Umenichekesha sana kuhusu wachagavipi huko kuna wachagga wangapi manake Nape alisema CDM ni wachagga chama?
Sasa hayo ya kusilimishwa yametokea wapi tena? Mbona kila issue tunai-deflect kwenye udini? Halafu kina FaizaFoxy na Malaria sugu wakijibu tunawaona ndo wenye matatizo.Huu ni uchokozi wa wazi wazi.
wasukuma wakisema yaya hata umpe nini bado atasema yaya(hapana/sitaki)