laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,732
hizo siasa unazoshauri sio za CHADEMA.....SIASA ZA chadema NI ZA SHARI SHARI, VURUGU,MATUSI,BANGE..N.K....KAMA UNATAKA SIASA ZA KISTAARABU NJOO CCMMimi siko ufipa, eneo langu la kushauri ni hapa hapa jukwaani boss.
View attachment 683077
Mda wowote wakati wa kampeni Chadema na UKAWA wataanza udondozi wa nyaraka na video za Mtulia zikidhibitisha kupokea rushwa za kujiuzuru ubunge.
Mtulia ameonywa kuwa asijione mjanja kuwafanya wana Kinondoni wajinga. Chadema itatumia kampeni kuwaambia kwa ushahidi kwamba Mtulia hawafai na anatakiwa awe gerezani na sio uraiani kwa msaada wa wanaommiliki
Nyaraka hizo zitawekwa wazi kwa waandishi wa habari na mitandaoni
Sinunuliki, sina bei safi sana, kibonzo muruaaaa!!
hicho sio kipaumbele cha wananchi wa kinondoni...sisi wanakinondoni tunataka huduma nzuri za maji, barabara, matibabuRushwa haigusi wananchi?
Mbona chadema mlinunuliwa na Lowasa.Mtulia ameshindwa kuelewa mgawanyiko wa mihimili, Bunge, Serikali na Mahakama, Yeye yupo kwenye bunge akavunja mkataba na kuamua kuiunga serikali
Moja ya kituko ambacho kitakuwa kichekesho kwa wajukuu zetu ni hili jina Mtulia
Ukisema kitendawili basi Sema "mtulia " Jibu kwa wajukuu wetu litakuwa "Binadamu aliyeuzwa na kununuliwa na mmiliki wake mnadani "
Huyu jamaa namfananisha na kambare mtoto, kwani kambare mtoto ana ndevu ingawa ni mtoto, Huyu jamaa ana ndevu lakini bado ni mtoto
hizo siasa unazoshauri sio za CHADEMA.....SIASA ZA chadema NI ZA SHARI SHARI, VURUGU,MATUSI,BANGE..N.K....KAMA UNATAKA SIASA ZA KISTAARABU NJOO CCM
Siyo bure lazima utakuwa mfuasi wa Nabii Tito wewe.*WAMBOWE 9:5*
"Naye akawajibu "Msinililie Mimi,jililieni na ushamba wenu,kwa maana hakuna aliyewalazimisha kujiunga na CHAMA AMBACHO NI MALI YANGU NILICHOPEWA NA BABA MKWE* Basi wakainamisha nyuso zao kwa huzuni,wala wasiweze kumjibu.
Naye akiisha kusema hayo akapita katikati yao akaenda zake benki na kuchukua RUZUKU YOTE NA KUITUMIA ATAKAVYO. *
Kumbe unajua nyaraka na video za ushahidi wa Mtulia zipo ila kwako wewe bora rushwa. Nakuomba usiwe na wasiwasi maana TUKUKURU itaukataa ushahidi huo kwa vile rushwa kwenye chama na watawala wetu wa sasa ni halali.Wananchi wanahitaji ahadi safi na tekelezeki za maendeleo na wala hawahitaji nyaraka na video za rushwa.
NImeipenda hii:-Mtulia ameshindwa kuelewa mgawanyiko wa mihimili, Bunge, Serikali na Mahakama, Yeye yupo kwenye bunge akavunja mkataba na kuamua kuiunga serikali
Moja ya kituko ambacho kitakuwa kichekesho kwa wajukuu zetu ni hili jina Mtulia
Ukisema kitendawili basi Sema "mtulia " Jibu kwa wajukuu wetu litakuwa "Binadamu aliyeuzwa na kununuliwa na mmiliki wake mnadani "
Huyu jamaa namfananisha na kambare mtoto, kwani kambare mtoto ana ndevu ingawa ni mtoto, Huyu jamaa ana ndevu lakini bado ni mtoto
Who are you sister?Mmeshatengeneza tena video fake kama za Arumeru?? Hamtapata kura tena kama mlivyofanywa Arumeru!
Kwahiyo wewe unataka kuwaeleza nini watu wenye akili timamu?wakidakwa na kuswekwa ndani kwa uchochezi wasije piga yowe kuwa wanaonewa watatoka baada ya uchaguzi.Waage makwao kabisa