CHADEMA kila kukicha ni vurugu na maandamano,lini mtafanya shughuli za kimaendeleo?

Mawazo mema kama yanalenga kwenda kinyume na wachangiaji wa CHADEMA, badala ya kujibu hoja wanatukana...sasa ndiyo naona kama Wabunge wa CHADEMA ni watukanaji sishangai kama wapenzi na wanachama wa CHADEMA nao hawatakuwa ni watu wa kutusi. Brother Kalenga anauliza kwa nini kila siku fujo? WaCHADEMA wanajibu eti anajibu MMesarukambwa!! ni akili hizo??
 
Nyie magamba mui fukarishe nchi leo mnataka maendeleo,maendeleo gain wakati nchi mmeimaliza?
 
Sisi kwa kuwa ni jukumu letu kuwaamsha mjitambue inabidi tuendelee bila kukata tamaa kama unionavyo hapa pichani nikimuosha mmoja wa makamanda pale Arusha mjini ili atokwe na pepo mchafu aitwaye chadema
389068_410127635751480_1348691388_n.jpg
Yote iyo ili uoshe soseji hahahaaaaaaaa kweli nimeamini lumumba ni ya machichiman.,hawa si watanzania watakuwa wamalawi ndani ya lumumba
 
Pia kuna hitoria mbovu ya vyama vinavo fanya fujo
Mfano Nazi ya hitler kilifanya haya wafanyayo Chadema
Watu walipotea usama wa raia ukapotea hujuma kutumia wapenzi wao serikalini hatimae Hitler akaingia madarakani kutokana na watu wengi kuogopa fujo wakati wa uchaguzi
Hitler akawAangamiza wajerumani na majirani zake hatimae ujerumani ikashambuliwa na kupigwa kila kona na dunia nzima
Dalili za mvua ni mawingu tuwe na hadhari
Tanzania hatugombei ukombozi tupo huru kinachotakiwa ni kubadilika tu kiutendaji na kuacha porojo tuchape kazi na turejeshe uzalendo
Ukombozi wa ulafi wa madaraka hatuna haja nao

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mborakeee!! Hakuna ukuhilibwa!! Mpaka kieleweke!!! RIP my former mp chacha wangwe!!
 
Any kwa sasa huwezi kuwaelewa kwa sababu ulisha ruhusu akili ndogo kutawala kubwa,, but nakuhakishia 2015 utawaelewa
 
Wandugu wanajamvi

Hivi hawa chadema mbona nakuwa siwaelewi sasa,
Kila kukicha hapa utakuta thread za mara chadema wameleta vurugu bungeni, mara mbunge fulani kasababisha vurugu na kukamatwa , mara Dj anasema tuandamane nchi nzima , mara Dr alikuwa anafuatiliwa na watu barabarani, mara Zitto alitaka kuwekewa sumu./...na kadhalika nyingi tu

Napenda kuwauliza jamaa zangu, Ni lini huwa mnafanya shughuli za maendelo? manake nyie kila kukicha ni mikutano, kulia lia na vurugu, sijui huwa mnafanya kazi saa ngapi?
Jaribuni kuelimika na kuanza kupiga siasa zenye kuleta maendeleo sio vurugu tu, mjue mnapanda bange msitegemee kuja kuvuna mchicha.

Na hii tabia ya kila siku kusema kuwa serikali imepanga hikli dhidi ya chadema mara kile ni utoto hebu jaribuni kukua toeni hivyo vidole puani. Kwani nyinyi ni nani mpaka serikali ihangaike na kuwazushia ujinga?

Ni jukumu letu kuwaosha chadema ili kuwatoa pepo mchafu aitwaye chadema
389068_410127635751480_1348691388_n.jpg

JITAMBUE

mmm jamaa amekubali kunawishwa na kurushwa jf ili akachue 7000 but yote ni kutokana na sera nzuri ya maisha bora kwa kila mwana ccm na sio kwa kila mtanzania especially wale wa mwenzangu na mie wa mlo mmoja for the sake of minority.
 
Umeona mkuu, jamaa hawana sera kwa hiyo wameona njia pekee ya kujipatia umaarufu ni vurugu, kuua watu kufanya maandamano na kulalaamika serikali inataka kuwafanyia mbaya
Hawa jamaa ni sawa tu na wale rebels wa Syria ambao ndio wanaoongoza kwa kuua raia lakini kila kukicha wanalalamika ni serikali

Kama nlishawahi kukuona mitaa fulani hivi ya Nyagwa, ndipo unapokaa??
 
mpo wengi mlioilamba ccm miguu mwisho wa siku mnjajuta muulize nakaya akupe mkanda mzima.
 
Na bado... Hadi mtakapokosa ajira za buku saba hapo lumumba ndipo mtaifahamu vizuri Chadema!
 
Kweli ukiwa ccm unakuwa roho mbaya asiye na utu! Yaani kwa msiba huo unaleta porojo za maudhii! We chris lukos akili = 0
 
Wandugu wanajamvi

Hivi hawa chadema mbona nakuwa siwaelewi sasa,
Kila kukicha hapa utakuta thread za mara chadema wameleta vurugu bungeni, mara mbunge fulani kasababisha vurugu na kukamatwa , mara Dj anasema tuandamane nchi nzima , mara Dr alikuwa anafuatiliwa na watu barabarani, mara Zitto alitaka kuwekewa sumu./...na kadhalika nyingi tu

Napenda kuwauliza jamaa zangu, Ni lini huwa mnafanya shughuli za maendelo? manake nyie kila kukicha ni mikutano, kulia lia na vurugu, sijui huwa mnafanya kazi saa ngapi?
Jaribuni kuelimika na kuanza kupiga siasa zenye kuleta maendeleo sio vurugu tu, mjue mnapanda bange msitegemee kuja kuvuna mchicha.

Na hii tabia ya kila siku kusema kuwa serikali imepanga hikli dhidi ya chadema mara kile ni utoto hebu jaribuni kukua toeni hivyo vidole puani. Kwani nyinyi ni nani mpaka serikali ihangaike na kuwazushia ujinga?

Ni jukumu letu kuwaosha chadema ili kuwatoa pepo mchafu aitwaye chadema
389068_410127635751480_1348691388_n.jpg

JITAMBUE

Acha kupotosha watu, polisi wanaoleta vurugu Tz ni wa Chadema? Wauaji na watesaji wa raia wasio na hatia ni Chadema? Wavunjaji wa katiba, sheria na kanuni ndani na nje ya bunge nani hajui ccm ni namba 1? Kuhusu maendeleo unayakumbuka baada ya miaka 50 ya uhuru? Na kwanini baada ya Chadema kuanza kutoa elimu ya uraia? Kuna mwanachadema amekuja kuomba msaada wa chakula nyumbani kwako?
 
Back
Top Bottom