CHADEMA kila kukicha ni vurugu na maandamano,lini mtafanya shughuli za kimaendeleo?

au wajikopeshe mil 143 bila kikao

Mkopo urudishwa lakini vijicent havirudishwi, naamini bibi yako au ndugu yako yeyote anakunywa maji machafu ya kisima kwa sababu ya vijisent mnavyoiba
 
Ni wazi sasa chama cha demokrasia na maendeleo kimekosa la maana la kuwaambia watanzania ili kuwashawishi kukipa kura katika uchaguzi mkuu mwaka 2015.
Matukio yanayoendelea katika nchi ambayo almost 80% yanakihusisha chadema na matukio haya ni dalili za kupoteza muelekeo kuelekea 2015.
Tumeshuhudia kifo cha mwandishi wa habari mwangosi katika maandamano yasio na kibali cha polisi,
Vifo vya vijana wengine wawili katika nyakati tofauti katika maandamano ya cdm yalioharamu,
Vurugu za bungeni zikiongozwa na Godless Lema. Uchafuzi wa hali ya usalama wa mji wa Arusha aliosabibisha huyu Lema.
M4c inaondeshwa kiuchonganishi zaidi na sio kuwaelimisha wananchi elimu ya uraia kama kinavyodai cdm kuwa ndio lengo la m4c.
Chama kinalalamika kama yatima na kila tukio utasikia serikali ndio chanzo.
Matukio yote ya uvunjifu wa amani uliosababishwa na chadema wamekuwa wakiutumia kama mtaji. Kama ulikuwa hujui tambua mkuu.
 
Umeona mkuu, jamaa hawana sera kwa hiyo wameona njia pekee ya kujipatia umaarufu ni vurugu, kuua watu kufanya maandamano na kulalaamika serikali inataka kuwafanyia mbaya
Hawa jamaa ni sawa tu na wale rebels wa Syria ambao ndio wanaoongoza kwa kuua raia lakini kila kukicha wanalalamika ni serikali

Thread uianzishe wewe mwenyewe, kujijibu ujijibu mwenyewe, tukueleweje sisi ambao tuko nyutro?
 
Kuna wengine waishaanza kuugua PARANOIA. Wakiona gari barabarani au watu nyuma yao wanafikiri eti wanawafuata kutaka kuwafanyia mabaya.

Haya ndiyo matatizo ya kudhania unakubalika kumbe ni ndoto za mchana
 
Wanawapampu wanafunzi wafanye fujo,maandamano
mwanachuo alikufa usiku wakati anarudi disco nje chuo.sasa sijui wanataka kila mwanachuo apewe police wa kumlinda cdm bana!!
 
Ushabadili Id kutoka lile ulilokuwa nalo hadii Kalenga-Iringa?
mwishowe utajiita Chalinze mzee!
 
Wanawapampu wanafunzi wafanye fujo,maandamano
mwanachuo alikufa usiku wakati anarudi disco nje chuo.sasa sijui wanataka kila mwanachuo apewe police wa kumlinda cdm bana!!

Unacho kinanea ni sawa?
Unao uhakika Marehemu alitoka Disco au umekuja kueneza siasa za chuki hapa?
Niufahamishe kuwa Marehemu alikuwa ametokaa discussion ndani ya chuo wenzie wa mwaka wa Pili hivyo alikuwa naelekkea nyumbani nje ya chuo sehemu ambayo ndiyo alkuwa amepanga!
Acha upumbavu na kuharibu mood za watu, huna adabu mwili mzima jifunze kuchamba ndo uje useme huo upumbavu wako nyau wee! watu tunasikitka ndugu yetu amefariki wewe unaleta u.senge hapa, kuwa na adabu na matukio yaa simanzi kama haya!
 
Nadhani mtoa mada ulikuwa unamaanisha hivi: CCM kila kukicha mnaiba pesa kupitia DEEP GREENS, KAGODA, RICHMOND, DOWANS, huku akina mama wakijifungulia chini, wanafunzi wakipata zero. Lini mtafanya shughuli za maendeleo?
 
Wandugu wanajamvi

Hivi hawa chadema mbona nakuwa siwaelewi sasa,
Kila kukicha hapa utakuta thread za mara chadema wameleta vurugu bungeni, mara mbunge fulani kasababisha vurugu na kukamatwa , mara Dj anasema tuandamane nchi nzima , mara Dr alikuwa anafuatiliwa na watu barabarani, mara Zitto alitaka kuwekewa sumu./...na kadhalika nyingi tu

Napenda kuwauliza jamaa zangu, Ni lini huwa mnafanya shughuli za maendelo? manake nyie kila kukicha ni mikutano, kulia lia na vurugu, sijui huwa mnafanya kazi saa ngapi?
Jaribuni kuelimika na kuanza kupiga siasa zenye kuleta maendeleo sio vurugu tu, mjue mnapanda bange msitegemee kuja kuvuna mchicha.

Na hii tabia ya kila siku kusema kuwa serikali imepanga hikli dhidi ya chadema mara kile ni utoto hebu jaribuni kukua toeni hivyo vidole puani. Kwani nyinyi ni nani mpaka serikali ihangaike na kuwazushia ujinga?
Nadhani wewe ni mmoja wa kundi la binadamu waitwao Laggards! Jipe muda kijana utaielewa tu chadema! Unajua kama umeamua kujipa kazi ya kufwatilia hayo unayoyaita mabaya ya chadema ni dhahiri hata ukiona mazuri ni kwamba hutoyapa uzito unaostahili kwa kuwa kazi yako kuu imejikita kwenye kusaka uyaitayo mabaya.

