Kwa hiyo nyinyi CDM mkishinda mmetendewa haki,mkishindwa hamkutendewa haki mtasubili sana! KIDUMU CHAMA TAWALA CHA CCM.
- Yale yale mkuu jaribu kuwa na jipya, haki imetendeka kama haikutendeka hukumu ni mkusanyiko wa FACTS and EVIDENCE, muhimu ni kuwahi kukata rufaa kwenye Sheria sio kulalama kwenye public, hailisaidii Taifa in the future!, kwa sababu unajenga mazingara ya wananchi kutokubali kushindwa na wewe utakapokuja kushinda utaaambiwa exactly what you have planted yaani theory ya haki haikutendeka, ni waste ni paralysing ni very unproductive kwa taifa!
- Ni muhimu sana Chadema wakaacha hiyo tabia sasa mapema sana!
William.
Kweli Magamba ni Magamba tu, hata uyapake rangi vipi yataendelea kuwa Magamba! Hivi wewe unadhani kama kungekuwa hakuna kubebana ungefika kote huko? Sasa unatoa wapi ujasiri wa kujitapa hapa? Unadhani angekuwa mtoto wa Mkulima japo kakaa Tz miaka 30 Chama cha Magamba kingem-shortlist? Wewe shukuru tu kuwa kubebana kwa Magamba ndio kulikufikisha hatua hiyo, ila kwakuwa HUNA SIFA HATA MOJA ndio maana Bungeni ukaangukia Pua. Yaani kwa mtazamo huu heri ungefikiria kimasaburi kuliko kigogo! Mpuuuuzi kweli wewe!
- Wengi wetu tunaotaka mabadiliko ya kweli kwa taifa letu, huwa tunawachukulia Chadema seriously kama chama as the best alternative from CCM, lakini pole pole au kwa kasi sana wamekuwa wakijenga imani potofu sana among wananchi kwamba kila wanaposhindwa, either iwe uchaguzi au kesi za uchaguzi, basi haki inakuwa haikutendeka na kwamba nchi haiwezi kutawalika.
- Imean, kwenye kila ushindani kuna kushinda na kushindwa, depending on how much politics you have in you kushindwa kunaweza kuwa ni kushinda, lakini unapoanza kujenga mazingara ya kwamba ukishindwa tu haki haikutendeka na hasa kwenye siasa, unajenga a very fragile political base, ambayo Mungu jalia ukija kushika madaraka itakuja kukumiza wewe mwenyewe, maana itawaruhusu uliowashinda ku-claim your conflict theory ya kutokea kwamba haki haikutendeka!
- Ujumbe wangu kwa Chadema ni kwamba some of us are taking you very serious, sasa huu msingi mnaoujenga wa haki kutendeka pale tu mnapokuwa mmeshinda, ni hatari sana kwa siasa za mbele kwa taifa, jaribuni kuweka taifa mbele kama sisi wengine.
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William @DSM City!
William,
1. Acha kujenga hoja zako kwa kisingizio cha kukaa nje! Sana sana unawakera watanzania maana im sure in one way or another its our taxes which sent you there!
2. Instead of that, show us achievements you have gained in those thirty years in exile!
3. If you really want to be a politician in the future, stop raising unreasonable issues here. Stop utilizing your time here, go out there do something tangible. Unless unataka uwe mbunge kupitia JF! Kwanza nini kimekotoa huko nje ulipokaa 4 30yrz?
- Waheshimiwa Zitto, Januari, na Mbowe walisema maneno kama yangu, je na wao walishindwa ubunge wa EAC? I mean where is a common sense japo kidogo tu?
William.
- Wengi wetu tunaotaka mabadiliko ya kweli kwa taifa letu, huwa tunawachukulia Chadema seriously kama chama as the best alternative from CCM, lakini pole pole au kwa kasi sana wamekuwa wakijenga imani potofu sana among wananchi kwamba kila wanaposhindwa, either iwe uchaguzi au kesi za uchaguzi, basi haki inakuwa haikutendeka na kwamba nchi haiwezi kutawalika.
- Imean, kwenye kila ushindani kuna kushinda na kushindwa, depending on how much politics you have in you kushindwa kunaweza kuwa ni kushinda, lakini unapoanza kujenga mazingara ya kwamba ukishindwa tu haki haikutendeka na hasa kwenye siasa, unajenga a very fragile political base, ambayo Mungu jalia ukija kushika madaraka itakuja kukumiza wewe mwenyewe, maana itawaruhusu uliowashinda ku-claim your conflict theory ya kutokea kwamba haki haikutendeka!
- Ujumbe wangu kwa Chadema ni kwamba some of us are taking you very serious, sasa huu msingi mnaoujenga wa haki kutendeka pale tu mnapokuwa mmeshinda, ni hatari sana kwa siasa za mbele kwa taifa, jaribuni kuweka taifa mbele kama sisi wengine.
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William @DSM City!
Wewe nadhani unaichukulia sheria ni rocket science kwamba majaji na mahakimu wanafanya maamuzi ya kisayansi ambayo watu wakawaida hawapashwi kuyahoji maana hawajui theory ya maamuzi hayo.
Historia ya kuwa na vyombo vya mahakama na majaji ilianza tu kwa sababu jamii zilihitaji waamuzi katika jamii husika. Kigezo hakikuwa elimu bali ilikuwa ni busara na logic tu( kamasome mfalme seremani kwenye bible alivyoweza kuamua ile kesi ya wanawake wawili waliokuwa wanagombea mtoto baada ya mtoto mwingine kufa kwa kulaliwa na mwanamke mmojawapo).
