Wamemaliza kampeni wakiwa na kambi mbili kubwa, moja Chalinze na ya pili Msata kila moja ikiwa na landcruzer zaidi ya 20 green guard walikuwa wakifanya kazi na TISS (wengine nawafahamu) na polisi.
Msata pia kulikuwa na kambi ya kutraini wapiganaji. Natarajia kuona magari yao yakikamatwa na silaha vituoni.