Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
CDM kweli wamefulia, yaani mkutano una mic tatu tu!! Kama kuna dhambi mlitenda huko nyuma mkatubu
Kipindi hicho mama karolite limemkubali
Sema huna bando au unatumia simu ya kichovu, mkutano umerushwa darmpya TV bila shida yeyoteMkutano wa Chadema umesababisha Twitter na YouTube kitoingiliks mpk VPN.
Hata Wewe unajua kwamba ‘fitina’ za ccm zimefikisha upinzani hapa ulipo, na kama siyo nguvu ya wapinzani wa kweli, kama Mbowe, tusingekuwa na upinzani nchi, kama alivyo taka shujaa mwa kupoteazake!Natamani muujiza utokee siku moja wasimame na kuwa chama bora cha upinzani kama ilivyokua 2005 kurudi nyuma
Ila walivyo wabishi sasa.....🙄🙄🙄🙄 ngoja tuendelee kuwaombea
Erythrocyte anajua😆😆
Kumbe wewe unatumiwa? Pole sana.Nyie mnapigania uhuru au kushibisha matumbo yenu? Huko mmejaa wapiga dili tu hamna lolote, Magu na Samia wamegoma kuwatumia mnahaha
Nadhani wewe ni mmoja wa wale wanaoitwa “nyumbu”. CCM inaingiaje hapa?Tangu Lini CCM ukampenda Mnyika?
Hata mimi yutube inagoma kufunguka pamoja na kuwa na MB kibao.Sema huna bando au unatumia simu ya kichovu, mkutano umerushwa darmpya TV bila shida yeyote
Uongo huo. Nakumbuka kuwa CHADEMA wali ishauri serkali kuwa chanjo iwe ya lazima. Unapo sema uongo ili usambaze chuki basi bora uwe na kumbukumbu.Sasa CHADEMA mnaongelea Corona wakati hamchanjwi, Si siasa hizo jamani?
Mnatumia vimeo, mimi nimemsikiliza ndugu Mrema mwanzo hadi mwishoHata mimi yutube inagoma kufunguka pamoja na kuwa na MB kibao.
CHADEMA hawajahi kupoa sema polisi ndiyo kikwazo
Hata Wewe unajua kwamba ‘fitina’ za ccm zimefikisha upinzani hapa ulipo, na kama siyo nguvu ya wapinzani wa kweli, kama Mbowe, tusingekuwa na upinzani nchi, kama alivyo taka shujaa mwa kupoteazake!
Uongo upi?Uongo huo. Nakumbuka kuwa CHADEMA wali ishauri serkali kuwa chanjo iwe ya lazima. Unapo sema uongo ili usambaze chuki basi bora uwe na kumbukumbu.
Yawezekana wengi wao ni wa CHADEMA. Unapo fanya appointment ya kuchanja sijaona sehemu inayo dai chama unachotoka. Wanauliza umri, kitambulisho cha NIDA au PASPORT au KITAMBULISHO CHA KURA. Angalia katika jamii unyo ishi. Ni wangapi wamechanja na ulizia wametoka chama gani.Uongo upi?
Kama chadema wanaona umuhimu wa corona na chanjo kuwa ya lazima mbona hadi sasa ni watu laki nne tu wamechanjwa?
Na tuki assume hao wote laki nne ni wanachama wa chadema ni aidha haina wanachama ndio maana hawashindi chaguzi au wanachama wao wamedharau kauli zao zisizo na akili na wameamua kuungana na timu magufuli.Uongo upi?
Kama chadema wanaona umuhimu wa corona na chanjo kuwa ya lazima mbona hadi sasa ni watu laki nne tu wamechanjwa?
Lowasa alitengeneza mazingira ya kukuza upinzani, Lakini raisi aliye shinda akaanza na Lowasa kisha CHADEMA kwa ujumla! Mbowe hana kosa kumkaribisha Lowasa, kwa sababu Lowasa ni Mtanzania, aliye kuwa na sifa zote za kuwa raisi wa Tanzania!Sema ukweli mkuu maana Msema kweli mpenzi wa Mungu
Mbowe angekua mpinzani wa kweli asingethubutu kumpa Lowasa nafasi ya kugombea urais kupitia chadema🙄🙄🙄
Chadema ndio walioanza kutaka watu wote wachanjwe wakati wa kongamano lao Mwanza.Sasa CHADEMA mnaongelea Corona wakati hamchanjwi, Si siasa hizo jamani?
Yaonekana chama cha Hamza kinajipanga kununua korosho safari hii.Jana chongolo ameitisha press hakuna mtu ameifuatilia, sijui aliongea utopolo gani?
Ndo wachanjwe sasa. Mbona hawachanjwi huku wakiendelea kubwabwaja?Chadema ndio walioanza kutaka watu wote wachanjwe wakati wa kongamano lao Mwanza.
Lowasa alitengeneza mazingira ya kukuza upinzani, Lakini raisi aliye shinda akaanza na Lowasa kisha CHADEMA kwa ujumla! Mbowe hana kosa kumkaribisha Lowasa, kwa sababu Lowasa ni Mtanzania, aliye kuwa na sifa zote za kuwa raisi wa Tanzania!