CHADEMA kumburuza Dk. Magufuli kortini

CHADEMA kumburuza Dk. Magufuli kortini

Bulembo alisema hawafanyi makosa kuwaruhusu waingie ikulu.akasema wataruhusu mengine yote lakini siyo ikulu ilikuwa kigoma wilaya ya buhigwe kata ya kunanila ja kijiji cha munanila uwanja wa kungala. Tarehe 17.09.2015
 
Kibo10

kama imekukera kanywe sumu hapa kazi tu, kama vepeeee badilisheni muweke l4c.
 
Last edited by a moderator:
Nimesikia Tarehe 24.10 Magufuli Anaweza Kujiuzuru Kugombea Urais Yaani Kama Mjuavyo Jamaa Hakujiandaa Kabisa Analazimishwa Tu
 
mnatia aibu ccm, yan mgombea wenu amebakiza kupaka nywele zake rangi nyeupe, alaf pia ajiite LOWASA jr.
hyo n dalili tosha ya kuonyesha kushindwa


hamjamuelewa MAGUFULI na CCM yake jins wanavyofanya hivyo.

maana yake kuna CCM A ya magufuli na kuna CCM B ya lowesa, kwa hiyo kutumia maneno yanayolandana kwa kampeni vyote ni sawa maana mgombea wa ukawa na ccm wanajuana kwa vilemba.
 
Mnatia aibu CCM, yan mgombea wenu amebakiza kupaka nywele zake rangi nyeupe, alaf pia ajiite LOWASA jr.
hiyo ni dalili tosha ya kuonyesha kushindwa.

usikimbilie matusi bwana mdogo,jibu swali langu
 
Sikia Ukawa Tuwaambie,nyie Pelekeni Kesi Sijui Madai Lakini Mjue Kesi Yenu Mahakimu Wataisikiliza Baada Ya Hon.John P Magufuli Kuapishwa Kuwa Raisi Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania...!!
 
M4C ni ya wamarekani ilitumika na chama kimojawapo kwenye kampeni za uchaguzi nchini humo. Hakuna mtanzania yoyote au chama chochote cha siasa Tanzania chenye hati miliki na hiyo nembo
 
Mwaka huu ccm wataiga kila kitu lakini mwaka huuu lazima waondoke madarakani .








LOWASA HUYO ANAKUJA NA TANZANIA MPYA.
 
Back
Top Bottom