Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Kupitia kwa Katibu mkuu John Mnyika, Chadema wamedhibitsha kuwa hawatashiriki mkutano ulioandaliwa na msajiri wa vyama vya siasa.
Mnyika ametoa sababu kuwa mkutano huo una ajenda tatu, Mgeni rasmi kuhutubia, kupiga picha na kufunga mkutano, hakuna nafasi ya vyama vya siasa kuongea.
Kama Chadema haitashiriki mkutano huu ni dhahiri huu mkutano umebuma kabla ya kuanza, Sasa Samia atawahutubia kina Dovutwa, Cheyo, Shibuda na Lipumba
Mnyika ametoa sababu kuwa mkutano huo una ajenda tatu, Mgeni rasmi kuhutubia, kupiga picha na kufunga mkutano, hakuna nafasi ya vyama vya siasa kuongea.
Kama Chadema haitashiriki mkutano huu ni dhahiri huu mkutano umebuma kabla ya kuanza, Sasa Samia atawahutubia kina Dovutwa, Cheyo, Shibuda na Lipumba