Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Acha maneno ya maudhi wewe Gamba.Hujaelewa nini hapo?
Hapana Molemo acheni ubabe, hii habari haijitoshelezi, msifanye watu kama wameingiwa na mapepo, wawe wanachangia tu vitu hata kama havieleweki kwa vile ziko in favor of CHADEMA.