It's all business people, all about business. Bora jizi unolijua lenye hela kuliko usolijua tena fukara.
Mi nlijua wanapambana na majizi yote. Kumbe yale wanayoyajua na yenye mkwanja wanayataka?
Tofauti na CCM itakuwa ipi?
It's all business people, all about business. Bora jizi unolijua lenye hela kuliko usolijua tena fukara.
Sasa hivi Watanzania tunataka mtu atakayeondoa mfumo mbovu wa ccm, awe fisadi au asiwe fisadi maana mfumo huu hata mtu awe na rekodi nzuri akishaingia kwenye ccm si mzuri tena. Ndiyo maana unaona mtu akiwa ccm ni fisadi tu. Hata Lowasa kama anauwezo wa kuiangusha ccm tunamkaribisha upinzani ilimradi tu huu mfumo utoke kwanza tuanze upya. Tumechoshwa na utawala wa kinafiki na kizandiki wa ccm na ndiyo maana mtu yeyote anayeweza kuitoa ccm hata kama ni Boko haram au al shababu tutamuunga mkono ilimradi tu huu utawala uende kuzimu.
Kwani ccm huwa wanawasemaje wapinzani na huwa wakiamia ccm wanawasemaje?
Cc: Juliana shonza
Kinachonifanya niuone unafiki wa CHADEMA ni pale wanapoona ni sahihi (demokrasia) kwa watu kuhamia kwao lakini mtu anapohama kwao kwenda popote anapewa majungu, matusi na kashfa.
Nani aliwadanganya kwamba 'msamehe dhambi' anapatikana CDM pekee?
Ndo maana ya Kampeni. Tunawakaribisha wana CCM hata mafisadi ili tuingushe CCM.Hahahah umeandika ujinga sana sijuwi nipombe gani umetumia!!!!! Ulitaka chadema iwakatae ???!
Wewe ndiye umelewa viroba. Ameandika vizuri kuonesha unafiki na uzandiki wa Chama cha MboweNadhani ukikaa ukatulia viroba na hengiova ikaisha utaandika jambo lenye akili. Viroba vya idi bado vinakusumbua. Pata supu kwanza mkuu