SACO
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 2,312
- 2,908
Hivi kwanini maccm wengi kama wewe ni mabogus??Kwani chadema wasipokuepo kuna shida gani. Wao wanaendelea kujidai kama ndio chama kikuu cha upinzani ambapo ukweli kwa sasa sio. Wananchi wamewatosa wana kiti kimoja tu bungeni cha kushinda uchaguzi. Act wana viti vingi kuliko chadema na wala hawajathubutu kusema wao ni chama kikuu cha upinzani.
Hali halisi ilivyo chadema imegeuka kua kampuni ya mtu. Mtu huyo ni freeman haikaeli mbowe.