makofi.
Wewe na division 1 yako umefanya nini? haya makaratasi yako ya kijinga yanakusaidia nini? Mnyika ni public figure wewe hata Mwenyekiti wa mtaa hakujuiChadema gani ? Chadema ya Mbowe kilaza Mwenyekiti? Mtoro wa chuo ndio Katibu Mkuu? Na huyu Mwenye division Four ya 29 ndio Naibu katibu mkuu bara?
Umemjibu vema kabisa.Hiyo ni mikopo.
Hv wewe unaongea ujinga gani yani uchaguzi wa kipuuzi vile bado unauongeleaKwani chadema wasipokuepo kuna shida gani. Wao wanaendelea kujidai kama ndio chama kikuu cha upinzani ambapo ukweli kwa sasa sio. Wananchi wamewatosa wana kiti kimoja tu bungeni cha kushinda uchaguzi. Act wana viti vingi kuliko chadema na wala hawajathubutu kusema wao ni chama kikuu cha upinzani.
Hali halisi ilivyo chadema imegeuka kua kampuni ya mtu. Mtu huyo ni freeman haikaeli mbowe.
Basi acha niseme Inshallah.Haisaidii,nasubiri wasusie na uchaguzi mkuu,2025 Kama Mungu atapenda nitatia nia kupitia Jimbo la Liwale mkoani Lindi.
Mkuu, naomba uweke unazi pembeni kidogo halafu uniambie kama kweli amefanya la maana kuhusu COVID-!9. Linaloonekana katika jambo hilo ni tabia ile ile ya kujifanya anafanya jambo kumbe hafanyi chochote.Kubwa (ambalo ndilo tatizo la dunia kwa sasa) ni U-turn aliyopiga jinsi ya kudeal na Covid, kuna mengineyo Mengi tu ikiwepo kufuta kesi za hovyohovyo
Mjinga ana viashiria vingi vya kumtambua, ikiwemo "usemi" wake. Semi zako nyingi zina viashiria vya ujinga.Mpe hongera babaako ambaye alibahatika kupigwa huko nyuma na ujinga ukamwisha!
Vyote vyama vya siasa, ANC ilikuwa kama ilivyo Chadema, madhila waliyopitia ANC ni hayo hayo wapitiayo Chadema.Kwa hiyo ANC unailinganisha na chadema?
CHADEMA itawakilishwa na Zito. Mzee wa fulsa kaweka agenda namba4.😄😃Kupitia kwa Katibu mkuu John Mnyika, Chadema wamedhibitsha kuwa hawatashiriki mkutano ulioandaliwa na msajiri wa vyama vya siasa.
Mnyika ametoa sababu kuwa mkutano huo una ajenda tatu, Mgeni rasmi kuhutubia, kupiga picha na kufunga mkutano, hakuna nafasi ya vyama vya siasa kuongea.
Kama Chadema haitashiriki mkutano huu ni dhahiri huu mkutano umebuma kabla ya kuanza, Sasa Samia atawahutubia kina Dovutwa, Cheyo, Shibuda na Lipumba
Na elimu ya kupima samaki kwa rula bungeni.Ni kama mnavyoilinganisha ccm na chama cha kikomunisti cha China. Wakati chama cha kikomunisti cha China kimeifanya China kuwa super power, hapa CCM bado inaendesha elimu ya kunawa mikono ukitoka chooni.
Kumbe pesa yote ilitumika kujenga barabara peke yake? Elimu je? Afya je? Maji je? Nk.Hiyo historia ya rais imeonyesha tumejenga kilomita 11,000+ za lami kwa 60yrs, ukigawanya utaona ni chini ya 200km per year! Fedha za cdm zilitumika kuamsha wananchi kwenye usingizi mzito uitwao ccm, ndio maana sasa hivi bila vyombo vya dola ccm haitangazwi washindi.
Kumbe pesa yote ilitumika kujenga barabara peke yake? Elimu je? Afya je? Maji je? Nk.
Wewe unaishi Dar es salaam yenye kila kitu, mpaka na barabara za gorofa; kwani tulipopata uhuru dar ilikuwa hivyo?Kijiji anachotaka baba yangu hakina dispensary wala maji safi au barabara ya lami, sasa hapo lipi la ajabu?
Wewe unaishi Dar es salaam yenye kila kitu, mpaka na barabara za gorofa; kwani tulipopata uhuru dar ilikuwa hivyo?
Maendeleo makubwa yametokea hata tukibisha mara nyingine tuone aibu. Transformation ya Dar ni kubwa na inakadiriwa kuwa ni moja ya megacities 40 itakapofika mwaka 2030Kama kulikuwa na maendeleo ya maana sana, Dar ilipaswa kuwa zaidi ya sasa. Mtoto akianza kutembea akiwa na miaka kumi ni kweli anatembea, lakini alipaswa kutembea muda mrefu.
Basi waeende actKwani chadema wasipokuepo kuna shida gani. Wao wanaendelea kujidai kama ndio chama kikuu cha upinzani ambapo ukweli kwa sasa sio. Wananchi wamewatosa wana kiti kimoja tu bungeni cha kushinda uchaguzi. Act wana viti vingi kuliko chadema na wala hawajathubutu kusema wao ni chama kikuu cha upinzani.
Hali halisi ilivyo chadema imegeuka kua kampuni ya mtu. Mtu huyo ni freeman haikaeli mbowe.
Kwa akili yako ndogo, unadhani ni kwa nini waliwalaghai na kuwang'ang'ania akina Mdee bungeni? ukijua hilo tu ubongo wako unaweza fungukaKwani chadema wasipokuepo kuna shida gani. Wao wanaendelea kujidai kama ndio chama kikuu cha upinzani ambapo ukweli kwa sasa sio. Wananchi wamewatosa wana kiti kimoja tu bungeni cha kushinda uchaguzi. Act wana viti vingi kuliko chadema na wala hawajathubutu kusema wao ni chama kikuu cha upinzani.
Hali halisi ilivyo chadema imegeuka kua kampuni ya mtu. Mtu huyo ni freeman haikaeli mbowe.