Katika uchaguzi mdogo wa mwenyekiti wa kijiji cha Kabiga tarafa ya msalala wilaya mpya ya nyang`hwale mkoa mpya wa Geita, kufuatia aliyekuwa mweyekiti wa kijiji kuchaguliwa kuwa diwani, umefanyika uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi ya mwenyekiti, wagombea wawili wlijitokeza kwa tiketi ya ccm na chadema, mgombea wa chadema ameshinda kwa zaidi ya asilimia 20%. jambo la kuvutia zaidi ni hekaheka zilizokuwepo wakati wa kampeni baada ya diwani wa ccm kualika madiwani wenzake wawili wa ccm kutoka katika kata jirani ili kumpigia kampeni mgombea wa ccm nafasi ya uenyekiti kwa tiketi ya ccm, walichoambulia ni kipigo kikali kutoka kwa wananchi wasioutaka utawala dhalimu wa magamba. Hii inadhihirisha jinsi wananchi wa vijijini walivyoamka na kudhihirisha nguvu ya umma.<br>