CHADEMA kuchangisha michango kununua gari jipya la Lissu ni wizi

Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Nani anamwibia nani hapo?

Wewe kama unadhani unaibiwa, kimbia kajifiche kwa wezi wenzako Lumumba CCM..

Mchango umetangazwa hadharani.

By the way, huyu ni kiongozi wa mapambano ya kuikomboa Tanganyika toka kwa wakoloni weusi CCM.

Hata zikipatikana gari kumi kama hizo kwa michango yetu, it's OK.

Wewe ukiona unaibiwa, ficha vipesa vyako hivyo, tembea nenda zako..
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Kipi kinachochea umasikini kati ya kuchangisha fedha kununua gari la Lisu na kuchangisha kwa ajili ya form ya Kizimkazi na kuchonga kile kinyago kule Ethiopia ambacho hakina sura yoyote ya Mtanganyika kwa kutumia kodi za raia?

Usisahau juzi kati hapa kodi zimetumika vibaya tena kwa kuchonga kinyago kingine na kukipeleka bungeni ikidaiwa kuwa ni roboti hata Gerald Hando aliposalimia kinyago kikageuka bubu:mad:
 
katiba inasemaje?
Hapo ndio unachemka Sasa, hiyo katiba iliyotungwa na bunge ambalo pia limepitisha mshahara kwa wenza wa Marais!!! Hao waliwafikiria wanyonge wa nchi hii, ukamlipe mshahara mwenza wa Rais na hapohapo na Rais analipwa. Mbona hauko fair?
 
ilo gari halikuwa na bima?

acheni kuwa wapumbavu na mmesoma mlipelekwa shule kuondoa ujinga na kuongeza uwezo wa kufikiri wewe unapanga foleni kwenye mwendo kasi af leo unamchangia mtu pesa ili asinyeshewe na mvua izo ni akili kwli
Sisi tunachanga anunue jipya, ww kaongee naye akuuzie kisha uwafuate bima wakulipe jipya.
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Usimchangie lissu kamchangie kizimkazi fomu ya uraisi
 
Sasa kama unakiri mwenyewe kwamba hadi leo bado umaskini umetamalaki katika nchi hii basi hicho chama unachokiunga mkono hakina kabisa sababu ya kuwepo madarakani na hivyo inatakiwa kiondoke kabisa madarakani.

After all, hakuna aliye kuambia uchange sasa sijui wewe unapata tabu gani wengine wakipenda kuchanga.
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid

Mbona serikali inaomba michango?

Mbona ccm uwa wanaomba michango?

Msg yako imekaa ki wivu sana
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Suala la Mchango ni la hiari na tumeoana Wanasiasa mbalimbali wakichangiwa bila kujali itikadi zao.
Nadhani wewe utakuwa mgeni na siasa za Nchi hii.
Viongozi wanachangiwa uchaguzi,Marathon,Harambee mbalimbali ambazo wangeweza kuzifanya ama wangetakiwa kuzifanya wenyewe,ila wanapata michango kutoka kwa wananchi hao hao masikini. Wakati mwingine si kwakua hawana ila kuona wana nguvu kiasi gani kwa wananchi,Je wanakubalika?
Chukua mfano mdogo tu wa harusi,unadhani watu wanapitisha michango kwakua hawajiwezi?
Ni upendo tu ndugu kama ulikuwa hujui.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Huu ni Huruma na upendo. Uwe CCM, CHADEMA, ACT-WAZALENDO lazima tupendane. Mimi leo nimechanga shillingi 2,000.
 
Nijiavyo miki hapo ni zaidi ya michango. Ni siasa kubwa sana I afanyika hapo. Aminj nakumbia wote wanaomchangia siku Akio back kura watampa zooote. Tena kwa uchungu watamuombea na kwa wengine. Mara zote wamefanikiwa sana
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
yaacheni yaparurane majinga bado yapo mengi
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Acha kutupigia kelele na makalio, soma wizi wa CCM, hata kama chadema wanaiba, ni kwa wanachama wao tu, Ila CCM wanaiba kizazi kizima cha Tanzania,
 

Attachments

  • a-golden-opportunity-2nde.pdf
    1.4 MB · Views: 1
Back
Top Bottom