Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Kaka,
U mean unawashauri wafanye hivi ili kutia msisitizo wa kampeni ya kisaikolojia... Natumai utapanda ndege na familia yako mje mshiriki ladha ya siasa hizi....Vilevile angalia tu maandamano kama haya Dar yasije yakasadifisha jungu la kuwa chadema ni chama cha dini fulani ama kama wasemavyo hivi sasa hapa Dar, ni chama cha wakuja....chonde jamani na hizi desparate moves
Hiii Omar,
Na wewe umefikia huku? Yaani chadema ni chama cha dini fulani? Chadema ni chama cha wakuja?
Kisha unakaa unalalamika hapa kila siku kuwa wafuasi wa chadema wanaleta udini na ukabila JF?