Hamjawahi nyimwa kuwapeleka mahakamani.Basi wamewaonyesha njia
Maskini Nnauye Jr! Hasara yote hii nani atalipa?. Na kibaya zaidi naskia ile taarifa aliitoa bila baraka za Sekretarieti ya CCM! Kwa maana hiyo ni tamko lake, si tamko la CCM!
TUMBIRI (PhD - In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Overall Best Student in Form six National Exams).
tumbiri@jamiiforums.com
Chadema bana kila siku wanalalamika hakuna haki mahakamani na amna imani na mahakimu na majaji sasa huyo Nape mtampeleka mahakama gani...
Na aburuzwe mahakamani bila huruma,labda atajifunza kufunga mdomo wake kwa adabu.
mbona mnyika alibanwa na mwigulu akashindwa kuongea
Kufuata sheria ni kugumu.....Si kweli kama Mtu ni tajiri basi hustahili mlipa deni lake, na si kweli kwamba hata kama mahakama hazitendi haki ,basi kesi zisipelekwe.zitapelekwa nyingi na ushahidi mzito kiasi cha kufanya mahakama ipate wkati mgumu kupindisha matokeo.Bondia anayeshindwa kwa knockout huwa ni vigumu kwa majaji kupindisha ushindi...mara nyingi ushidni wa point unaruhusu upendeleo kwa majaji.Na hivyo kuwafanya watazamaji kugawanyika kutokana na jinsi walivyoona.So CDM wanakwenda kwa KO
Rungu si silaha nzuri sana, ila sungusungu wentu na migambo huwa wanaitumia...na mara nyingi inasaidia hadi pale wezi wakiwa na silaha kali aka za moto.Wewe na Dr Slaa nani mwenye Chadema? Dr Slaa kaishasema hawezi kukubali kuhojiwa na Polisi wala kufungua kesi mahakamani wao kama Chadema hawana imani na polisi wala mahakama...Tundu Lissu naye akamalizia kwa kusema Majaji hawana uwezo huo ndio msimamo wa Chadema.
Hilo muulize mwigulu kwa nini hakwenda mahakamani. CDM will never copy & paste mambo za mwigulu. Chupi ya Nape inagonga kinyesi, msaidie maana unaonekana una dalili za u-gambambona mnyika alibanwa na mwigulu akashindwa kuongea
Chadema bana kila siku wanalalamika hakuna haki mahakamani na amna imani na mahakimu na majaji sasa huyo Nape mtampeleka mahakama gani...
Tantawi una maradhi ya udini, kichwa Chaco kimejaa mkaa badala ya urongo. Subiri huyo nyanja mwenzio atiwe adabu, Ngoja wamtantawishe kunguru mwenzio.