Acha tu wachukue hatua. Kwenye ukweli uongo hujitenga.
Kaka siasa haiendeshwi hivyo.Kama tukitaka kila aneropoka au kusingizia kuhusu CDM apelekwe mahakamani...mahakama kuu itajaa mafaili ya hayo tu.Ushasikia Obama kaambiwa ni muislam,na mchungaji alijitokeza kukanusha lakini kauchuna.Hapa CDM wanachokonolewa tu ili watoke chimbo...kumbuka CCM hiyo ndio yenye benki kuu na hazina.Wanaweza tu kutoa nyaraka kuonesha kuna funds zilikua zimetumwa kwenye akaunti ya CDM wame freeze.hebu pitia sheria ya kutakatisha fedha kwanza halafu unibishie