mkwawa complex
Senior Member
- Dec 15, 2016
- 183
- 150
HALAFU HIKI KITU ALICHOFANYA MTULIA NI KUHUJUMU UCHUMI WA NCHI YETU.UNAUKATAA UBUNGE, HALAFU SERIKALI ITUMIE TENA GHARAMA ZAIDI YA BILIONI MOJA KUGHARAMIA UCHAGUZI WA KUKUCHAGUA T
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana bei? kutoka kugombea ubunge Zanzibar mpaka Ubunge kinondoni! Kwa nini! Hana bei maana yake nini. Ni mkazi wa kinondoni sawa? aNini sasa kilimpeleka Z'bar. Jibu ni njaa, Je dawa ya njaa nini? Ni Chakula, Je chakula kinapatikaneje, kinapatikana baada ya kufika BEI ya muuzaji.View attachment 683077
Mda wowote wakati wa kampeni Chadema na UKAWA wataanza udondozi wa nyaraka na video za Mtulia zikidhibitisha kupokea rushwa za kujiuzuru ubunge.
Mtulia ameonywa kuwa asijione mjanja kuwafanya wana Kinondoni wajinga. Chadema itatumia kampeni kuwaambia kwa ushahidi kwamba Mtulia hawafai na anatakiwa awe gerezani na sio uraiani kwa msaada wa wanaommiliki
Nyaraka hizo zitawekwa wazi kwa waandishi wa habari na mitandaoni
Mwaka huu mtatajana kudadeki ! Tumerudi uwanjani makusudi mazima , tunaumbua mtu waziwazi .wakidakwa na kuswekwa ndani kwa uchochezi wasije piga yowe kuwa wanaonewa watatoka baada ya uchaguzi.Waage makwao kabisa
Kwahiyo ile ya arumeru "aliekti" diamond platnumz na sio mnyeti.. Si ndio?Mmeshatengeneza tena video fake kama za Arumeru?? Hamtapata kura tena kama mlivyofanywa Arumeru!
Ule ushahidi wa mwembeyanga (LIST OF SHAME) bado upo!?
Mmeanza mambo yenu ya hatari ya kibaguzi. Si mnasema Chadema ni chama cha Wachaga? Huyu katokea wapi. Yaani kwa ubaguzi huu na ili nchi ipone, maccm yote mlaaniwe na mkaishie shimo moja. AMEN!Mtaishia kunawa chadema, ivi Kinondoni nzima hamuoni haya kutuwekea mzanzi?
Ndio ujue sheria sio msumeno!JPM anaendesha nchi kwa double standardsNassari alikuja na videos na chadema ikaangukia pua sembuse nyaraka?
Umemsikia bashe anavyoombaWananchi wanahitaji ahadi safi na tekelezeki za maendeleo na wala hawahitaji nyaraka na video za rushwa.
Sasa zitatusaidia nini sisi wananchi?mpelekeni mahakamani au ndiyo mnatumia kama kigezo cha kupata kula cdm?kula ni siri yetu!!View attachment 683077
Mda wowote wakati wa kampeni Chadema na UKAWA wataanza udondozi wa nyaraka na video za Mtulia zikidhibitisha kupokea rushwa za kujiuzuru ubunge.
Mtulia ameonywa kuwa asijione mjanja kuwafanya wana Kinondoni wajinga. Chadema itatumia kampeni kuwaambia kwa ushahidi kwamba Mtulia hawafai na anatakiwa awe gerezani na sio uraiani kwa msaada wa wanaommiliki
Nyaraka hizo zitawekwa wazi kwa waandishi wa habari na mitandaoni
Wangekuwa nazo wala wasingesubir, jinsi mambo yalivyokuwa yamebana hpo kati...mmmhhMwaga ugali na mwaga mboga nakama nikweli siku zote chadema mlikuwa wapi au huyu mtu aliyepiga hizo picha au video alikuwa wapi kipindi chote haaa sio poa nyie chadema sisi sio watoto
Muulize MLOWOLA kama alishawahi kutoa mrejesho au atuambie tu kama ile video ilikuwa ya kutengenezaNassari alikuja na videos na chadema ikaangukia pua sembuse nyaraka?