Haki hatolewi kwa kutumia theory za kisayansi, bali inatolewa kwa kulinganisha uzito wa ushahidi na kwa manufaa ya wanajamii waliowengi. Haki haiwezi ikawa imetendeka(na hasa kwenye kesi ya madai) ikiwa sehemu kubwa ya jamii husika haitakubaliana na maamuzi yale. Haiwezekana asilimia 90 ya jamii nzima wawe kinyume na maamuzi ya jaji halafu badotuseme maamuzi ya jaji ni ya haki na yaheshimiwe ila unaweza kukaa kimya na kufuata ngazi za rufaa.
Mahakama ni kwa ajaili ya jamii na jamii inayomamlaka ya kukemea na kuiambia mahakama kuwa inachokifanya si kwa faida ya jamii hiyo ila ni kwa faida ya kikundi kidogo cha watu kwenye jamii hiyo. Haina maana kukakaa kimya eti kwa kufanya hivyo utakuwa umewaprovoke watu wengine wasiheshimu maamuzi ya mahakama! Hii si kweli maana mahakama ni ya wanajamii husika hivyo wanayomamlaka ya kusema haitendi haki kwa walio wengi hivyo ni lazima ijirekebishe lasivyo watu wataacha kwenda mahakamani na kutafuta njia zingine za kupata haki zao.
Suluhisho la haya manung'uniko ni kwa mahakama kutenda haki to the expectation of the majority of the society full stop! Sheria siyo science kwamba ni watu wachache tu ndo wenye uelewa wa theory zake, bali sheria ni kitu ambacho kila mtu anaweza akasoma na kuelewa vizuri tu na ndiyo maana kila mtu anatakiwa kuzisoma na kuzielewa sheria zinazotumika kwenye jamii yake ili asitende makosa. N si utetezi mahakamani kutenda kosa kisa hukujua sheria husika!
Nadhani umenielewa!
Wewe Wiliam ni kijana kiumri, lakini akili yako inazeeka kwa kasi kuliko Babako John. Hata yeye aliwahi ropoka kuwa ccm itatawala miaka 100 toka 1995, lakini baadae alikuja badili kauli yake na kukiri kuwa sasa ccm ni taabani. Wewe unaangalia, lakini huoni kabisa yanayotendeka utadhani uko marekani vile. A gentleman changes his mind sometimes a fool never. Chunga kijana!
- Hakuna baharia anayepelekwa nje na hela za kodi ni simply, nonsense! ha! ha! ha! ha!
William.
We are the public and very much proud of Chadema. If that hurts, sorr! I am much worried about your IQ. That's complete insane brother.hukumu ni mkusanyiko wa FACTS and EVIDENCE, muhimu ni kuwahi kukata rufaa kwenye Sheria sio kulalama kwenye public, hailisaidii Taifa in the future!
Willium
Ni vema tukawa wakweli kwa nafsi zetu, Mahanga yeye ndio alianza kujitangazia ushindi akiwa Arusha siku Nne kabla ya hukumu kutolewa na ushahidi upo, sasa tujiulize yeye hizo taarifa alizipata wapi???? nachojaribu kusema hapa ni kwamba kwenye mahakama zetu hakuna haki hususani kama umetofautiana na watawala kama Mpendazoe.. Tunatambua jamaa anaonewa kwa kitendo chake cha kuondoka CCM. hilo halina ubishi hata kiodgo
Kuhusu mafanikio yako, sidhani kama unaitendea nafsi yako haki uliingia kwenye kinganganyiro ili ushinde na sio ushindwa hii ilikuwa strategy yako tangu mwanzo.. Unaposema mafanikio wakati ulishindwa na kambi yako ilikuwa inalalama kwamba kuna wabaya wako kisiasa walitumia pesa nyingi ili ushindwe mie sikuelewi kabisa
You really like 'non sense' enh? Does it mean ulizaliwa baharia wewe? Hukusoma? Hukutibiwa tanzania wewe? Huko ulipokwenda ulianza tuu? Baba yako hakukusurpport enh? You cant run away from that! Trying to do that is nonsense as well! And don be evasive in your response, substance matters!
- Wengi wetu tunaotaka mabadiliko ya kweli kwa taifa letu, huwa tunawachukulia Chadema seriously kama chama as the best alternative from CCM, lakini pole pole au kwa kasi sana wamekuwa wakijenga imani potofu sana among wananchi kwamba kila wanaposhindwa, either iwe uchaguzi au kesi za uchaguzi, basi haki inakuwa haikutendeka na kwamba nchi haiwezi kutawalika.
- Imean, kwenye kila ushindani kuna kushinda na kushindwa, depending on how much politics you have in you kushindwa kunaweza kuwa ni kushinda, lakini unapoanza kujenga mazingara ya kwamba ukishindwa tu haki haikutendeka na hasa kwenye siasa, unajenga a very fragile political base, ambayo Mungu jalia ukija kushika madaraka itakuja kukumiza wewe mwenyewe, maana itawaruhusu uliowashinda ku-claim your conflict theory ya kutokea kwamba haki haikutendeka!
- Ujumbe wangu kwa Chadema ni kwamba some of us are taking you very serious, sasa huu msingi mnaoujenga wa haki kutendeka pale tu mnapokuwa mmeshinda, ni hatari sana kwa siasa za mbele kwa taifa, jaribuni kuweka taifa mbele kama sisi wengine.
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William @DSM City!