Chadema kufungua matawi China

Hivi watu wa aina gani wanaokutana na LEMA wakajadili masuala ya siasa? Huyu jamaa nilisoma CV yake wee acha tu, eti kasoma elimu ya msingi miaka minane, halafu mwaka huo huo aliomaliza darasa la saba akaanza kidato cha kwanza. Remarks kwenye sehemu ya graduate imeandikwa not completed. Kuna haja hao jamaa wa majuu wakapitia profiles za watu wetu kabla hawajaingia nao mazungumzo otherwise watakuwa wanakutana na magenge ya wahuni.

we kalia tu hayo mavyeti wenzako tunaangalia nani anafanya nini sio kuringia madarasa ...kwa taarifa yako wazungu huwa hawaangalii vyeti huwa wanaaangalia uwezo wa mtu anaweza kufanya nini dunia hii...na kuna watu hawajaenda shule lakini wameajiri walioeenda shule yaaaaaani maph

 
hii inaitwa Internationaly known, locally respected 2015 hiyooo Magamba inakufa kifo kibaya yaani wanachanganyikiwa, Uamsho,Malawi na sakati la Meli za Iran bila kusahau Migomo ya wafanyakazi wa umma
 
we kalia tu hayo mavyeti wenzako tunaangalia nani anafanya nini sio kuringia madarasa ...kwa taarifa yako wazungu huwa hawaangalii vyeti huwa wanaaangalia uwezo wa mtu anaweza kufanya nini dunia hii...na kuna watu hawajaenda shule lakini wameajiri walioeenda shule yaaaaaani maph


Wazungu wa nchi gani unaowaoengelea?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
M4C pasua anga baba. Heko kwa kamanda Lema na makamanda wengine wa Chadema, hili Gamba limetuchosha jamani pambaneni tulivulie mbali 2015..ukizingatia na walimu wamenyimwa sensa mhhhhhh ahaaaa patamu


Hili litawagharimu sana hawa mafisadi!
M4c haitawabakiza kamwe!
 
Wadau, wa JF,

Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaendelea kujitanua kimataifa baada ya kufunguwa matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani sasa hivi wanaelekea kufungua matawi nchini China katika miji ya Guilin, Guangzhou, Hangzhou, Shanghai, operesheni hizo za kufunguwa matawi zitaongozwa na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini Godbless Lema na makamanda wengine wa CHADEMA.

Watanzania ambao wanaishi China kaeni tayari kuipokea CHADEMA, habari kamili mtazipata kutoka kwa viongozi wa CHADEMA na kupitia humu jamvini.


:peace:

Acheni utani. Let us be serious!
 
Wadau, wa JF,

Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaendelea kujitanua kimataifa baada ya kufunguwa matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani sasa hivi wanaelekea kufungua matawi nchini China katika miji ya Guilin, Guangzhou, Hangzhou, Shanghai, operesheni hizo za kufunguwa matawi zitaongozwa na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini Godbless Lema na makamanda wengine wa CHADEMA.

Watanzania ambao wanaishi China kaeni tayari kuipokea CHADEMA, habari kamili mtazipata kutoka kwa viongozi wa CHADEMA na kupitia humu jamvini.


:peace:

Kwetu CDM wanaisikia redioni na kwenye TV tu.....ninyi mnakimbilia China! Inakuwaje.....au kuna suala gani tusilolijua kuhusu matawi ya 'majuu'?
 
sasa kama hili linawezekana inaonekana kuna plan ya kuruhusu watanzania walioko nje kuruhusiwa kupiga kura wakati wa chaguzi. kama serikali ya ccm na mwanae chadema wanatambua kuwepo kwa watanzania walioko nje je kwanini tume ya sensa haitaki kuwatambua?
 
Chama kina tangatanga hichi tutegemee na matawi yatafunguliwa baharini,kwenye mito na maziwa

Kwani Unguja, Pemba Mafia ziko wapi?

Pia Ukerewe, Ukara, ziko wapi? Au unafikiri watu huko hawahitaji UKOMBOZI? Go go gooo CDM
 
Wadau, wa JF,

Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaendelea kujitanua kimataifa baada ya kufunguwa matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani sasa hivi wanaelekea kufungua matawi nchini China katika miji ya Guilin, Guangzhou, Hangzhou, Shanghai, operesheni hizo za kufunguwa matawi zitaongozwa na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini Godbless Lema na makamanda wengine wa CHADEMA.

Watanzania ambao wanaishi China kaeni tayari kuipokea CHADEMA, habari kamili mtazipata kutoka kwa viongozi wa CHADEMA na kupitia humu jamvini.


:peace:

Acha kutudanganya.Matawi china kwa demokrasia ipi iliyopo huko mpaka CDM wafikirie hayo.
 
Chama kina tangatanga hichi tutegemee na matawi yatafunguliwa baharini,kwenye mito na maziwa

Ni muhimi sana kuwashirikisha watanzania wenzetu wanaoishi nchi za nje "the diaspora" katika shughuli zote za kijamii, kisiasa na kiuchumi zinazoendelea hapa nchini; katika nchi nyingi za wenzetu, ufaransa ni moja wapo Wanadiaspora hupiga kura katika chaguzi kuu na kwa sasa katiba mpya ya Kenya imewapa wana diaspora wao uhuru wa kushiriki katika chaguzi zao, na kwa hiyo kuwapa nafasi ya kushiriki katika mustakabali wa nchi yao; hata sisi tuanze kidogokidogo tutafika huko mbele ya safari.
 
watanzania wa-kichina (fake tanzanians) siyo watanzania, watanzania wafuate nini china kama wachina wenyewe wanaona tz dili.
duuuh mkuu uko mbali sana na ukweli wabongo wamejaa uko
 
Watakutana huko na Said wa Home Shopping Center, halafu wamwambie awasaidie kwenye mikutano yao. Watapata wachina wengi wataoingia CHADEMA. Kwi kwi kwi teh teh teh!

Uwezo wa kupambanua mambo ukiwa mdogo ni tatizo kweli kweli. Hujui kuwa China kuna watanzania kama walivyo huko kwingineko CHADEMA walikopitia? Wake up please.
 
Back
Top Bottom