Kazi kubwa ya chama cha siasa ni kudeal na jamii nadhan ndiyo kazi ambayo CDM inafanya sasa hv na maendeleo ambayo yanaongelewa na chama cha siasa ni kuongeza wanachama na coverage na ndicho tunachokifanya. Tulikaa maofisin, mkatuita chama cha msimu, sasa hiv tumeamua kushambulia eneo la tukio tena mnatuona wazururaji na wakwamisha maendeleo. Hivi ninyi binadamu mnatakaga nn hasa!! Kweli in whatever you do, People must talk!!!

Vurugu za Bungeni labda kama umehadithiwa, ila zile vurugu ni kwamba zililetwa na Ndugai kutokana na jazba za kitoto na siasa za uhasama na ghirba! Watanzania wengi waliona kilichotokea, waulize wakuhadithie vzr. Au nenda Youtube utaona mwanzisha vurugu.

Ukisema kuwa chadema hawafanyi kazi ni kuwa umeamua kumkosea Muumba, vipo vitu vingi sana wananchi wanaamshwa na kuelimishwa na chadema kupitia mikutano yao. Usidhani wananchi wanaokwenda kwenye mikutano ya chadema hawajui wanafwataga nn. Wanajua wanakwenda kuelimika, tofauti na mikutano ya ccm ambapo ukiona wananchi wameenda kwa hiari yao basi ujue wameenda kujionea wasanii pamoja na burudani za vikundi vya ngoma na sanaa.

Kama utaamua kutoitazama CDM kwa negative attitude na jicho la husuda, utagundua wanafanya kazi nzuri sana ya kuwaamsha raia wetu kuzijua haki zao na kufaham kinachoendela nchini. Ni mtu mwenye asili ya wizi na ufisadi tu ndio atapinga kinachofanywa na CDM hapa nchini.
 
Kaserukambwe huko....hizo Tsh 7000/= per post unaona ndio maendeleo?.....kanawe miguu ulale huko.
Sisi kwa kuwa ni jukumu letu kuwaamsha mjitambue inabidi tuendelee bila kukata tamaa kama unionavyo hapa pichani nikimuosha mmoja wa makamanda pale Arusha mjini ili atokwe na pepo mchafu aitwaye chadema
389068_410127635751480_1348691388_n.jpg
 
Umeona mkuu, jamaa hawana sera kwa hiyo wameona njia pekee ya kujipatia umaarufu ni vurugu, kuua watu kufanya maandamano na kulalaamika serikali inataka kuwafanyia mbaya
Hawa jamaa ni sawa tu na wale rebels wa Syria ambao ndio wanaoongoza kwa kuua raia lakini kila kukicha wanalalamika ni serikali
Ngoja tukuitie dokta wako
 
Kuna wengine waishaanza kuugua PARANOIA. Wakiona gari barabarani au watu nyuma yao wanafikiri eti wanawafuata kutaka kuwafanyia mabaya.

Haya ndiyo matatizo ya kudhania unakubalika kumbe ni ndoto za mchana
Hawa watu inabidi tuwaoshe kluwatoa pepo mchafu aitwaye chadema. Bbado ni ndugu zetu
389068_410127635751480_1348691388_n.jpg
 
Unacho kinanea ni sawa?
Unao uhakika Marehemu alitoka Disco au umekuja kueneza siasa za chuki hapa?
Niufahamishe kuwa Marehemu alikuwa ametokaa discussion ndani ya chuo wenzie wa mwaka wa Pili hivyo alikuwa naelekkea nyumbani nje ya chuo sehemu ambayo ndiyo alkuwa amepanga!
Acha upumbavu na kuharibu mood za watu, huna adabu mwili mzima jifunze kuchamba ndo uje useme huo upumbavu wako nyau wee! watu tunasikitka ndugu yetu amefariki wewe unaleta u.senge hapa, kuwa na adabu na matukio yaa simanzi kama haya!

Hamna sababu ya matusi mtoto wa kiume,matusi hayaliwi yakhee,kufa kila siku watu wanakufa tatizo nini?mungekua na hekma na busara yote haya yasingetokea,me ningekuwa mkuu wa Mkoa ningesifika kwenye tukio,ni kazi ya police,mumegeuza liwe la kisiasa,lingekuwa tukio la ajabu sawa,mathala ange nyofolewa viungo au mwanachuo wa kike angebakwa ndani ya chuo na kufa,sasa kile ni kifo cha kawaida uswahilini,vinatokea dunia mzima,sawa na kuandamana kwanini mvua hainyeshi!!!,wasomi lkn wajinga,hata enzi za manabii mauaji ya kinyama yalitokea,sasa nyinyi mumeingizwa choo cha kike na CDM,chuo kimefungwa maiti afufuki munarudi makwenu au mlitaka kila mwanachuo apewe polisi wa kumlinda,someni acheni kufwata mikumbo na muache kutembea Usiku.
 
Vurugu zinzfanywa na CCM, maandamano vyama vyote vinaruhusiwa kufanya, na maendeleo hayaji kwa kunyanyasa wakulima na wafanyakazi
 
unawashwa na mdudu hatari kwenye masabhuri sio bure , vyama vya upinzania visipofanya mikutano mara oooh vyama vya misimu, wasipofungua matawi hivyohivyo sasa unataka tukalale tu majumbani na wake zetu alaah kweli maskini hajitambui .:mvutaji::mvutaji::mvutaji:
 
hicho unachokiona sisi kwetu ndio maendeleo,na upande wenu mnaojitia vijino pembe fanyeni tathimini kujua toka mmeanza kuihujumu cdm mpk sasa mmefanikiwa ama bado? na kama bado jipangeni tena mje upya na pia shirikisheni na hiyo miezi michanga yenu naona inazidi kuwa mingi tu humu
 
Back
Top Bottom