mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
Mkuu PJ uko kwenye eneo la tukio nini??????Na hii nyomi watu wabishe kwamba ni ya kuchakachua.
View attachment 50512
Na hii nyomi watu wabishe kwamba ni ya kuchakachua.View attachment 50512
mbunge wa arumeru atachaguliwa na wananchi wa arumeru na si vinginevyo.ushindi ni wa chadema,lakini kwa vikao vya siri vinavyofanyika ccmitakuwa shughuli
Na hii nyomi watu wabishe kwamba ni ya kuchakachua.
View attachment 50512
Kinachonifurahisha ni kuwa kina mama wameanza kuikubali Chadema.